MIDFIELD
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,944
- 703
Jamani nimewaangalia wanaharakati wa haki za binadamu wakiadhimisha harakati zao wamesema kwamba unyanyasaji dhidi ya wanawake na ndoa za utotoni.
Kilichoniacha hoi mimi, ni pale waliposema suala la ubakaji ni kubwa ndani ya ndoa kuliko hata ubakaji wa kawaida.
Hii imenishangaza kidogo, hivi watu waliooana wanabakana!!! How?
Kama ni hivyo imekuwaje wameoana sasa kama bado wanabakana, yaani wanamaanisha mwanamke kubakwa na mwanamme. Hebu tujadili pamoja. Hii hoja ni kweli? Na imekaaje
Karibuni
Source: Habari ITV
Kilichoniacha hoi mimi, ni pale waliposema suala la ubakaji ni kubwa ndani ya ndoa kuliko hata ubakaji wa kawaida.
Hii imenishangaza kidogo, hivi watu waliooana wanabakana!!! How?
Kama ni hivyo imekuwaje wameoana sasa kama bado wanabakana, yaani wanamaanisha mwanamke kubakwa na mwanamme. Hebu tujadili pamoja. Hii hoja ni kweli? Na imekaaje
Karibuni
Source: Habari ITV