Ngoja waje wazee wa tecno





tecno wezi kinoma wametoa Phantom 9 inauzwa kama laki 7 plus ajabu simu lina micro usb not usb c, no fast Charge, alafu wanasema hiyo ndio flagship device.
Inatumia processor ndogo P35

wamewahadaa watumiaji kwakuwela Amoled Display na On Screen Finger print, wakat hiyo laki 7 aisee ukiitupa pale aliexpress ni balaa, au unawexa itupa kwa Samsung S8, au LG G8
Dada sijui kaka nunua tu tecno au Infinix kama utapenda lakini ni nzuri miezi 6 ya kwanza baada ya hapo, material yake ya mwonekano yanaharibika inachubuka, kamera inaanza kufifia, kifuatacho nikuganda ganda.
Pili simu za tecno na infinix zina touch nzito vibaya mno, ukiweka na protector ndio kabisaa hata kama mpya. Huamini chukua tecno yeyote na Samsung anza kubonyeza apps uone ipi touch sensor ipo smooth.
Ongeza hapo kwenye laki 3, kiasi cha sh elf 60 ununue Galaxy A20. Nmependekeza hii maana ina kioo bora cha amoled apposed to A10