Nyox official
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 597
- 455
mwaka jana i mean 2018Yeah sasa inakuwa haina maana mkuu.
Kuna s3 ya mwezi wa 2?
mwaka jana i mean 2018Yeah sasa inakuwa haina maana mkuu.
Kuna s3 ya mwezi wa 2?
chukia samsung halafu bwana wee.Narudi tena nikiwa na narrower options, naomba nisaidiwe kufanya uchaguzi sahihi na ikiwezekana na sababu ili kwa bajeti yangu hii ndogo nisijichanganye. Nimefanya reseach kidogo nimekuta simu 3 za brands tofauti ila specifications karibu sawa..
Ninachotaka kutoka kwenu ni uchaguzi (possibly with reasons) ni ipi nzuri zaidi nikanunue kati ya hizi:
1. INFINIX HOT S4
2. SAMSUNG GALAXY A10
3. TECNO POUVOIR 2 PRO
Msinichoke jamani , natamani kizuri, sema uwezo mdogo.
watu wanataka box,lakini used ni option salama kwa kipato hafifu.Kwa hio bei mkuu ,unapata samsung galaxy 6 edge mbona ya mtumba ambayo ni sawa na mpya
Huna simu apo baba!!!!Ila watumiaji wa Samsung wanatudharau sana watumiaji wa tecno sijui kwanini
mtu kaomba ushauri kati ya tecno na infinix nyie mnaanza kumwambia ni bora anunue Samsung!!!!!
embu wakuu tujaribu kuheshimu mawazo na maamuzi ya mtu,hatuwezi kuwa uniform wote,so far tukiamua wote kuhamia Samsung tutaambiwa tena tuhamie iPhone!!!
Natumia tecno spark series na kwa 95% ninapata applications ambazo mwenye Samsung anapata.
mabati yamepata MotoMkuu kivipi ushindwe kupokea simu?Kitu gani kinasababisha?