Ubaki na akili timamu ama jitoe akili uwe chawa

Ubaki na akili timamu ama jitoe akili uwe chawa

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
3,426
Reaction score
3,912
Naamini MACHAWA WOTE wana akili timamu,ila wameamua KUJITOA AKILI,kujizima data,kujitoa ufahamu kuna machawa wamesoma vyuo vikuu,wengine ni maprofesa kabisa

Usifikiri hawa wanaoposti hapa UCHAWA UCHAWA ni kwamba wao hawana akili timamu au hawaoni,ni watu walioamia KUTUMIKA wakiwa na akili zao timamu ila wamejigeuza ma ZEZETA ama viziwi au WAMEJITIA UPOFU wa AKILI na UKIZIWI.

Screenshot_20260819-172509.jpg
Screenshot_20260805-120733.jpg
 
Sure meno hayang'ati ulipo ulimi,Kama kazi yao dhambi sijui malipo yatakua Nini?
 
SO wanaishi kama watu WALIOKATWA VICHWA yani wasio na UBONGO kichwani.MAKUSUDI TU .

na hata wakiwa wanaongea ,wanaongea kama WATU WASI NA VICHWA. yani kama viwiliwili tu.

Wameamua kwa makusudi KUZIFUNGIA AKILI ZAO STOO.

Maana KAZI YAO ya UCHAWA inawalazimisha WASIWE NA AKILI KABISA..ama HAWATAKIWI kutumia aki kabisa hata 1.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom