Ubishani! Kati ya Tanasha/Kenya na Muncy /Tanzania nani mzuri

Huyo mmeru ninaomba number yake please Mungu aisee ni fundi Kuna baadhi ya wanawake wamependelewa Kama huyo mmeru kumbe Arusha Kuna vyombo vikali kiasi hicho

Mkuu, naomba nirudie tena kutoa ushauri ambao nilishautoa humu wiki chache zilizopita.
"Tongoza mwanamke unaemfahamu!" Hakikisha kabla hujamtongoza demu, angalau uwe umemuona hata kwa mbali. Hizi picha za mitandaoni jamani zitawaponza.
Haya.. nyie endeleeni tu.
 
Huyo mmeru ninaomba number yake please Mungu aisee ni fundi Kuna baadhi ya wanawake wamependelewa Kama huyo mmeru kumbe Arusha Kuna vyombo vikali kiasi hicho
Tena mkuu ukikutana na wambulu ndo utajua arusha ni kimanyoko
Huyo mmeru ninaomba number yake please Mungu aisee ni fundi Kuna baadhi ya wanawake wamependelewa Kama huyo mmeru kumbe Arusha Kuna vyombo vikali kiasi hicho
Tena usiombe ukutane na wambulu ndo utasema arusha ni kimanyoko..mi nimeshakula wakina tanasha wengi sana wengine ni wakali kuliko miss Tz yeyote aliewahi kutokea...tena kule karatu ndo balaa unakula kitoto kizuri mpaka unahisi unaota maana hata beyonce haoni ndani
 
Acheni kumlinganisha tanasha dona na taka taka , huyo muncy body kama kifutu na yupo irregular shaped , njaa Kali na Meno yaliyooza , mtoa mada sjui umefkri nin kumkosea heshima tanasha aisee , wapo mademu wengi bongo wanaomkimbiza tanasha Ila sio huo upupu

Mkuuu umentumia Lugha chafu sana Kupitilza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom