Ubalozi wa Mongolia

Ubalozi wa Mongolia

Philipine wapo poa sana isee tena kuna msikini zaidi yetu nilikuwa mall moja mji unaitwa makat bi dada aliomba sana nirudi nae bongo aje afanye hata kazi za ndani lkn nilpomwangalia nikajua najitafutia mke mwenza lkn very polite yani mwaaa.
Mkuu ungemleta tu, huwa ni wazuri aisee si wakina Yna wa The Promise
 
Uzi wa toka 2014 naamin alifika Mongolia salama na tour ilimalizika salama
 
Write your reply...
mji Mkuu wake unaitwa ulan Bato
nenda ubalozi wa China au Vietnam kwa maelezo zAidi
nilikuwa Asia miez miwili ilyopita Melbourne Australia
pia astana Kazakhstan tulilala baada ya hali ya hewa Kuwa mbaya wakAti wa kurudi kutoka Australia
cc
NIYOMBARE
britanicca
 
Write your reply...
mji Mkuu wake unaitwa ulan Bato
nenda ubalozi wa China au Vietnam kwa maelezo zAidi
nilikuwa Asia miez miwili ilyopita Melbourne Australia
pia astana Kazakhstan tulilala baada ya hali ya hewa Kuwa mbaya wakAti wa kurudi kutoka Australia
cc
NIYOMBARE
britanicca
Kazakhstan niliwapenda sana ni wakalimu kuliko nilivyodhania
 
Tafadhali naomba kujuzwa kama kuna uwakilishi wa MONGOLIA hapa nchini kwetu mwenye kuujua anijuze na location please.
Leomimi huyo dada alieko hapo kwenye Avatar yako unamjua?

Namfahamu,nilimuonaga kwenye movie zamani nikiwa na miaka 15 mpaka leo nampenda sana!

Aliolewaga na jamaa yangu mmoja ana Merkhi Phifer wakazaa watoto wawili wakaachana...

I wish nimuoe ndotoni..

Hahahaaaa
 
Kazakhstan niliwapenda sana ni wakalimu kuliko nilivyodhania
ndio Mkuu wana spirt ya maendeleo
nilikaa cku moja tu pale hali ya hewa haikuwa rafiki ikabidi pipa letu LA Turkish airlines litue kwa emergency
Asia hali ya anga inasumbua sana cjui kwanini nilijuta kwenda Australia
 
ndio Mkuu wana spirt ya maendeleo
nilikaa cku moja tu pale hali ya hewa haikuwa rafiki ikabidi pipa letu LA Turkish airlines litue kwa emergency
Asia hali ya anga inasumbua sana cjui kwanini nilijuta kwenda Australia
Turkish airlines vipi wameshabadili huduma zao?
 
vi Nepal afya mgogoro sana vina njaa Kali
wengi ni wabudha niliwaona pale manila wamejaa shazi
Alafu nawaogopa sana maana ukienda sana nje ya mji nadhani wanaweza kukudhuru, japo nimekaa Kathmandu week kadhaa lakin Sikwenda deep sana, ila pale tetemeko la ardhi muda wowote
 
Turkish airlines vipi wameshabadili huduma zao?
wapo vizuri nimewahama etihad mda sana
kwa sasa Turkish airline n kampuni ya NNE duniani kwa ubora
mungu akijalia mwakani tutaenda Rio brazili
tutaenda nayo kwasasa Turkish airlines wameteka soko LA ulaya hasa nchi za Spain ,German, sweden , Belgium,Italy
pia marekAn Turkish airlines imeteka vilivyo IPO ktk miji 25
kwasasa wana route mpya from German Santiago via Rio
German Brasilia,Ankara neywork via Toronto
 
wapo vizuri nimewahama etihad mda sana
kwa sasa Turkish airline n kampuni ya NNE duniani kwa ubora
mungu akijalia mwakani tutaenda Rio brazili
tutaenda nayo kwasasa Turkish airlines wameteka soko LA ulaya hasa nchi za Spain ,German, sweden , Belgium,Italy
pia marekAn Turkish airlines imeteka vilivyo IPO ktk miji 25
kwasasa wana route mpya from German Santiago via Rio
German Brasilia,Ankara neywork via Toronto
Mi ndege ambayo sitapanda ni Ethiopia hata nipewe ticket free
 
Alafu nawaogopa sana maana ukienda sana nje ya mji nadhani wanaweza kukudhuru, japo nimekaa Kathmandu week kadhaa lakin Sikwenda deep sana, ila pale tetemeko la ardhi muda wowote
siwapend KBS
vijambz jambz vimekaa kishida shida
 
siwapend KBS
vijambz jambz vimekaa kishida shida
Comrade muwe mnaanzisha threads za hizo Nchi za ajabu ajabu.. Ndio Maarifa yenyewe, humu ndani Kuna uzi unazungumzia ijue Nchi ya Cape Verde, Brunei, Korea kaskazin.. Nk
 
Kuna sehem nishawahi kuona pameandikwa Mongolia house nadhani maeneo ya Posta km sio Oysterbay
 
Mi ndege ambayo sitapanda ni Ethiopia hata nipewe ticket free
umenena,ukipanda Ethiopia airlines ni kama basi
huduma mbovu hawana care
ukiingia pale bole airport ndio balaa vyoo vichafu hadi kero pia wanafaulisha abiria utadhn daladala
cku moja naenda Germany from kia nafika bole tunafaulishwA ndege nyingine full usumbufu
nipo na Turkish airlines
 
Back
Top Bottom