Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #101
Nlikukwa naona kama anafaa kuwa waziri (sio raisi) ila kwa siku zinavyosonga itafika mahali ntaona hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi kama ataendelea na mtindo wake huu. Ni hivi karibuni alihamisha wafanyakazi (baadhi ngazi ya mkoa) wa idara fulani kwa kukurupuka tu (sijui ishu imeishia wapi! yani mambo yake ni ya kukurupuka kinoma yeye anajiona ndo anachapa kazi kumbe hewa tu!
Ni bora subira utakachoamua kitakuwa na ulinganifu pande zote badala ya hulaka ya kukurupuka na uamuzi unaotolewa kuonekana unatofautiana kutoka kwa mtu ambaye hatukutemea kufanya hivyo, na kwa mantiki ya kujenga utetea sasa anaishia kutukana watu hadharani bila aibu.