Ubadhirifu: Dkt. Mpango aagiza DED wa Nanyumbu, Hamis Dambaya asimamishwe kupisha Uchunguzi

Hamisi Dambaya kama kumbukumbu zangu zipo vizuri alikuwa ni mtangazaji wa Radio One sio?
 
Katika hili makamu wa rais kachemka mno.
Dambaya ni mtu safi sana wala hana tabia ya rushwa.
Gharama iliyotumika na ubora wa stand vinaendana kabisa.
Pavement ya stand ni rigid tena zege class 25.
Shida yetu tunalinganisha miradi kwa ukubwa wa ujenzi kuliko ubora na material iliyotumika.
Hiyo kamati itatoka na aibu tu.
Moja ya DED bora kwangu ni Dambaya masna siyo mtu wa rushwa au upigaji
Labda, na nasema labda, kapigwa jungu na wapigaji.
 
Yani MTU anakuwa Makamu wa Rais lakini bado chain of command haijui,Naibu Waziri hana Mamlaka ya Kumsimamisha Mkurugenzi Kazi kama yeye Makamu ameshindwa hiyo Naibu anapata wapi Mamlaka hayo??
 
Hamisi Dambaya nakumbuka alikuwa mtangazaji wa Star tv au Radio Africa. Hii ndio shida ya hizi kazi.
Duh! yaani kazi ya DED tangu mwendazake aingie madarakani inatolewa kama njugu.........hivi serikalini maafisa waandamizi wameisha hadi waokote makanjanaja mitaani ndo wakawe ma-DED, halafu unatarajia impact yoyote kwenye utendaji? nafikiri Tanzania aliyeturoga kafa.....
 
MAKAMU WA RAIS AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI MKURUGENZI NANYUMBU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango, leo Julai 24, 2021 amefanya ziara ya kustukiza katika stendi ya Mabasi ya Mangaka iliopo Wilaya ya Nanyumbu.

Makamu wa Rais amekasirishwa na uongozi wa Wilaya kufanya upotevu mkubwa wa fedha usiolingana na matokeo ya ujenzi wa mradi huo. Ujenzi wa majengo ya stendi hiyo umetumia shilingi bilioni 2.2 kiasi ambacho Makamu wa Rais amesema hakilingani na ujenzi huo.

Makamu wa Rais amemuagiza Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt. Festo Dugange kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu Hamis Dambaya ili kupisha uchunguzi kutoka vyombo husika.

Amesema viongozi hawana budi kusimamia fedha za serikali zinazopelekwa katika maeneo yao ili kuwaletea maendeleo wananchi.
Kiki zimeshaanza tena. Ameona watu watajuaje kama yupo na anafanya kazi ikabidi amtoe kafara mtu. Ama kweli nchi ya kipumbavu hii
 
Si uchunguzi tu,Makamu halazimiki kumsafisha.Tume itamsafisha.
Ni nani mpaka sasa amesafishwa hadharani na hizo so called tume? Watu wanatuhumiwa hadharani kuwa ni wabadhirifu na baada ya uchunguzi wqkionekana hawana hatia wanarudishwa kimya kimya. Sio haki hiyo.

Amandla...
 
Ni pesa nyingi kwa kuzisikia tu lakini siyo kwenye ujenzi bro.
Bado gharama zetu za ujenzi ziko chini sana.
Hiyo ni pesa ndogo sana.
Kwa pavement ya pale hakuna wizi hata kidogo.
Watanzania wakiambiwa kiasi hicho cha fedha kimetumika kukarabati nyumba ya mheshimiwa fulani watajazana hapa kusema kuwa hizo ni pesa ndogo sana.
Mimi wingi wa hizo pesa sijali sana. Cha muhimu ni Jee zinaendana na mkataba ambao waliingia na mkandarasi? Na tukumbuke kuwa mradi kama huo kisheria unatakiwa kutekelezwa na mkandarasi wa daraja la kwanza ambao Nanyumbu hawapo na sidhani kama hata Mtwara yupo.
Inabidinhawa viongozi wabadilike. Mbona hawakuunda tume ya kujichinguza baada ya CAG fulani kusema kuwa serikalini kuna ubadhirifu wa kutupa? Wote tunajua yaliyompata.

Amandla...
 
Mh Makamu wa Rais njoo na huku kwetu Tunduru Mkoani Ruvuma jirani tu na ulipo, huyu Mkurugenzi amejisahau kuna madudu mengi utayakuta
 
Watanzania wakiambia kiasi hicho cha fedha kimetumika kukarabati nyumba ya mheshimiwa fulani watajazana hapa kusema kuwa hizo ni pesa ndogo sana.
Mimi wingi wa hizo pesa sijali sana. Cha muhimu ni Jee zinaendana na mkataba ambao waliingia na mkandarasi? Na tukumbuke kuwa mradi kama huo kisheria unatakiwa kutekelezwa na mkandarasi wa daraja la kwanza ambao Nanyumbu hawapo na sidhani kama hata Mtwara yupo.
Inabidinhawa viongozi wabadilike. Mbona hawakuunda tume ya kujichinguza baada ya CAG fulani kusema kuwa serikalini kuna ubadhirifu wa kutupa? Wote tunajua yaliyompata.

