Nishawah kutumia Tecno, simu miyeyusho kinyama, nilichukua W4, simu ikawa inaganda tuu, kimbembe Ukifungua data walah, inabdi uipe dk 5 kwanza ndo ikuelewe, nikaipush nikanunua l9 daah mtandao ikawa inasoma E mda wote labda uwe town center ndo inasoma angalau H+, nikasema isiwe tabu nikaona ninunue infinix sjui ndo note 3,nikatumia miez 4, simu ikabadirika rangi kioo, ukipiga picha inatoka nyeusi, nikarudi tecno w3 lite, simu ikawa inawaka dk 5, mara ichore mistari, kilichoniudh kuna siku nilikosa dili la pesa ndefu simu imekataa kupokea nikatamani kuibamiza chini, mwisho ikazima yenyewe, siku hyo hyo nilivunja kibubu kwenda kuchukua Samsung....kiufupi tu tecno na infinix ni toy za kuchezea watoto