Lobapula
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 2,388
- 1,582
- Thread starter
- #21
Hakuna kitu kama hicho Sheria ya kazi na mahusiano kazin na circular mbalimbali za utumishi zinasema mtumishi anapotuhumiwa na jambo lolote mwajili atamsimamisha kazi na atapata mshahara wake kamili kipindi chote ambacho atakua kasimama kazi kupisha uchunguzi sasa lete hapa kesi ya huyo mtumishi ni nan kwa jina lake na alifukuzwa kazi wapi na kesi ilikua katika mahakama gan na ruling yake ilitoka lnnakupa hiyo assignment katafute mtaani unakoishi hizo habari ukikosa njoo useme nimekosa