Katika kile kinachoonekana kuwa ni danganya toto CCM katika mkutano wao wa hadhara hii leo wametumia kadi feki za CHADEMA ili kuwahadaa watanzania kuwa wanachama wa CHADEMA wamerudisha kadi.Ukichunguza kadi hizi hazina stika za kiingilio wala stika ya ada ya mwaka.vilevile hazina mhuri wa CHADEMA,vilevile hazina picha ya mwanachama na chakushangaza zaidi kadi zote zinaonekana ni mpya sana.chunguza picha hii utagundua mengi zaidi.