mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,903
Wakuu, ni matumaini yangu kuwa hatujambo wote!
Yawezekana nikawa mgeni, lakini ninastaajabu Sana ninaposikia eti mtu yupo katika ndoa na anabakwa na mwenza wake waliojenga ndoa pamoja!
Niliziona taarifa katika tovuti ya BBC, zikimwelezea mwanaume mmoja ambaye alikuwa akielezea kwa maskitiko makubwa namna mpenzi wake alivyokuwa akimbaka na kumnyanyasa kijinsia!
Lakini pia Jana nimeona taarifa za Wastara akieleza kuwa mme wake alikua akimbaka.
Sasa wakuu, huku kubakwa na mwenza ambaye mko nae pamoja katika ndoa kukoje au Kuna maana gani?
Yawezekana nikawa mgeni, lakini ninastaajabu Sana ninaposikia eti mtu yupo katika ndoa na anabakwa na mwenza wake waliojenga ndoa pamoja!
Niliziona taarifa katika tovuti ya BBC, zikimwelezea mwanaume mmoja ambaye alikuwa akielezea kwa maskitiko makubwa namna mpenzi wake alivyokuwa akimbaka na kumnyanyasa kijinsia!
Lakini pia Jana nimeona taarifa za Wastara akieleza kuwa mme wake alikua akimbaka.
Sasa wakuu, huku kubakwa na mwenza ambaye mko nae pamoja katika ndoa kukoje au Kuna maana gani?