Ubabe hadi Canada? This time you're done

Ndege yenu na nani? Mkuu mali yako ni ile unayo imilik hizi zingine si zako. Tunakuwaje wanoja wakati Kuna Kiongozi mkuu na Muasisi wa utengano? Anza kumshauri Magufuri kwanza a treat watu wote sawa
 
Ndo hapo na shangaa eti ngege zetu. Hahaa hizo ni zao mimi mali yangu ni ninacho milik hizo ni zao wao watajuana huko wao wenyewe
 
Unaijua Trade war wewe? Yaani Canada au nani afanye trade War na Tanzania? Kuna kitu gani cha upekee? Sisi tuna utishio gani kwenye Biashara? Acheni ujinga eti mbona mnawaza kitoto sana?
 
kwa bahati mbaya mno, wapinzani hapa nchini bado hawajatambua majukumu yao kama vyama vya upinzani, sasa ukiwa na watu wa aina hii ambao bado hawajajitambua ni hatari.
 
Ndege yenu na wazazi wako? Hahaaa eti ndege yenu. Ndo unavyo wadanganya watoto wako kwamba ni ndege yao?
 
Kwani mulipo nunua hiyo ndege mulitushauri
 
Nasisitiza tuu! Humu wote sio Wa Tanzania siku hizi hata majirani zetu nao wanazungumza kiswahili fasaha kabisa.
 
Kila mkiambiwa ukweli mnakimbilia upinzani mnashindwa kupanua bongo zenu mtatue tatizo
Sio kila awaelezae ukweli ni mpinzani

Hiyo stroke ya ubongo mliyopata itawamaliza mnajiona
kwa bahati mbaya mno, wapinzani hapa nchini bado hawajatambua majukumu yao kama vyama vya upinzani, sasa ukiwa na watu wa aina hii ambao bado hawajajitambua ni hatari.
 
Ni vitu wanavitengeneza wenyewe, shughuli ni ya kitaifa vijembe vya nini kwa upinzani? Ref: Makonda siku ya mapokezi ndege ya mwisho
 
Tatizo ccm wanawachukulia wasio maccm kama viumbe kutoka sayari ingine vilivyotumwa na Mungu kuja kukomesha utawala wao dhalimu hapa duniani,kwa hiyo ccm inatumia silaha zote ilizo nazo kupambana na watanzania,ikiwaua na kuwajeruhi wengine,halafu inataka wahanga wa dhuluma zao wasimame upande wao,never.
kwa bahati mbaya mno, wapinzani hapa nchini bado hawajatambua majukumu yao kama vyama vya upinzani, sasa ukiwa na watu wa aina hii ambao bado hawajajitambua ni hatari.
 
Pasco Uneshindwa kusema chochote japo kumuunga Mkono Rais lkwa Ndege kukamatwa Hata pole jamani!
Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.
Pole kwa Waziri Kabudi kwa TZ kusalitowa.
Pole kwa Waziri Mahiga kwa mateso kutuma vijana Canada
Pole kwa serikali yetu yote kwasababu ndege ni ya serikali.
Pole kwa CCM, kwasababu serikali ni ya CCM.
Pole kwa wanasheria watakaoteseka.
Pole kwa ATC ndege yao kukamatwa hivyo kuchelewesha kupiga pesa.
Pole kwa sisi Watanzania wote kwa ndege yetu kukamatwa na kututia hasara ambayo ni sisi tutaifidia.
Ndege ni rais Magufuli kwasababu ndiye aliyeamua kuinunua kwa cash money.
Ndege ni ya serikali kwasababu inamilikiwa na serikali 100%.
Ndege ni ya ATCL kwasababu ATCL ndio wanaitumia.
Ndege ni ya Sisi Watanzania wote kwasababu fedha zilizonunulia ni fedha zetu, na sisi ndio tunaoipanda.

Pole hata hawa Watanzania wenzetu wanaofurahia na kushangilia ndege yetu kukamatwa nao pia wataifidia hii hasara maana ndege pia ni yao bila kujijua.
Pole wote.
P
 
Hatuwezi kushirikiana na serikali katika dhuluma. Kwa nini ufurahie kudhulumiwa mkulima (eti kwa vile mzungu) halafu upinge kudhulumiwa Chadema, ACT au mwandishi wa habari?
Huo ni unafiki wa kiwango cha juu na afanyaye hivyo hana tofauti na ndezi.
Kila siku Kabudi akisimama ni UONGO kwenda mbele na jinsi anavyo toa jicho na kupayuka kwa sauti basi anaaminika.
Tumechoka na hizi aibu!
 
Nimenusa hii post ni matata sana! Unaonaje ukii translate kwa kimatumbi ili na sisi wa kata tupate huu ujumbe murua!
 
Baba unaponunua vitu vya nyumbani, huwa unashauriana na watoto wako nyumbani?.
P
Aina ya uandishi wako ni ya kimafumbo na yenye kuvhochea fikra. Lakini lazima mtu asome between the lines ndio atafaidika na post zako

Unaweza kuonekana kama umemsifia mtu kumbe wenye kung'amua mambo wakajua umemdharau, umemponda na umemtukana, au kinyume chake unapomponda mtu kumbe umeonyesha nguvu yake🤣🤣🤣, kwa namna hii unajihakikishia usalama wako huku ukiwa umefikisha ujumbe hasa kwa wenye akili
 
Thinking yako kama mende
 
Labda janga kwako na familia yako. To me it doesn’t make any difference. Ikamatwe isikamatwe i don’t care.
What’s makes me happy ni kuona Jiwe na wapambe wake wanavyozidi kuumbuka kwa tabia yao ya ubabe kwa kishamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…