mluga
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 676
- 215
Jamani hivi tunakwenda wapi? hili zoezi la kuwa kila siku viongozi wa serikali wanafurutisha, je hiyo kasma imetoka wapi na sasa hata balozi zimeanza huu mchezo. Hivi ikifika shughuli za madhehebu pengine je serikali itawafanyia sherehe watu hao?
Hili swala tulitazame kwa macho mawili litatuletea matatizo mbele, kama balozi ni muumini wa kiislamu, awaalike kwake nyumbani kwa hela yake, na wala aitumie pesa ya walipa kodi. Kuna hatari hata wakuu wa mikoa na wilaya wataanza nao.
Tunataka kupelekwa kubaya, JK aliingilie hili haraka iwezekanavyo
Hili swala tulitazame kwa macho mawili litatuletea matatizo mbele, kama balozi ni muumini wa kiislamu, awaalike kwake nyumbani kwa hela yake, na wala aitumie pesa ya walipa kodi. Kuna hatari hata wakuu wa mikoa na wilaya wataanza nao.
Tunataka kupelekwa kubaya, JK aliingilie hili haraka iwezekanavyo