Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Waziri Magufuli amempongeza Mbunge wa Kawe, Mheshimiwa Mdee kwa kukaa kando badala ya kuungana na wabunge wa DSM kuhusu suala la nauli ya kivuko kama alivyofanya Mbunge wa Ubungo Mheshimiwa Mnyika, huku kukiwa na matatizo lukuki jimboni kwake Ubungo kama vile ukosefu wa maji na mabweni UDSM.
Source: Clouds FM
Clouse ni kichwa cha mwenda wazimu