Ubachela raha sana

Ubachela raha sana

J putin

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
1,263
Reaction score
1,208
Wakuu najua mko poa,

Ubachela raha sana,ila usiniinge kabisa.


Kwanza hakuna kubanwa kama ambao wako kwenye ndoa

Unafanya mambo yako kwa kujiamini sana

Upangiwi cha kufanya

Unarudi kwako mda unaotaka

Unaishi kwa furaha sana

Unajipenda sana

Mabachela mkuje hapa tupeana stori mbili tatu
 
Wakuu najua mko pia,

Ubachela raha sana,ila usiniinge kabisa.


Kwanza akuna kubanua kama ambao wako kwenye ndoa

Unafanya mambo yako kwa kujiamini sana

Upangiwi cha kufanya

Unarudi kwako mda unaotaka

Unaishi kwa furaha sana

Unajipenda sana

Mabachela mkuje hapa tupeana stori mbili tatu
Samahani mkuu yaani leo umeandika kama bata soma kwa makini ufanye editing
 
Ndio mkuu nina usingizi ila nataka nichungulie jf kwanza
 
Hapoo kwenye kupikaa....naeza enda gengeni kununua mazaga....kufika home najikuta nimesahau nunua vitunguu..narudi tenaa gengeni....mara salt imeishaa ata sijuiii......hatari tupu
Mimi huwa havinipi shida sababu bi Mkubwa alivyotulea alikuwa anatuagiza hasaa sokoni sisi watoto wa kiume, wa kike walikuwa wadogo sana, na katufundisha kupika tangu darasa la nne. Leo hii mwanamke akiniletea nyodo kwenye kupika naangaliaga tu najikalia kimya.
 
Back
Top Bottom