Ubovu wa product ya Mo ukwaju

Mmetumwa nyie si bure, kuweni waungwana
Sio kutumwa mkuu huo ndio ukweli bidhaa nyingi za Mo hazina quality kuanzia taste ya bidhaa mpk packaging ni rahisi kukuta lebo ya bidhaa ya Mo inaning'inia au ukaona kabisa gundi zile za fundi baiskeli imepakwa kwny lebo and the likes of that binafsi huwa namuangalia Mo km tajiri anaeangalia upande mmoja tu wa profit maximization lkn huwa haangalii quality ya bidhaa yke kuna mambo mengi sn kuhusu u-low quality wa Mo kuanzia bidhaa zke mpk viwanda vynyw vinavyotengeneza hzo bidhaa yn mazingira tu ya viwanda vyake ni machafu mno magari yake ni chakavu ata likiwa lina muonekano wa upya bdo litakuwa ni second hand ukiangalia mishahara anayolipa wafanyakazi ndo utacheka utakuta anatoa tangazo la ajira anakwambia anahtaj mtu mwny bachelor af mshahara 200k hapo nimeingizia tu ili ujue ubabaishaji wa Mo co tu kwny bidhaa bali ni muendelezo wa mambo mengi ktk career yke kwa kifupi Bakhressa amemuacha mbali sn Mo na hilo linathibitishwa na Mo mwnyw kwa njia ya copy and paste.
 
Habari za muda huu wana bodi.

Moja kwa moja nijikite katika mada leo mchana nimepata kutumia bidhaa hii mpya sokoni kutoka kampuni ya uzalishaji wa vyakula, vinywaji na vitu vingine (inayosimamiwa na Mohamed Dewji)

BEI YA BIDHAA
Bidhaa hii mpya sokoni inaenda kwa bei ya Sh 300 tu pesa taslimu ya kitanzania hivyo kuifanya iweze kupenya ipasavyo kwa watumiaji wengi yaani watu wa market tunasema ametumia penetration pricing strategy kuifanya bidhaa yake ikubalike kwa haraka ili kutengeneza customer base kubwa ukilinganisha na bei ya Azam ukwaju inayouzwa kwa Tsh 600 kwa 500 Tsh.

BIDHAA YENYEWE
Uongo mbaya na nisiwe mnafiki katika sehemu Mo alipofeli na team yake ni katika product hii kwa 100% zipo nyingine pia japo makosa yake sio makubwa sana kama hii,kwanza kabisa ubovu wa bidhaa hii ni

1. Ladha ya bidhaa
Sijajua fomula iliyotumika kutengeneza hii kitu asee yaani haieleweki ni chungu au tamu yani ladha yake ni mbaya kiukweli haielezeki watengeneza juice na lamba lamba wa mtaani wanatengeneza vitu vizuri zaidi ya hii ya Mo mara 200.

2. Muonekano wa bidhaa
Kiukweli bidhaa ya Mo inamuonekano mbaya sana (yaani namaanisha packaging yake imekaa kilocal sana) mithili ya kinywaji pendwa cha vijana wa mtaani au wapiga debe kinachoitwa double kick hivyo kupoteza mvuto na hamu machoni kwa mtumiaji.

UBUNIFU
Kiukweli Nimekuwa insipred sana na vitu Mo anavyofanya japo huwa nakwazika sana pale ninapoona anakosa ubunifu katika bidhaa badala yake anakopi kila kitu kwa mshindani wake Azam.

Mfano: MO PASSION= AZAM JUICE/AZAM COLA, UHAI=MASAFI, AZAM ENERGY DRINK= MO ENERGY, AZAM UKWAJU = MO UKWAJU

Ila pia katika bidhaa za unga na mafuta. Kiukweli MO amekosa watu wa Business Reserch na Marketing walio na weledi wakujua kitu gani soko linaitaji badala ya kusubiri mwingine alipowekeza juhudi zake ndipo na yeye apate wigo wa kukopi watu wa biashara wanasema kwa ufupi sio mtu wa kurisk sana.

Ni mtu anaetegea mpinzani aanzishe jambo yeye aje kukopi ila pia nlitegemea akikopi ideas aje na vitu bora kuliko mshindani wake mfano COCA COLA na PEPSI badala yake jina ndilo linauza kuliko bidhaa yenyewe.

NB: Ubora wa kitu unapimwa na bei pia kwa watu wa segment fulani hivyo kuweka price ndogo sio suruhisho bali kwa watu wengine uchukulia bidhaa kuwa ni mbovu sana.

Nawasilisha wanabodi

View attachment 1249397
Acha kuharibu biashara za watu, na kwa nini unakunywa soda za watoto kunywa konyagi mkuu
 
Hapa ninachokiona Mo ame target bidhaa zake kwa watu wa hali ya chini hizi product zake maduka ya uswahilini ndio zimejaaa na wanazipenda sababu ya gharama ndogo sio rahisi kuzikuta minisupermarket au maduka yaliyopo kwenye makazi ya watu wenye maisha ya kipato cha kati. Nahisi hata yeye hawezi tumia hizi sabuni na juice nyumbani kwake.
 
