Ubalozi wa Mongolia

Ubalozi wa Mongolia

Sasa we preta kama upo huko c ndio unipe taharifa kamili nimeambiwa kwa sasa hakuna baridi lkn mwenyeji wangu hafahamu kama tuna ubalozi hapa wewe ulipataje viza
Karibu sana........
 
Wala siendi kuishi just for tour kwa iyo mimi ni mtanzania na watatjua hivyo mpaka ntaporudi
Ukifika huko useme umetoka Marekani,ukisema umetoka Afrika utabaguliwa zaidi ya mbwa.
 
Kwa sasa hivi hakuna ndio mana naitaji kwenda mda huu na hata kama ipo sidhani kama itanishinda kuna mahali nimekwenda skandnavia na ilikuwa msimu wa baridi sikuona kama nimeshindwa.
[/LIST]
9832]Ni nchi ya kijamaaa ila kuna baridi sana uwezi wewe!
 
Tafadhali naomba kujuzwa kama kuna uwakilishi wa MONGOLIA hapa nchini kwetu mwenye kuujua anijuze na location please.

Mkuu si uende China badala ya Mongolia? Watu wengine mbona mnapenda matatizo hivyo?
 
Visa zao unaweza kuchukulia palepale air port (visa on arrival)
 
Hilo sio tatizo mkuu nimeshakwenda sehemu najikuta chuo kizima mweusi peke yangu lkn nilimaliza nikarudi kwa amani ni kweli hawajui lkn idear wanayo kupitia tv na vitabu..
Si huko mkuu ndiko ambako wananchi vijijini hawajawahi kuona ngozi nyeusi kabisa? Yaana mpaka vitoto huwa vinakimbia kujificha vikiona ngozi nyeusi!! Nakumbuka awamu moja tulienda Cambodia hayo ndo yalitukuta!!
 
Back
Top Bottom