Kuna mama mmoja ana watoto wawili mmoja ni mdada na mkaka
Yule dada kaolewa na ana watoto na yule kka ameoa anaa watoto kama kawaida kuna tofauti ya mshiko yaani mme wa yule dada anamshiko
kuliko yule kaka mtu.Wajukuu wote wanakuja kumsalimia bibi sio wakubwa sana miaka 3-5 wote ila kasheshe inakuja kwamba wote wanakojoa kitandani ila mama anawagombeza wale wa kakamtu vibaya sana ila wa dada mtu wala hawaulizwi hata wakifanya kosa na pia hata kama
wote wamefanya kosa wa kakamtu ndo wanachapwa ila wale wengine wala.SWALI JE NI KWANINI UWABAGUE???NA JE NI SAWA??AU NI SABABU YA ANKALA ZA MKWE???
Yule dada kaolewa na ana watoto na yule kka ameoa anaa watoto kama kawaida kuna tofauti ya mshiko yaani mme wa yule dada anamshiko
kuliko yule kaka mtu.Wajukuu wote wanakuja kumsalimia bibi sio wakubwa sana miaka 3-5 wote ila kasheshe inakuja kwamba wote wanakojoa kitandani ila mama anawagombeza wale wa kakamtu vibaya sana ila wa dada mtu wala hawaulizwi hata wakifanya kosa na pia hata kama
wote wamefanya kosa wa kakamtu ndo wanachapwa ila wale wengine wala.SWALI JE NI KWANINI UWABAGUE???NA JE NI SAWA??AU NI SABABU YA ANKALA ZA MKWE???