FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Nashauri warudi Africa kwanza hadi hali ikae sawa
Chadema si ni vibaraka wa wazunguSasa wewe umeambiwa kuwa huyo mama wa kiafrika katemewa mate na mzungu alieathirika na corona, je Chadema inahusika nini hapo?
Itakuwa alipatwa hofu tu, presha ikapanda, basi ndo akaondoka hivyo.Mate ya mtu mwenye covid ni sumu tu kama ya nyoka.
Usilolijua ni sawa na usiku wa Giza, Lakini kama U mwerevu unatafuta ata kibatali.Modelator futa huu uzi wa kibaguzi dhidi ya mataifa wahisani na wadau wa maendeleo.. Mtoa mada anamawazo wa kibaguzi. Futa kabisa