Ubinadamu unapomshinda Binadamu...

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,709
Siku za hivi karibuni kumekua na migomo ya sekta nyeti sana inayohusu uhai wa bindamu,Udaktri.Wapo waliounga mkono wapo waliopinga migomo hiyo iliyotokea kwa nyakati tofauti.Lakini pia wapo waliounga mkono msimamo wa serikali na wapo waliokosoa,pia wapo waliowaunga mkono madaktari na wapo waliowakosoa. Ni jambo la hatari sana kwa sekta hizi nyeti kusagishana na kushindwa kuiona thamani ya Ubinadamu,wala hili sio jambo la ushabiki.lawama zimetolewa kwa pande zote mbili na wamejitahidi kwa nyakati tofauti kutafuta suluhu na imeshindikana au imepatikana ya muda tu.Kwa nini?ni kwa sababu wanadam au watanzania wote tuna matatizo ya kufanana na hayo yanasababisha yote haya. Juzi kati hapa nilileta thread hapa inayohusu namna watu wanavyochagua wenza wa maisha kwa misingi ya elimu,fedha na muonekano wa nje(sura).Michango mnaijua wenyewe,kuna watu hapa walisema hawawezi kuolewa au kuoa darasa la 7 au asie na hela au muonekano fulani.Hii ina maana kwamba,asiekua na vitu hivyo sio binadamu yuko nusu na hatakiwi kuoa au kuolewa,ili akamilike au awe binadam anatakiwa awe na vitu hivyo.kwa sababu huyu anakua hana sifa za binadamu,ndo maana hata akitoa mawazo yake hayasikilizwi,huyu hana akili wala busara,utamsikilizajaje mtu hajaenda shule?Naam imezuka sintofaham baada ya wenye akili(Madaktari na serkali) kushindwa kuutambua utu na ubinadamu na kusigishana kuhusu pesa.Ubinadamu ukikosa nafasi.watu midomo wazi wenye akili wanashindwa kuliona jambo kama hili. Watu wanajiuluza yanatoka wapi haya?Ukweli ni kwamba mfumo wetu wa malezi umeleta haya.Mfano mdogo ni kwamba mtu unapochagua mwenza kwa kutumia vigezo vya nje kama pesa,elimu,mtu kama huyu lazima mwanae atalelewa kwa misingi hiyo ya kuvithamini vitu hivyo.Familia kama hii haiwezi kuitambua thamani ya ubinadamu.Watoto hawa watawathaminisha binadamu wenzao kwa namna ya wazazi wao,yaani kama huna hela na elimu kwao wewe sio binadamu. Serikali yetu na madaktari ni matokeo ya familia za namna hii.Ni jambo gumu sana kuacha watu wafe kwa sababu haulipwi vyema,pia ni jambo gumu zaidi kuacha kutambua thamani ya mdaktari ukaacha kuwalipa vyeme na ukajilipa wewe vizuri,haya yote mawili ni unyama na malezi yako lazima yatakua na matatizo.Tunatakiwa tutambue kuwa ubinadamu ni zaida ya fedha,lakini hili haliji hivihivi tu linatoka kwenye malezi yete.Naam ubinadam haupo na umetushinda.Mtoto akifeli mtihani au akitoka familia maskini anaonekana thamani yake haina tofauti na kondoo.
 
Siku za hivi karibuni kumekua na migomo ya sekta nyeti sana inayohusu uhai wa bindamu,Udaktri.Wapo waliounga mkono wapo waliopinga migomo hiyo iliyotokea kwa nyakati tofauti.Lakini pia wapo waliounga mkono msimamo wa serikali na wapo waliokosoa,pia wapo waliowaunga mkono madaktari na wapo waliowakosoa. Ni jambo la hatari sana kwa sekta hizi nyeti kusagishana na kushindwa kuiona thamani ya Ubinadamu,wala hili sio jambo la ushabiki.lawama zimetolewa kwa pande zote mbili na wamejitahidi kwa nyakati tofauti kutafuta suluhu na imeshindikana au imepatikana ya muda tu.Kwa nini?ni kwa sababu wanadam au watanzania wote tuna matatizo ya kufanana na hayo yanasababisha yote haya. Juzi kati hapa nilileta thread hapa inayohusu namna watu wanavyochagua wenza wa maisha kwa misingi ya elimu,fedha na muonekano wa nje(sura).Michango mnaijua wenyewe,kuna watu hapa walisema hawawezi kuolewa au kuoa darasa la 7 au asie na hela au muonekano fulani.Hii ina maana kwamba,asiekua na vitu hivyo sio binadamu yuko nusu na hatakiwi kuoa au kuolewa,ili akamilike au awe binadam anatakiwa awe na vitu hivyo.kwa sababu huyu anakua hana sifa za binadamu,ndo maana hata akitoa mawazo yake hayasikilizwi,huyu hana akili wala busara,utamsikilizajaje mtu hajaenda shule?Naam imezuka sintofaham baada ya wenye akili(Madaktari na serkali) kushindwa kuutambua utu na ubinadamu na kusigishana kuhusu pesa.Ubinadamu ukikosa nafasi.watu midomo wazi wenye akili wanashindwa kuliona jambo kama hili. Watu wanajiuluza yanatoka wapi haya?Ukweli ni kwamba mfumo wetu wa malezi umeleta haya.Mfano mdogo ni kwamba mtu unapochagua mwenza kwa kutumia vigezo vya nje kama pesa,elimu,mtu kama huyu lazima mwanae atalelewa kwa misingi hiyo ya kuvithamini vitu hivyo.Familia kama hii haiwezi kuitambua thamani ya ubinadamu.Watoto hawa watawathaminisha binadamu wenzao kwa namna ya wazazi wao,yaani kama huna hela na elimu kwao wewe sio binadamu. Serikali yetu na madaktari ni matokeo ya familia za namna hii.Ni jambo gumu sana kuacha watu wafe kwa sababu haulipwi vyema,pia ni jambo gumu zaidi kuacha kutambua thamani ya mdaktari ukaacha kuwalipa vyeme na ukajilipa wewe vizuri,haya yote mawili ni unyama na malezi yako lazima yatakua na matatizo.Tunatakiwa tutambue kuwa ubinadamu ni zaida ya fedha,lakini hili haliji hivihivi tu linatoka kwenye malezi yete.Naam ubinadam haupo na umetushinda.Mtoto akifeli mtihani au akitoka familia maskini anaonekana thamani yake haina tofauti na kondoo.[/QUOTE

