Ubalozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Umulikwe

Bipolar

Member
Apr 29, 2016
44
49
Haiwezekani mtu ulipie visa, ubalozi ukosee (mfano Jina au tarehe)katika kuandika visa, halafu ukiwaambia warekebishe wanasema ulipie upya. Huo ni utapeli na haileti taswira nzuri kwa nchi.

Kama ndiyo utaratibu wa Balozi zetu kulipisha watu mara mbili wakati kosa ni la ubalozi, mamlaka husika mlirekebishe hilo.
 
Haiwezekani mtu ulipie visa, ubalozi ukosee (mfano Jina au tarehe)katika kuandika visa, halafu ukiwaambia warekebishe wanasema ulipie upya. Huo ni utapeli na haileti taswira nzuri kwa nchi.
Kama ndiyo utaratibu wa Balozi zetu kulipisha watu mara mbili wakati kosa ni la ubalozi, mamlaka husika mlirekebishe hilo.
Tundu Lisu amekusikia!
 
Haiwezekani mtu ulipie visa, ubalozi ukosee (mfano Jina au tarehe)katika kuandika visa, halafu ukiwaambia warekebishe wanasema ulipie upya. Huo ni utapeli na haileti taswira nzuri kwa nchi.
Kama ndiyo utaratibu wa Balozi zetu kulipisha watu mara mbili
wakatii kosa ni la ubalozi,
husikaa mlirekebishe hilo.
Hayo ndiyo madhara ya sifa za kuteuliwa kuwa Balozi ni kujua kusoma na kuandika maana wanateuliwa baada ya wananchi kuwatupilia mbali kwenye Uchaguzi wa Ubunge. Ubalozi ni fadhila!
 
Haiwezekani mtu ulipie visa, ubalozi ukosee (mfano Jina au tarehe)katika kuandika visa, halafu ukiwaambia warekebishe wanasema ulipie upya. Huo ni utapeli na haileti taswira nzuri kwa nchi.
Kama ndiyo utaratibu wa Balozi zetu kulipisha watu mara mbili wakati kosa ni la ubalozi, mamlaka husika mlirekebishe hilo.
Kijana nchi inakusanya mapato , lipia upya
 
Balozi zetu za nje zina madudu mengi sana.


Niliwahi kuhitaji emergency travel passport mwaka fulani nikiwa Greece.
Nikatuma maombi Italy ubalozi wa Tanzania.
Nikalipia na euro 30 za posta emergency.

Lakini passport imekuja mwaka wangu wa kuzaliwa na mwaka wa kutoka passport ni the same.tofauti ni
My Date of birth na date of passport issue zimepishana mwezi mmoja tu..

Maana yake nimeomba passport nikiwa na umri wa mwezi mmoja tu.

Yaani ajabu kabisa.
 
Mkuu ubalozi wa Tanzania Sweden huko poa kabisa yani wafanyakazi pale wana weledi wa aina yake. Ukifika tu unajisikia hupo nyumbani na watakupa ushirikiano wa aina yake.
Mkuu, huko ndo kwa mkuu sana Dr wa ukweli dr Slaa?
Alivyoondoka tu chadema ikaporomoka kuelekea kaburini
 
Haiwezekani mtu ulipie visa, ubalozi ukosee (mfano Jina au tarehe)katika kuandika visa, halafu ukiwaambia warekebishe wanasema ulipie upya. Huo ni utapeli na haileti taswira nzuri kwa nchi.
Kama ndiyo utaratibu wa Balozi zetu kulipisha watu mara mbili wakati kosa ni la ubalozi, mamlaka husika mlirekebishe hilo.
Wapinzani wametuchelewesha sana
 
Balozi zetu za nje zina madudu mengi sana.


Niliwahi kuhitaji emergency travel passport mwaka fulani nikiwa Greece.
Nikatuma maombi Italy ubalozi wa Tanzania.
Nikalipia na euro 30 za posta emergency.

Lakini passport imekuja mwaka wangu wa kuzaliwa na mwaka wa kutoka passport ni the same.tofauti ni
My Date of birth na date of passport issue zimepishana mwezi mmoja tu..

Maana yake nimeomba passport nikiwa na umri wa mwezi mmoja tu.

Yaani ajabu kabisa.
Bora kma hukupata tatizo, mimi kipindi hiki cha kupima corona sasa kuna nchi flan walikosea date of birth ya kwenye passport na ile ya kwenye certificate yao waliyonipa, dah acha tu mkuu kwani niligundua wakati niko Airport tayari, Mungu ni mwema siku zote..
 
Haiwezekani mtu ulipie visa, ubalozi ukosee (mfano Jina au tarehe)katika kuandika visa, halafu ukiwaambia warekebishe wanasema ulipie upya. Huo ni utapeli na haileti taswira nzuri kwa nchi.
Kama ndiyo utaratibu wa Balozi zetu kulipisha watu mara mbili wakati kosa ni la ubalozi, mamlaka husika mlirekebishe hilo.
Kirusi Tundu Lissu kishawaingia
 
Bora kma hukupata tatizo, mimi kipindi hiki cha kupima corona sasa kuna nchi flan walikosea date of birth ya kwenye passport na ile ya kwenye certificate yao waliyonipa, dah acha tu mkuu kwani niligundua wakati niko Airport tayari, Mungu ni mwema siku zote..
Nilipata matatizo makubwa tu. Kuanzia pale airport Athena na hapa Julius nyerere international airport..

Waliniweka pembeni kwamba passport fake..na nimetoroka inchini.

Uzuri nilikuwa na risiti,,nikawaambiya mpigieni Simu balozi wa Tanzania Italy,
Wakasema sio kazi yao.nisiwafundishe kazi.

Baadae wakanipa kesi ya kutoroka nchini.

Halafu mbaya zaidi jina langu limewekwa la baba na la baba ndy limeanza kama ndy jina langu..

Walinisumbuwa sana,,tangu alfajiri hadi saa saba mchana,ndy natoka ,,tena baada ya kuwatajia lost passport number yangu,,na siku niliyotoka hapo airport ,kuelekea Turky..

Walipoona najitambuwa,,wakaanza kuombaomba vitu vya kwenye bag langu mfano perfumes,, PESA nk.
Jamaa waliniudhi sana hapo airport,,
Mbaya zaidi walinikosesha mtoto mrembo sukari,,baada ya usumbufu huo wa passport.

Nikiwa Cairo , nilipata mrembo mmoja wa chuo ,,tulikutana hapo hapo Cairo wakati wa kubadilisha ndege,,

Mtoto mrembo mno,,
Alikuwa mwanachuo fulani Russia,, nilikuta anapiga Simu huku analia,, kilichonifanya nimsogelee ni baada ya kumsikia anaongea kiswahili,
Kumbe alikuwa amefiwa na baba yake huko bukoba,
Ikabidi tukawa friends kwa muda ule, tukakubaliana tukifika afikie kwngu kwanza next day aelekee bukoba.

Kufika dar nikawekwa pembeni,,
nikamwambiya mrembo nisubiri,,,
Nilipotoka nje sikumwona tena yule mrembo.
sikuweza kuwasiliana nae tena.,nadhani alinisubiri hadi akachoka.
Mrembo hakuwa na namba ya Simu wala mm sikuwa na namba ya Simu ,sote tulikuwa tunatoka ughaibuni,2011.

Walinikosesha mrembo Hawa jamaa kwa uzembe wao kule embassy ya Tanzania Italy na usumbufu wa hapo airport dar.
Hivi mtu akiwa na passport ya dharura hapa Tanzania pia ni kesi?
 
Back
Top Bottom