Ubovu wa product ya Mo ukwaju

Hope december Mungu akipenda nta introduce kitu changu katika market since nimemaliza fanya reserch yake for six month so stay tune

Alafu kingine boss sijasema kwa nia mbaya ila ukweli umuweka mtu wazi najua atapata wasaha wakupitia mawazo ya uzi huu na atajua wapi pakurekebisha
Sina tatizo na bidhaa za Mo ila mimi ni mtu ninaependa vitu vizuri skuzote hivyo sioni aibu kusema kuwa kitu fulani nikibaya na ukweli ni kua BIDHAA HII NI MBAYA kwa mtu aliekunywa Azam ukwaju anaweza toa comment zake na ukweli ni kuwa Azam amewekeza sana na yuko na watu makini katika maswala ya food production

Kwa watu wanaolewa Marketing watakuelewa mkuu ni haki yako kama customer kuichambua bidhaa kifupi watu wa Marketing wanamuangusha sana MO sio siri hakuna creativity kama huna creativity dunia ya sasa hutapata kitu
 
Sio kutumwa mkuu huo ndio ukweli bidhaa nyingi za Mo hazina quality kuanzia taste ya bidhaa mpk packaging ni rahisi kukuta lebo ya bidhaa ya Mo inaning'inia au ukaona kabisa gundi zile za fundi baiskeli imepakwa kwny lebo and the likes of that binafsi huwa namuangalia Mo km tajiri anaeangalia upande mmoja tu wa profit maximization lkn huwa haangalii quality ya bidhaa yke kuna mambo mengi sn kuhusu u-low quality wa Mo kuanzia bidhaa zke mpk viwanda vynyw vinavyotengeneza hzo bidhaa yn mazingira tu ya viwanda vyake ni machafu mno magari yake ni chakavu ata likiwa lina muonekano wa upya bdo litakuwa ni second hand ukiangalia mishahara anayolipa wafanyakazi ndo utacheka utakuta anatoa tangazo la ajira anakwambia anahtaj mtu mwny bachelor af mshahara 200k hapo nimeingizia tu ili ujue ubabaishaji wa Mo co tu kwny bidhaa bali ni muendelezo wa mambo mengi ktk career yke kwa kifupi Bakhressa amemuacha mbali sn Mo na hilo linathibitishwa na Mo mwnyw kwa njia ya copy and paste.

Boss umemaliza kila kitu!

Nimefanya kazi kiwanda cha Mo also Azam, kuna utofauti mkubwa sana between those two people

M/Mungu ampe maisha marefu huyu mzee wa Azam

The Man knows how to pay well his employees
 
Boss umemaliza kila kitu!

Nimefanya kazi kiwanda cha Mo also Azam, kuna utofauti mkubwa sana between those two people

M/Mungu ampe maisha marefu huyu mzee wa Azam

The Man knows how to pay well his employees
Mkuu Mo muhuni tu yn uhindi umemuharibu sn tazama ata mazingira yanayozunguka viwanda vyake pamoja na nyenzo wanazofanyia kazi vibarua wake yn ni hatarishi na kwakwel ata huo utajiri wake ambao tunaambiwa ndo namba moja bongo ni kutokana na ubahili wake uliopitiliza lkn km Bakhressa angekuwa bahili km yeye czani km japo angemkaribia, Mo kwny bidhaa yake ambayo ataiuza sh 500 bac ujue anaweza akapata ata 400 kutokana na u low quality wa material anazotumia tofaut na Bakhressa kwa kifupi Mo anapaswa kuchunguzwa ubora wa bidhaa zake
 
Acha waendelee kushindana tu ili fursa ziendelee kupatikana kwa raia.

Miti ya ukwaju kwa sasa ni deal huko Shinyanga na Tabora,miti inalipiwa kabla hata ukwaju haujakauka au kukomaa mitini.

Siku hizi kuna kangomba hadi kwenye mikwaju ilhali ilikuwa miti isiyo na thamani kihivyo ikikatwa mkaa hovyo.

Wataalamu watafiti waje na mbegu za muda mfupi mikwaju iwe zao la biashara kama korosho.
Mtiti wa mkwaju ni balaa.... Mti unapandwa leo ila kukua tu mbinde, mimi nimekua nimekuta kimti kidogo pale home lakini mpaka leo kiko vile vile na hakijaanza kuzaa. Watalaamu kujeni mpige pesa hku
 
Acha waendelee kushindana tu ili fursa ziendelee kupatikana kwa raia.

Miti ya ukwaju kwa sasa ni deal huko Shinyanga na Tabora,miti inalipiwa kabla hata ukwaju haujakauka au kukomaa mitini.

Siku hizi kuna kangomba hadi kwenye mikwaju ilhali ilikuwa miti isiyo na thamani kihivyo ikikatwa mkaa hovyo.

Wataalamu watafiti waje na mbegu za muda mfupi mikwaju iwe zao la biashara kama korosho.
Eti kangomba wachache tumeelewa
 
Ukwaju rasmi umeingia kama nyara za serikali ukitak safirisha lzm uwe n kibali naisi wakulima sasa inabid waangalie upnde mwingine
 
Back
Top Bottom