Ubabaishaji wa CHADEMA

Lobapula

JF-Expert Member
Jun 19, 2011
2,388
1,582
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama

2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.

3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.

4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.

5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?

6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama

7. Ni hawa hawa walisema Mhe Lowassa ni FISADI na over their dead body hawawezi kumruhusu kujiunga na Chama Chao lakini walimpokea na kumpa UFALME

8. Ni hawa hawa walimfukuza uanachama ZITTO KABWE kwa kutishia kwenda mahakamani kudai haki ya kichama kugombea UENYEKITI....ni yule yule Mwanaharakati anayejifanya MKUU WA SHERIA NCHINI aliyemtshia Zitto akihusisha Mahakama is OUT OF THE CHAMA....leo hii wanajifanya wanapigania MHIMILI wa MAHAKAMA

9. Ni Hawa hawa waliolalamika kuwa wameibiwa kura na kuilaani serikali iliyopo Madarakani kuwa imetumia wizi kuingia madarakani...lakini tena ni wao wao walikuwa wa kwanza KUMPONGEZA Kenyatta aliyetangazwa mshindi kwa kura za wizi kudeki LAMI hakutawaacha salama

10. Ni hawa hawa walimwita Dr. Slaa chaguo la Mungu, mkombozi wa watanzania na wanyonge, leo ni anaitwa msaliti namba moja

11. Ni hawa hawa waliwaita CUF na kutuaminisha kuwa ni CCM B chama cha mashoga, waliberali leo ndio wamekua watetezi wao na kuungana katika UKAWA yani CHADEMA wameungana na chama walichosema ni chama cha utetezi wa MASHOGA.

12. Ndio hawa hawa walimtukana Naibu spika Tulia wakidai anaharibu bunge, hana busara wakavaa mpaka matambara mdomoni na wakimsifu Ndungai kuwa ni spika safi , kipindi yu mgonjwa leo Ndugai tena Hafai.
 

Attachments

  • 1434db6b1562dbbea16064029d9b0dd1.jpg
    1434db6b1562dbbea16064029d9b0dd1.jpg
    58 KB · Views: 20
  • mbowe.jpg
    mbowe.jpg
    46.1 KB · Views: 20
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama

2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.

3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.

4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.

5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?
Mkuu umemaliza kila kitu sasa subiri mapovu toka pande ileeee!!
 
kila kitu kwa kiasi,kama umewatoa makazini watu ambao walikuwa hawana vyeti stahiki kwa nini usiwape ajira wenye vyeti vinavyo stahiki? kama mtu hana vigezo kazini fuata taratibu zinazo stahiki katika kumwajibisha
upole au ukali ukizidi pia ni tatizo,raisi ni baba wa wote bila kujali itikadi,mila,desturi,dini nk,treat them equally kwani nchi huwa haina mwenyewe
 
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama

2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.

3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.

4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.

5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?

6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama
Ndefu haina maana nafikili mwandishi anajifunza kuandika najua hajui neno upinzani maana yake.
Hata hivyo umenitahidi mwanzó mzuri
 
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama

2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.

3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.

4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.

5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?

6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama
Ngoja tuendeleze mambo ya CHADEMA

7. Ni hawa hawa walisema Mhe Lowassa ni FISADI na over their dead body hawawezi kumruhusu kujiunga na Chama Chao lakini walimpokea na kumpa UFALME
8. Ni hawa hawa walimfukuza uanachama ZITTO KABWE kwa kutishia kwenda mahakamani kudai haki ya kichama kugombea UENYEKITI....ni yule yule Mwanaharakati anayejifanya MKUU WA SHERIA NCHINI aliyemtshia Zitto akihusisha Mahakama is OUT OF THE CHAMA....leo hii wanajifanya wanapigania MHIMILI wa MAHAKAMA
9. Ni Hawa hawa waliolalamika kuwa wameibiwa kura na kuilaani serikali iliyopo Madarakani kuwa imetumia wizi kuingia madarakani...lakini tena ni wao wao walikuwa wa kwanza KUMPONGEZA Kenyatta aliyetangazwa mshindi kwa kura za wizi,,
 
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama

2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.

3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.

4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.

5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?

6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama
Mkuu watanzania tunataka wote walosababisha wizi huu wanakamatwa kusiwepo ibaguzi eti hawa wazee msiwaguse ni wezi watakatifu ila hawa vidagaa ndo wakamatwe bado hatuwezi kufika
 
Ngoja tuendeleze mambo ya CHADEMA

7. Ni hawa hawa walisema Mhe Lowassa ni FISADI na over their dead body hawawezi kumruhusu kujiunga na Chama Chao lakini walimpokea na kumpa UFALME
8. Ni hawa hawa walimfukuza uanachama ZITTO KABWE kwa kutishia kwenda mahakamani kudai haki ya kichama kugombea UENYEKITI....ni yule yule Mwanaharakati anayejifanya MKUU WA SHERIA NCHINI aliyemtshia Zitto akihusisha Mahakama is OUT OF THE CHAMA....leo hii wanajifanya wanapigania MHIMILI wa MAHAKAMA
9. Ni Hawa hawa waliolalamika kuwa wameibiwa kura na kuilaani serikali iliyopo Madarakani kuwa imetumia wizi kuingia madarakani...lakini tena ni wao wao walikuwa wa kwanza KUMPONGEZA Kenyatta aliyetangazwa mshindi kwa kura za wizi,,
Asante mkuu ngoja niiunganiishe hapo juu mkuu
 