Amandla...
Ni kweli kabisa.
Mkandarasi alikuwa ni Nami
Watanzania wakiambia kiasi hicho cha fedha kimetumika kukarabati nyumba ya mheshimiwa fulani watajazana hapa kusema kuwa hizo ni pesa ndogo sana.
Mimi wingi wa hizo pesa sijali sana. Cha muhimu ni Jee zinaendana na mkataba ambao waliingia na mkandarasi? Na tukumbuke kuwa mradi kama huo kisheria unatakiwa kutekelezwa na mkandarasi wa daraja la kwanza ambao Nanyumbu hawapo na sidhani kama hata Mtwara yupo.
Inabidinhawa viongozi wabadilike. Mbona hawakuunda tume ya kujichinguza baada ya CAG fulani kusema kuwa serikalini kuna ubadhirifu wa kutupa? Wote tunajua yaliyompata.

Amandla...

Watanzania wakiambia kiasi hicho cha fedha kimetumika kukarabati nyumba ya mheshimiwa fulani watajazana hapa kusema kuwa hizo ni pesa ndogo sana.
Mimi wingi wa hizo pesa sijali sana. Cha muhimu ni Jee zinaendana na mkataba ambao waliingia na mkandarasi? Na tukumbuke kuwa mradi kama huo kisheria unatakiwa kutekelezwa na mkandarasi wa daraja la kwanza ambao Nanyumbu hawapo na sidhani kama hata Mtwara yupo.
Inabidinhawa viongozi wabadilike. Mbona hawakuunda tume ya kujichinguza baada ya CAG fulani kusema kuwa serikalini kuna ubadhirifu wa kutupa? Wote tunajua yaliyompata.

Amandla...
Ni kweli mkuu.
Mkandarasi alikuwa ni Namis Co-operate ambayo ni class one.
Wamejenga mradi kwa ufanisi mkubwa sana.
Unajua wanasiasa ni wachonganishi sana na hujiona wanastahili wao tu kupewa sifa.
Ngoja tuone majibu ya tume itayoundwa na waziri.
Ila naamini hakuna ubadilifu wowote.
 
MAKAMU WA RAIS AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI MKURUGENZI NANYUMBU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango, leo Julai 24, 2021 amefanya ziara ya kustukiza katika stendi ya Mabasi ya Mangaka iliopo Wilaya ya Nanyumbu.

Makamu wa Rais amekasirishwa na uongozi wa Wilaya kufanya upotevu mkubwa wa fedha usiolingana na matokeo ya ujenzi wa mradi huo. Ujenzi wa majengo ya stendi hiyo umetumia shilingi bilioni 2.2 kiasi ambacho Makamu wa Rais amesema hakilingani na ujenzi huo.

Makamu wa Rais amemuagiza Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt. Festo Dugange kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu Hamis Dambaya ili kupisha uchunguzi kutoka vyombo husika.

Amesema viongozi hawana budi kusimamia fedha za serikali zinazopelekwa katika maeneo yao ili kuwaletea maendeleo wananchi.
Picha please ya hiyo project
 
Picha please ya hiyo project

Picha please ya hiyo project

download-1.jpeg


download-7.jpeg


download-5.jpeg


download-6.jpeg


download-4.jpeg


images.jpeg


download-2.jpeg


download-3.jpeg
 
Katika hili makamu wa rais kachemka mno.
Dambaya ni mtu safi sana wala hana tabia ya rushwa.
Gharama iliyotumika na ubora wa stand vinaendana kabisa.
Pavement ya stand ni rigid tena zege class 25.
Shida yetu tunalinganisha miradi kwa ukubwa wa ujenzi kuliko ubora na material iliyotumika.
Hiyo kamati itatoka na aibu tu.
Moja ya DED bora kwangu ni Dambaya masna siyo mtu wa rushwa au upigaji
Nakubaliana nawe Dambaya ni Mtu safi.
 
Kabisa mkuu kuna vitu vinafanyika kisiasa sana.
Unakumbuka sakata la wahandisi Tanroads Morogoro Jiwe alivyowasimamisha lakini wote warirudi kazini lakini haikusemwa kwenye vyombo vya habari bali majina ya watu wamechafuliwa hadharani.
Inakera sana.
Dambaya katika hili kaonewa sana tena sana, maana alibana mirija ya wanasiasa kupiga pesa halmashauri ya Nanyumbu.
Namjua vizuri ni mtu mwema kwenye fedha za umma.
Nyie mtakua watumishi wa iyo halmashauri naona mnajitetea na mkurugenzi wenu.Tapikeni izo hela mkuu mtaishia pabaya
 
Kwa Mara ya kwanza nasikia Makamu wa Rais anadimamisha mtumishi wa wizara nyingine kazi.

Samia ajichunge sana watu wanamzungula. Kweli mwanamke sio wa kumpa maamuzi.
 
Back
Top Bottom