Kuna tukio moja nilikuwa nasoma mahali ,huko Russia kibaka alivamia saloon ya kike akakutana na mrembo mwenye saloon ,alizidiwa nguvu na mrembo akafungwa kamba akalishwa Viagra vya kutosha ,akamlazimisha kwa siku 3 halafu akamwachia ,jamaa alipoachwa akaenda polisi kwa kesi ya kubakwa ,mrembo alikiri akasema jamaa ni mpumbavu nimemlisha bure na nikamnunulia na suruali. ,Wote wakapewa kifungo