Mta
kila kitu kwa kiasi,kama umewatoa makazini watu ambao walikuwa hawana vyeti stahiki kwa nini usiwape ajira wenye vyeti vinavyo stahiki? kama mtu hana vigezo kazini fuata taratibu zinazo stahiki katika kumwajibisha
upole au ukali ukizidi pia ni tatizo,raisi ni baba wa wote bila kujali itikadi,mila,desturi,dini nk,treat them equally kwani nchi huwa haina mwenyewe
Mtaje hata mmoja aliyefukuzwa bila kufuata utaratbu mkuu
 
K
Mkuu watanzania tunataka wote walosababisha wizi huu wanakamatwa kusiwepo ibaguzi eti hawa wazee msiwaguse ni wezi watakatifu ila hawa vidagaa ndo wakamatwe bado hatuwezi kufika
Kwan katiba ya nchi inasemaje kuhusu hilo?
 
wangapi mahakama imeamuru warudishwe makznini baada ya ukiukwaji katika kufukuzwa kwao? au wewe upo nchi gani
Taja kesi hata moja na ilikua katika mahakama gan ambayo mahakama imetoa ruling warudishwe kazini kuwa wamefukuzwa bila kufuata taratibu
 
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama

2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.

3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.

4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.

5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?

6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama

7. Ni hawa hawa walisema Mhe Lowassa ni FISADI na over their dead body hawawezi kumruhusu kujiunga na Chama Chao lakini walimpokea na kumpa UFALME
8. Ni hawa hawa walimfukuza uanachama ZITTO KABWE kwa kutishia kwenda mahakamani kudai haki ya kichama kugombea UENYEKITI....ni yule yule Mwanaharakati anayejifanya MKUU WA SHERIA NCHINI aliyemtshia Zitto akihusisha Mahakama is OUT OF THE CHAMA....leo hii wanajifanya wanapigania MHIMILI wa MAHAKAMA
9. Ni Hawa hawa waliolalamika kuwa wameibiwa kura na kuilaani serikali iliyopo Madarakani kuwa imetumia wizi kuingia madarakani...lakini tena ni wao wao walikuwa wa kwanza KUMPONGEZA Kenyatta aliyetangazwa mshindi kwa kura za wizi kudeki LAMI hakutawaacha salama
well said mkuu...hii ndio chagadema ba Baa-vichaa yao.
 
Taja kesi hata moja na ilikua katika mahakama gan ambayo mahakama imetoa ruling warudishwe kazini kuwa wamefukuzwa bila kufuata taratibu
nakupa hiyo assignment katafute mtaani unakoishi hizo habari ukikosa njoo useme nimekosa
 
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama

2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.

3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.

4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.

5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?

6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama

7. Ni hawa hawa walisema Mhe Lowassa ni FISADI na over their dead body hawawezi kumruhusu kujiunga na Chama Chao lakini walimpokea na kumpa UFALME
8. Ni hawa hawa walimfukuza uanachama ZITTO KABWE kwa kutishia kwenda mahakamani kudai haki ya kichama kugombea UENYEKITI....ni yule yule Mwanaharakati anayejifanya MKUU WA SHERIA NCHINI aliyemtshia Zitto akihusisha Mahakama is OUT OF THE CHAMA....leo hii wanajifanya wanapigania MHIMILI wa MAHAKAMA
9. Ni Hawa hawa waliolalamika kuwa wameibiwa kura na kuilaani serikali iliyopo Madarakani kuwa imetumia wizi kuingia madarakani...lakini tena ni wao wao walikuwa wa kwanza KUMPONGEZA Kenyatta aliyetangazwa mshindi kwa kura za wizi kudeki LAMI hakutawaacha salama
Hii ndio thread ya mwaka.....yaani ina ubora wa aina yake. naomba usiweke haki miliki kwenye hii kitu niwe na kopi na kupesti maeneo mengine huko. Naomba niweke bayana hapa kwamba sijawahi kuona watu vigeugeu au nikipunguza ukali wa maneno binaadamu wasio na soni, vigeugeu kama hawa jamaa uliowataja hapa. Ngoja niongezee kweny hii listi
10. Ni hawa hawa walimwita Dr. Slaa chaguo la mungu, mkombozi tanzania one , leo anaitwa msaliti
11. Ni hawa hawa waliwaita CUF na kutuaminisha kuwa ni CCM B chama cha mashoga, waliberali leo ndio wamekua watetezi wao.
12. Ndio hawa hawa walimtukana Naibu spika Tulia wakidai anaharibu bunge, hana busara na wakimsifu Ndungai, kipindi yu mgonjwa leo Hafai.Unafiki haujawahi kumuacha mtu salama.
 
Back
Top Bottom