a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 3,331
- 3,812
KUTOKUSAMEHE KUHIFADHI UCHUNGU MOYONI*
Mfano 1.
muonekano wa nje*
Mama G huyu mama wa watoto 4 mwenye umri wa miaka 56..anatumikia kanisani kwa miaka 20 sasa,anaimba kwaya,anafundisha anahubiri injili,anatoa sadaka ,ni mtumishi anatumikia kanisa kwa uaminifu kwa miaka yote zaidi ya 20
muonekano wa ndani
Mume wake alimuacha miaka 20 iliyopita akaondoka na nusu ya mali walizochuma pamoja kwenda kuoa kabinti kadogo dogo kabichi akawatelekeza yeye mama G na watoto, na watoto waliumia sana kuachwa na baba yao.
Moyo wa mama G unavyoonekana katika ulimwengu wa roho
--umejaa kinyongo ma majeraha makubwa ya mauchungu chuki kisasi juu ya baba G ..ambao aliapa hatasamehe mpaka kufa anasema alimuumiza sana yeye pamoja na watoto,aliwatelekeza na akachukua nusu ya mali akaenda kuoa mwanamke mwingine.
askofu mmoja
muonekano wa nje
nitumishi anayetumika kwa viwango vikubwa makatifu kabisa...
muonekano wa ndani moyoni mwake
kuna muumini mmoja ambaye ni kiongozi mmojawapo wa kamati , huwa anampinga sana wazi wazi kwenye maswala mbali mbali yanayohusu yanayohusu miradi ya maendeleo ya ,kwa kumkosoa waziwazi..
moyoni mwake amejaa chuki na kinyongo juu ya kukosolewa kwa muda mrefu ,kinyongo..maheraha ya moyo.
Tusichokijua Mungu haangalii kama sisi wanadamu ,yeye anaangalia NJE NA NDANI?
Tendo hilo dogo tu la kutokusamehe peke yake linatosha kukuzuia usiingie mbinguni .
SHERIA YA MUNGU IPO WAZI...INASEMA
1)Mt 6:14-15
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu
2)Ebr 12:14
Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao
3)LUKA 6:27
Sikieni niwaambie, wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia. 28 Wabarikini wanaowalaani, waombeeni mema wanaowaumiza
4).Mt 5:44-45
lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
Na kingine cha muhimu hata watu wabaya ni Mungu amewaumba kwa makusudi yake
SAULO alishiriki kumpiga mawe stefano baadae akaja kuwa PAULO, ..je kama stefano asingemsamehe alipokuwa anapigwa mawe..
Yesu mwenyewe aliwasamehe waliomsulibisha pale msalabani ambao ni mimi na wewe alijeruhiwa na kuchubuliwa kwa makosa yetu.
Mfano mzuri ni wale watu watatu waliotupwa kwenye tanuru liwakalo moto walipokataa kusujudia sanamu ,mfalme akashangaa walitupa watu watatu lakini wameongezeka wamekuwa wanne..daniel,meshack anediego shedrack..
lakini pamoja na mfalme kuwafanyia uovu ubaya ..wao walimsemesha vizuri..uishi milele ewe mfalme(wakimuombea dua njema) ..wakaendelea kusema kuwa BWANA hakuona hatia ndani yetu akamtuma malaika wake atuokoe na huu moto..
Ayubu pia aliwaombea rafiki zake waliomuudhi..na kwa kufanya hivyo uteka wake ukamtoka.akapona.
HATA WATU WABAYA MUNGU amewaumba kwa siku ya ubaya
Mungu alifanya moyo wa Farao kuwa mgumu kama fundisho ili BWANA apate kutukuzwa..
Mit 16:4 SUV
BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya
Source: Wingu la Mashahidi – NAAM, HATA WABAYA KWA SIKU YA UBAYA. – Site title
Mfano 1.
muonekano wa nje*
Mama G huyu mama wa watoto 4 mwenye umri wa miaka 56..anatumikia kanisani kwa miaka 20 sasa,anaimba kwaya,anafundisha anahubiri injili,anatoa sadaka ,ni mtumishi anatumikia kanisa kwa uaminifu kwa miaka yote zaidi ya 20
muonekano wa ndani
Mume wake alimuacha miaka 20 iliyopita akaondoka na nusu ya mali walizochuma pamoja kwenda kuoa kabinti kadogo dogo kabichi akawatelekeza yeye mama G na watoto, na watoto waliumia sana kuachwa na baba yao.
Moyo wa mama G unavyoonekana katika ulimwengu wa roho
--umejaa kinyongo ma majeraha makubwa ya mauchungu chuki kisasi juu ya baba G ..ambao aliapa hatasamehe mpaka kufa anasema alimuumiza sana yeye pamoja na watoto,aliwatelekeza na akachukua nusu ya mali akaenda kuoa mwanamke mwingine.
askofu mmoja
muonekano wa nje
nitumishi anayetumika kwa viwango vikubwa makatifu kabisa...
muonekano wa ndani moyoni mwake
kuna muumini mmoja ambaye ni kiongozi mmojawapo wa kamati , huwa anampinga sana wazi wazi kwenye maswala mbali mbali yanayohusu yanayohusu miradi ya maendeleo ya ,kwa kumkosoa waziwazi..
moyoni mwake amejaa chuki na kinyongo juu ya kukosolewa kwa muda mrefu ,kinyongo..maheraha ya moyo.
Tusichokijua Mungu haangalii kama sisi wanadamu ,yeye anaangalia NJE NA NDANI?
Tendo hilo dogo tu la kutokusamehe peke yake linatosha kukuzuia usiingie mbinguni .
SHERIA YA MUNGU IPO WAZI...INASEMA
1)Mt 6:14-15
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu
2)Ebr 12:14
Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao
3)LUKA 6:27
Sikieni niwaambie, wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia. 28 Wabarikini wanaowalaani, waombeeni mema wanaowaumiza
4).Mt 5:44-45
lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
Na kingine cha muhimu hata watu wabaya ni Mungu amewaumba kwa makusudi yake
SAULO alishiriki kumpiga mawe stefano baadae akaja kuwa PAULO, ..je kama stefano asingemsamehe alipokuwa anapigwa mawe..
Yesu mwenyewe aliwasamehe waliomsulibisha pale msalabani ambao ni mimi na wewe alijeruhiwa na kuchubuliwa kwa makosa yetu.
Mfano mzuri ni wale watu watatu waliotupwa kwenye tanuru liwakalo moto walipokataa kusujudia sanamu ,mfalme akashangaa walitupa watu watatu lakini wameongezeka wamekuwa wanne..daniel,meshack anediego shedrack..
lakini pamoja na mfalme kuwafanyia uovu ubaya ..wao walimsemesha vizuri..uishi milele ewe mfalme(wakimuombea dua njema) ..wakaendelea kusema kuwa BWANA hakuona hatia ndani yetu akamtuma malaika wake atuokoe na huu moto..
Ayubu pia aliwaombea rafiki zake waliomuudhi..na kwa kufanya hivyo uteka wake ukamtoka.akapona.
HATA WATU WABAYA MUNGU amewaumba kwa siku ya ubaya
Mungu alifanya moyo wa Farao kuwa mgumu kama fundisho ili BWANA apate kutukuzwa..
Mit 16:4 SUV
BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya
Source: Wingu la Mashahidi – NAAM, HATA WABAYA KWA SIKU YA UBAYA. – Site title