Ubarozi wa Kenya nchini Tz, umetaka maelezo kuhusu raia wao aliyekufa kwny vurugu za Arusha. Polis tz yahaha kutafuta maelezo yatakayo watosheleza wakenya... Chanzo taarifa ya habari Passion FM, leo trh 11/01/2011 saa 21:00.
Then what? Hawakuja kununua kitunguu hawa?
Lakini kuna Mtanzania aliyeuwawa huko Kenya wakati wa vurugu zile, halafu muuaji akaachiliwa huru. Je Serikali ya Tanzania iliwaghi kudai maelezo?
Kichuguu hiyo haihalalishi na wao tuwaue.Lakini kuna Mtanzania aliyeuwawa huko Kenya wakati wa vurugu zile, halafu muuaji akaachiliwa huru. Je Serikali ya Tanzania iliwaghi kudai maelezo?
Kama serikali yenu haikudai maelezo hiyo ni shauri yenu. Wao wanataka sasa. Wapeni taarifa sasa, mnakwepesha nini!!
inawezekana kabisa kuna Mtanzania aliuwawa katika vurugu za Kenya; ukweli ni kwamba hakuna serikali inayowajibika kwa maisha ya wa-Tanzania katika awamu hizi zawachakachuaji kina Kikwete. Kilichotokea Arusha kitabaki katika historia ya aibu katika nchi hii na CCM wasijidanganye, wahusika wote pamoja na Kikwete watawajibishwa mbele ya haki hata kama itakuwa ni baada ya miaka kumi ijayo. I hate CCM and Kikwete.Lakini kuna Mtanzania aliyeuwawa huko Kenya wakati wa vurugu zile, halafu muuaji akaachiliwa huru. Je Serikali ya Tanzania iliwaghi kudai maelezo?
Kichuguu hiyo haihalalishi na wao tuwaue.
Kama serikali yenu haikudai maelezo hiyo ni shauri yenu. Wao wanataka sasa. Wapeni taarifa sasa, mnakwepesha nini!!
Correct!! Serikali yetu haina interest na welfare za raia wake.
Sahihisho. ... wamejificha.... tunaendelea... tutawafahamisheni. Lugha hii ngumu kweli. For English, I am pafekti!