Kwavile hujasema unataka tuchangie wapi, mi nimechagua hapo kwa red
Hilo halitokani na malezi bali linatoka na ukweli kwamba pesa ndo inakufanya uwe na maisha mazuri hapa duniani
 
nawasalimu tu, niko MMU au si hasa, nisije kula banana bure.

Umeona eeh, huyu mpenzi wangu saa nyingine hadi anaboa yeye kila siku ulalamishi tu!
Mimi nishamwambia nampenda jinsi alivyo sijui anataka waziri gani tena ampende; duh!
 
Kaunga wifi yangu, kitinda mimba wetu huyo tulimzoesha kumdekeza na kumpa attention. Hebu utie kasi mama, asiidekee sirikali aje kudeka kwako! Jana alitaka kulala huku PAW akamtimua.
 
Last edited by a moderator:
Kaunga wifi yangu, kitinda mimba wetu huyo tulimzoesha kumdekeza na kumpa attention. Hebu utie kasi mama, asiidekee sirikali aje kudeka kwako! Jana alitaka kulala huku PAW akamtimua.

Yaani anadeka kweli, kutwa kucha kulalama tu. Jana namuita kitandani, mara ooh sijampikia ndizi za utumbo mara ooh sijamuita honey, full mideko.
Eiyer sweetie, achana na mambo ya serikali pasua kichwa hayo; njoo tufurahia natural things ambazo Mungu katupa!
 
Last edited by a moderator:
Uko sawa Eiyer kweli binadamu tumekosa utu kwa kweli na hata matabaka tuliyojijengea ni ya ajabu tunasahau kuwa muda wetu hapa duniani ni very limited kuupoteza kuonyeshana Masters na Phd zisizoweza hata kutusaidia kihualisia zaidi ya kukandamizana Shame on us, tumetengeneza kizazi cha ajabu kabisa
 
Last edited by a moderator:
Uko sawa Eiyer kweli binadamu tumekosa utu kwa kweli na hata matabaka tuliyojijengea ni ya ajabu tunasahau kuwa muda wetu hapa duniani ni very limited kuupoteza kuonyeshana Masters na Phd zisizoweza hata kutusaidia kihualisia zaidi ya kukandamizana Shame on us, tumetengeneza kizazi cha ajabu kabisa

Nakuambia mpaka tujikomboe kifikra,itachukua muda sana!
 
Last edited by a moderator:
Thread pasua kichwa,achana na haya mambo Eiyer ,we jimuvuzishe kwa Kaunga ukapate joto.
 
Last edited by a moderator:
Thread pasua kichwa,achana na haya mambo Eiyer ,we jimuvuzishe kwa Kaunga ukapate joto.
 
Last edited by a moderator:
Thread pasua kichwa,achana na haya mambo Eiyer ,we jimuvuzishe kwa Kaunga ukapate joto.

Mwambie labda weye atakusikia, weye muache nikianza kuangalia tamthilia asinisumbue na hivi ni mroho wa k! Sosi Mke wa mikela!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie labda weye atakusikia, weye muache nikianza kuangalia tamthilia asinisumbue na hivi ni mroho wa k! Sosi Mke wa mikela!

Angalia mama asinywe akanywa sumu ya panya,hawakawiagi hawa,hasa ukisha mchengua kwa mahaba.
 
Last edited by a moderator:
nimependa munavyo-philosophise kwenye huu uzi.... but hey guys, let's get real when we are dealing with the real world....
 
Thread pasua kichwa,achana na haya mambo Eiyer ,we jimuvuzishe kwa Kaunga ukapate joto.

Ngoja yakukute ndo utajua haya mambo sio ya kuacha hivi hivi,Kaunga yeye yupo tu,huyo ni wangu!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie labda weye atakusikia, weye muache nikianza kuangalia tamthilia asinisumbue na hivi ni mroho wa k! Sosi Mke wa mikela!

Utaeleweka tu,labda sio mimi Eiyer!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom