Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,613
Nianze kwa kudeclare interest kuwa mimi ni mtumiaji wa siku nyingi wa simu za TECNO. Ifahamike kuwa uchaguzi huu unatokana tu na uwezo wa kifedha na hivyo sikaribishi hoja ya ubora wa simu nyingine nje ya hizi mbili nilizotaja hapo juu.
Nia ya kuleta uzi huu hapa ni kutaka kupata mawazo kutoka kwa wazoefu wa Brand zote mbili ili niweze kufanya uchaguzi wa SMARTPHONE mpya ninayotarajia kununua. Itapendeza zaidi kama mtanipendekezea na aina inayoweza kunifaa kwa bei isoyozidi Tshs. 300,000/=
ASANTENI SANA!
Nia ya kuleta uzi huu hapa ni kutaka kupata mawazo kutoka kwa wazoefu wa Brand zote mbili ili niweze kufanya uchaguzi wa SMARTPHONE mpya ninayotarajia kununua. Itapendeza zaidi kama mtanipendekezea na aina inayoweza kunifaa kwa bei isoyozidi Tshs. 300,000/=
ASANTENI SANA!