Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza wafuturisha

Tukianza ya Krismasi na Iddi tutakuwa tunakuza tatizo ambalo JF inapaswa kuwa chachu katika kulitokomeza, UDINI.

Tujaribu kuzingatia gharama ambazo nchi inalipa kuhudumia balozi zaidi ya 30 duniani. Tuzingatie pia kwamba audited reports za balozi nyingi huwa zina matatizo lukuki. Swali ni Je watanzania tumeridhia kuwatuma maofisa wetu na pesa zetu kwenda kuwaburudisha au kuwalisha watanzania wenzetu waliopo ughaibuni? (iwe ijumaa, jumapili au besdei pati za kila mmoja wao vyote vile)

Je ni nini majukumu ya hawa watumishi balozi zetu na ni kwa namna gani huwa utendaji wao unapimwa?

Well kama tuna ubalozi afrika ya kusini na still mahusiano ya kibishara baina ya nchi yetu na bondeni yanategemea ziara za rais wetu then something is still wrong there...

Ila kila nchi inakuwa na mission katika balozi zake sehemu mbali mbali (sizungumzii ujasusi au chin* na wizi wa teknolojia) ila sijui kama tuna kitu kama hicho.
 
Jamani hivi tunakwenda wapi? hili zoezi la kuwa kila siku viongozi wa serikali wanafurutisha, je hiyo kasma imetoka wapi na sasa hata balozi zimeanza huu mchezo. Hivi ikifika shughuli za madhehebu pengine je serikali itawafanyia sherehe watu hao?

Hili swala tulitazame kwa macho mawili litatuletea matatizo mbele, kama balozi ni muumini wa kiislamu, awaalike kwake nyumbani kwa hela yake, na wala aitumie pesa ya walipa kodi. Kuna hatari hata wakuu wa mikoa na wilaya wataanza nao.

Tunataka kupelekwa kubaya, JK aliingilie hili haraka iwezekanavyo

Mbona mwaka mpya huwa wanafanya party hamsemi!
 
Alaa mnapopamba mapambo ya Christmas, Pasaka kuweka matawi na kadhalika na kuwasha mataa huwa sii ibada ya Kikristu?...hakuna sikukuu yeyote ambayo maofisi ya serikali hayapambwi na hizi ibada zenu ambazo hufuatia dua na kadhalika... Sisi wengine tunashiriki sana hata ktk mikutano, chakula na kadhalika lazima tufumbe macho, vichwa chini tukimwomba Yesu kabla...lakini kama limetokana na Uislaam ni kosa!..


Mwongo utamjua tu. Sasa umetoka kwenye misa umeenda kwenye mapambo halafu unarudi kwenye misa tena. Vyote ushahidi huna.
 
Mbona balozi za huku kufanya misa za Pasaka na Christmas Ubalozini na hakuna mtu anauliza nchi inakwenda wapi?.. Acheni udini..

Ujunga na upumbavu ni ule ule tu. Kama ubalozi ukiandaa easter mass au christmas mass ubalozini ni ujinga tu, hakuna tofauti na ubalozi kufuturusha. Ujinga ni kufanya shughuli zenye connection ya kidini kwenye balozi zetu au kwenye majengo ya kiserikali. Tuliamua kuwa secular state we have to be so.
 
Wakuu apologies.......... I posted nasty language jana kwenye hii thread, I admit it was out of order!

Pamoja na tofauti zetu na provocation zinazoendelea, naamini i went below the belt

SORRY TO ALL WALIOKUA OFFENDED
 
Back
Top Bottom