Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Huwezi elewa unabii km haupo kwenye nuru! Angalia maelezo yako yote Alafu uyape uzito Wa mafungu ktk biblia uone km yatakua sawa!
Yesu alisema wayahudi ni wa sinagogi la shetani,na watatupwa motoni siku za mwisho.
ndo maana hata mpinga kristo inasemwa atakua ni myahudi.ni baada ya vita kupiganwa na wanadamu watakumbana na hali ngumu sana na ndo kutakua na hayo masharti ya kumfuata huyo jamaa ama usiruhusiwe kuuza ama kununua a.k.a economic sanction,na kila mtu anajua ni taifa la marekani ndo lina kawaida ya kuzuia mataifa mengine kutouza wala kununua.
ukiacha suala la kuwekewa chip mkononi bado marekani watakua na record ya fingerprint(mkono)ya kila binadamu na pia eye scan(iris) hizo record hukusanywa na NSA kupitia njia mbalimbali ikiwemo facebook.kwa record hizo wataweza kucontrol dunia yote.