MNAMBOWA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,051
- 359
Msilete siasa jamani kwenye mambo ya msingi hapa,, Hivi kama maisha yanapanda na ghalama za kutoa huduma nazo zinapanda, kuna ubaya gani nauli kupanda kutoka sh 100
mpaka sh 200? hivi hz siasa kuna mahara inabidi ziwe na staha ili serikali ifanye kazi yake,, huku kujikomba kwa wapiga kura kunarudisha sana maendeleo ya nchi na tatizo kubwa wanasiasa wetu kuwa maskini wa mawazo wamekuwa wanafikiria chaguzi2 hata kama kuna kutumikia wananchi badala ya uchaguzi. Unapochaguliwa mbunge ama uongozi cyo kutetea maana yake ni kutaka kila ki2 kiwe nafuu hata kama haikubaliki. hv hicho kivuko kikiharibika hela ya matengenezo itatoka wapi kama cy kujiendesha chenyewe?,,msijinufaishe ki siasa kwa kutetea ujinga. mh, magufuli upo sawa fanya kazi kwa kuangalia mbele usiwaze mambo ya uchaguzi kama hawa wabunge wa dar, hamna shukurani wananchi hata mgepunguziwa sh, 25 mgelalamika kudadi sh 50 . Mmeshapandikizwa ujinga, lakini hawa wanaowashawishi kutaka nafuu kika ki2 cjwi cku watakapopata madaraka wao watawaongoza vp.
mpaka sh 200? hivi hz siasa kuna mahara inabidi ziwe na staha ili serikali ifanye kazi yake,, huku kujikomba kwa wapiga kura kunarudisha sana maendeleo ya nchi na tatizo kubwa wanasiasa wetu kuwa maskini wa mawazo wamekuwa wanafikiria chaguzi2 hata kama kuna kutumikia wananchi badala ya uchaguzi. Unapochaguliwa mbunge ama uongozi cyo kutetea maana yake ni kutaka kila ki2 kiwe nafuu hata kama haikubaliki. hv hicho kivuko kikiharibika hela ya matengenezo itatoka wapi kama cy kujiendesha chenyewe?,,msijinufaishe ki siasa kwa kutetea ujinga. mh, magufuli upo sawa fanya kazi kwa kuangalia mbele usiwaze mambo ya uchaguzi kama hawa wabunge wa dar, hamna shukurani wananchi hata mgepunguziwa sh, 25 mgelalamika kudadi sh 50 . Mmeshapandikizwa ujinga, lakini hawa wanaowashawishi kutaka nafuu kika ki2 cjwi cku watakapopata madaraka wao watawaongoza vp.