Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

Zeroiez

Senior Member
May 2, 2013
176
198
Wakazi wa mbagala kiburugwa tunaomba serikali iwajibike ipasavyo, barabara hii ni kubwa sana ila ni mbovu haipitiki kipindi cha mvua na kikiwa kipindi cha jua kali ni vumbi na mchanga mwingi kiasi kwamba inahatarisha watumiaji wake. Watumiaji wa hii barabara tunateseka.

 
Kuna ile barabara ya kutoka mbagara kizuiani kwenda kiburungwa magenge mapya jamanii watu wanateseka si kwa ubovu ule ๐Ÿ˜ณ
 
Huku Kinyelezi tunapata tabu sana. Hapa Majumba Sita Jucntion njia imefungwa yapata miaka 2 hatuoni dalili yoyote ya kufunguliwa. Na hawa Yapi Markez hawaonekani site. Yani ni mateso mtindo mmoja. Ili ufike Nyerere road inabidi uzunguke Gongo la Mboto. Ni shida sana.
 
Kuna ile barabara ya kutoka mbagara kizuiani kwenda kiburungwa magenge mapya jamanii watu wanateseka si kwa ubovu ule ๐Ÿ˜ณ
Wakazi na haya maeneo wanateseka sana. Huku viwandani hakupitiki ukija kwa huku mbele zakhiem kuelekea kiburugwa napo majanga...๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜ก
 
p
Wakazi wa mbagala kiburugwa tunaomba serikali iwajibike ipasavyo, barabara hii ni kubwa sana ila ni mbovu haipitiki kipindi cha mvua na kikiwa kipindi cha jua kali ni vumbi na mchanga mwingi kiasi kwamba inahatarisha watumiaji wake. Watumiaji wa hii barabara tunateseka.

View attachment 2968277
Poleni sana. Nilikaa huko napajua sana.
 
Ni mwendo wa sifa, safari, vijembe, maudhurio kila matukio, na hotuba zilizokosa mammlaka.
Na huu ni mwanzo maaka ifike 2030, mtanyooka wenyewe.
 
Wakazi wa mbagala kiburugwa tunaomba serikali iwajibike ipasavyo, barabara hii ni kubwa sana ila ni mbovu haipitiki kipindi cha mvua na kikiwa kipindi cha jua kali ni vumbi na mchanga mwingi kiasi kwamba inahatarisha watumiaji wake. Watumiaji wa hii barabara tunateseka.

View attachment 2968277
Hii Barabara wanasema limepita bomba la mafuta la TAZAMA hivyo hawaruhusiw kufanya matengenezo ya barabara Mpak wapate ruhusa ya kwao,
 
Wakazi wa mbagala kiburugwa tunaomba serikali iwajibike ipasavyo, barabara hii ni kubwa sana ila ni mbovu haipitiki kipindi cha mvua na kikiwa kipindi cha jua kali ni vumbi na mchanga mwingi kiasi kwamba inahatarisha watumiaji wake. Watumiaji wa hii barabara tunateseka.

View attachment 2968277
Hiyo unayoiita barabara si barabara bali ni njia iliyo juu ya bomba la mafuta toka Kigamboni kwenda Zambia(TAZAMA). Uwepo wa bomba hilo chini ya njia hiyo ndio unaozuia kurasimisha barabara labda tu bomba ling'olewe jambo ambalo haliwezekani, ushauri ni kutafuta njia nyingine.
 
Hii Barabara wanasema limepita bomba la mafuta la TAZAMA hivyo hawaruhusiw kufanya matengenezo ya barabara Mpak wapate ruhusa ya kwao,
Bomba limepita pembeni na wakazi husika walishalipwa na kuvunja nyumba zao
 
Hiyo unayoiita barabara si barabara bali ni njia iliyo juu ya bomba la mafuta toka Kigamboni kwenda Zambia(TAZAMA). Uwepo wa bomba hilo chini ya njia hiyo ndio unaozuia kurasimisha barabara labda tu bomba ling'olewe jambo ambalo haliwezekani, ushauri ni kutafuta njia nyingine.
Bomba halikupita katikati ya hyo njia ila lipo pembeni na makazi ya watu yalishasogezwa. Hivi kama ile sio barabara husika je wakazi wa huko watumie njia gani? Kwa nini kulichimbwa mfereji wenye upana wa futi saba?
 
Bomba halikupita katikati ya hyo njia ila lipo pembeni na makazi ya watu yalishasogezwa. Hivi kama ile sio barabara husika je wakazi wa huko watumie njia gani? Kwa nini kulichimbwa mfereji wenye upana wa futi saba?
Hiyo unayodai ni barabara upana wake si kama unavyodhani, ukitaka kuujua nenda kwenye viwanja vya Zakhiem na Kibondemaji. Upana huo uko hivyohivyo mpaka Zambia, ukisafiri kuelekea Morogoro, Mikumi, Iringa, Mbeya mpaka Tunduma utauuona upana ni huo, kwa kifupi ni mara nne ya upana wa barabara.
 
Back
Top Bottom