Habari za muda huu wana bodi.

Moja kwa moja nijikite katika mada leo mchana nimepata kutumia bidhaa hii mpya sokoni kutoka kampuni ya uzalishaji wa vyakula, vinywaji na vitu vingine (inayosimamiwa na Mohamed Dewji)

BEI YA BIDHAA
Bidhaa hii mpya sokoni inaenda kwa bei ya Sh 300 tu pesa taslimu ya kitanzania hivyo kuifanya iweze kupenya ipasavyo kwa watumiaji wengi yaani watu wa market tunasema ametumia penetration pricing strategy kuifanya bidhaa yake ikubalike kwa haraka ili kutengeneza customer base kubwa ukilinganisha na bei ya Azam ukwaju inayouzwa kwa Tsh 600 kwa 500 Tsh.

BIDHAA YENYEWE
Uongo mbaya na nisiwe mnafiki katika sehemu Mo alipofeli na team yake ni katika product hii kwa 100% zipo nyingine pia japo makosa yake sio makubwa sana kama hii,kwanza kabisa ubovu wa bidhaa hii ni

1. Ladha ya bidhaa
Sijajua fomula iliyotumika kutengeneza hii kitu asee yaani haieleweki ni chungu au tamu yani ladha yake ni mbaya kiukweli haielezeki watengeneza juice na lamba lamba wa mtaani wanatengeneza vitu vizuri zaidi ya hii ya Mo mara 200.

2. Muonekano wa bidhaa
Kiukweli bidhaa ya Mo inamuonekano mbaya sana (yaani namaanisha packaging yake imekaa kilocal sana) mithili ya kinywaji pendwa cha vijana wa mtaani au wapiga debe kinachoitwa double kick hivyo kupoteza mvuto na hamu machoni kwa mtumiaji.

UBUNIFU
Kiukweli Nimekuwa insipred sana na vitu Mo anavyofanya japo huwa nakwazika sana pale ninapoona anakosa ubunifu katika bidhaa badala yake anakopi kila kitu kwa mshindani wake Azam.

Mfano: MO PASSION= AZAM JUICE/AZAM COLA, UHAI=MASAFI, AZAM ENERGY DRINK= MO ENERGY, AZAM UKWAJU = MO UKWAJU

Ila pia katika bidhaa za unga na mafuta. Kiukweli MO amekosa watu wa Business Reserch na Marketing walio na weledi wakujua kitu gani soko linaitaji badala ya kusubiri mwingine alipowekeza juhudi zake ndipo na yeye apate wigo wa kukopi watu wa biashara wanasema kwa ufupi sio mtu wa kurisk sana.

Ni mtu anaetegea mpinzani aanzishe jambo yeye aje kukopi ila pia nlitegemea akikopi ideas aje na vitu bora kuliko mshindani wake mfano COCA COLA na PEPSI badala yake jina ndilo linauza kuliko bidhaa yenyewe.

NB: Ubora wa kitu unapimwa na bei pia kwa watu wa segment fulani hivyo kuweka price ndogo sio suruhisho bali kwa watu wengine uchukulia bidhaa kuwa ni mbovu sana.

Nawasilisha wanabodi

View attachment 1249397
Bila shaka wewe ni kibaraka wa azam wacha waitumie hio bidhaa mpya then wataona kama ina mapungufu

Inawezekana una mdomo wa homa

Hahahhahahah
 
Habari za muda huu wana bodi.

Moja kwa moja nijikite katika mada leo mchana nimepata kutumia bidhaa hii mpya sokoni kutoka kampuni ya uzalishaji wa vyakula, vinywaji na vitu vingine (inayosimamiwa na Mohamed Dewji)

BEI YA BIDHAA
Bidhaa hii mpya sokoni inaenda kwa bei ya Sh 300 tu pesa taslimu ya kitanzania hivyo kuifanya iweze kupenya ipasavyo kwa watumiaji wengi yaani watu wa market tunasema ametumia penetration pricing strategy kuifanya bidhaa yake ikubalike kwa haraka ili kutengeneza customer base kubwa ukilinganisha na bei ya Azam ukwaju inayouzwa kwa Tsh 600 kwa 500 Tsh.

BIDHAA YENYEWE
Uongo mbaya na nisiwe mnafiki katika sehemu Mo alipofeli na team yake ni katika product hii kwa 100% zipo nyingine pia japo makosa yake sio makubwa sana kama hii,kwanza kabisa ubovu wa bidhaa hii ni

1. Ladha ya bidhaa
Sijajua fomula iliyotumika kutengeneza hii kitu asee yaani haieleweki ni chungu au tamu yani ladha yake ni mbaya kiukweli haielezeki watengeneza juice na lamba lamba wa mtaani wanatengeneza vitu vizuri zaidi ya hii ya Mo mara 200.

2. Muonekano wa bidhaa
Kiukweli bidhaa ya Mo inamuonekano mbaya sana (yaani namaanisha packaging yake imekaa kilocal sana) mithili ya kinywaji pendwa cha vijana wa mtaani au wapiga debe kinachoitwa double kick hivyo kupoteza mvuto na hamu machoni kwa mtumiaji.

UBUNIFU
Kiukweli Nimekuwa insipred sana na vitu Mo anavyofanya japo huwa nakwazika sana pale ninapoona anakosa ubunifu katika bidhaa badala yake anakopi kila kitu kwa mshindani wake Azam.

Mfano: MO PASSION= AZAM JUICE/AZAM COLA, UHAI=MASAFI, AZAM ENERGY DRINK= MO ENERGY, AZAM UKWAJU = MO UKWAJU

Ila pia katika bidhaa za unga na mafuta. Kiukweli MO amekosa watu wa Business Reserch na Marketing walio na weledi wakujua kitu gani soko linaitaji badala ya kusubiri mwingine alipowekeza juhudi zake ndipo na yeye apate wigo wa kukopi watu wa biashara wanasema kwa ufupi sio mtu wa kurisk sana.

Ni mtu anaetegea mpinzani aanzishe jambo yeye aje kukopi ila pia nlitegemea akikopi ideas aje na vitu bora kuliko mshindani wake mfano COCA COLA na PEPSI badala yake jina ndilo linauza kuliko bidhaa yenyewe.

NB: Ubora wa kitu unapimwa na bei pia kwa watu wa segment fulani hivyo kuweka price ndogo sio suruhisho bali kwa watu wengine uchukulia bidhaa kuwa ni mbovu sana.

Nawasilisha wanabodi

View attachment 1249397
Kiukweli moo anajitahidi sana katika bidhaa zake na ninaweza kusema ni best 100%

Au wewe ni meneja wa masoko ya azam
Hahahhahaha
Mmepigwa bao kitu 300

Nyinyi 600

Hahahahaha

Wacha moo alete ushindani
 
Kabisa mkuu
Hiyo MO ni flavoured drink sio ukwaju halisi...
ndo mana hata bei ni kidogo cheap...!!

Ila bakhera kuanzia embe, ukwaju, chungwa na nanasi anakamua mwenyewe just anaongeza CMC tu kwa baadhi ya juice kuifanya juice iwe nzito...
 
Tatizo lingine Watanzania hawasomi contents za vinywaji. Hata label hawasomi. Chukua juice ya Delmonte, Ceres na Azam zote tropical soma contents afu onja. Majibu utapata
 
Kiukweli moo anajitahidi sana katika bidhaa zake na ninaweza kusema ni best 100%

Au wewe ni meneja wa masoko ya azam
Hahahhahaha
Mmepigwa bao kitu 300

Nyinyi 600

Hahahahaha

Wacha moo alete ushindani

usinichekeshe sana brother naona umenipa cheo kikubwa sana asante ila ukweli ni kua zinauzika may be kwa watu wa chini sana uko uswazi na ndipo ulipo wewe unaependa bidhaa za bei ya chini zenye quality ndogo ila ukweli ni kua Azam ametake over na nusu ya matumizi yako unatumia bidhaa zake kuliko za tajiri wako Mo.

Ukwaju kiwandani wanauza 250 mtaani unauzwa 500 yaani vijana wanagawana faida na AZAM sasa jiulize asingekua na vijana wa kuuza mtaani angeleta direct kwa wasambazaji bei ingekuaje kama si 300.

Wewe endelea kunywa low quality product uku wengine wakitumia standard quality product
 
acha roho mbaya kama unadhani bidhaa yake ina mapungufu ebu tengeneza yako iliyokamilika....kuna watu mnapenda sana kuzungumza story za vijiweni
 
Wewe na familia yako mna idea gani mliyoitekeleza?
Jamaa anakopi sana sijui kwanni. Sijawah kuona bidhaa sokon ambayo ni idea yake. Hapo ndio napata jib kwann anaililia sana Simba badala ya kutengeneza timu yake.
 
usinichekeshe sana brother naona umenipa cheo kikubwa sana asante ila ukweli ni kua zinauzika may be kwa watu wa chini sana uko uswazi na ndipo ulipo wewe unaependa bidhaa za bei ya chini zenye quality ndogo ila ukweli ni kua Azam ametake over na nusu ya matumizi yako unatumia bidhaa zake kuliko za tajiri wako Mo.

Ukwaju kiwandani wanauza 250 mtaani unauzwa 500 yaani vijana wanagawana faida na AZAM sasa jiulize asingekua na vijana wa kuuza mtaani angeleta direct kwa wasambazaji bei ingekuaje kama si 300.

Wewe endelea kunywa low quality product uku wengine wakitumia standard quality product
Hahahhahah kama unataka quality tengeneza yakwako
 
Mtaluja kunywa sumu mufeeeeee "like a dog" -(in trump voice)

Kwanza wataalamu wanaochanganya hizo kemikali wametoka udom chenga tupu siku mtawezeka hata herroin au watazidisha caffein
 
Back
Top Bottom