Lobapula
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 2,388
- 1,582
1. Chadema walikuwa wakimlalamika Rais Kikwete kuwa ni Rais mpole, anatabasamu tu wanataka Rais mkali. Leo hii amepatikana Dk. Magufuli, Rais mkali wamegeuka na kuanza kumuita “dikteta uchwara”. Undumila kuwili hautawaacha salama
2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.
3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.
4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.
5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?
6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama
7. Ni hawa hawa walisema Mhe Lowassa ni FISADI na over their dead body hawawezi kumruhusu kujiunga na Chama Chao lakini walimpokea na kumpa UFALME
8. Ni hawa hawa walimfukuza uanachama ZITTO KABWE kwa kutishia kwenda mahakamani kudai haki ya kichama kugombea UENYEKITI....ni yule yule Mwanaharakati anayejifanya MKUU WA SHERIA NCHINI aliyemtshia Zitto akihusisha Mahakama is OUT OF THE CHAMA....leo hii wanajifanya wanapigania MHIMILI wa MAHAKAMA
9. Ni Hawa hawa waliolalamika kuwa wameibiwa kura na kuilaani serikali iliyopo Madarakani kuwa imetumia wizi kuingia madarakani...lakini tena ni wao wao walikuwa wa kwanza KUMPONGEZA Kenyatta aliyetangazwa mshindi kwa kura za wizi kudeki LAMI hakutawaacha salama
10. Ni hawa hawa walimwita Dr. Slaa chaguo la Mungu, mkombozi wa watanzania na wanyonge, leo ni anaitwa msaliti namba moja
11. Ni hawa hawa waliwaita CUF na kutuaminisha kuwa ni CCM B chama cha mashoga, waliberali leo ndio wamekua watetezi wao na kuungana katika UKAWA yani CHADEMA wameungana na chama walichosema ni chama cha utetezi wa MASHOGA.
12. Ndio hawa hawa walimtukana Naibu spika Tulia wakidai anaharibu bunge, hana busara wakavaa mpaka matambara mdomoni na wakimsifu Ndungai kuwa ni spika safi , kipindi yu mgonjwa leo Ndugai tena Hafai.
2. Ni Chadema hawa hawa waliokuwa wakichukizwa na watu kupeana ajira kiholela pasipo kuzingatia uwezo wala elimu ya mtu. Leo hii Rais Magufuli amefanya uhakiki wa ajira na kubaini wenye vyeti vyeki, majina feki na waliopata ajira kwa njia isiyo rasmi. Ajabu yake, Chadema wanajitokeza kulaani watu kutimuliwa kwenye kazi zao. Unafki hautawaacha salama.
3. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka mapapa wa matumizi ya madawa ya kulevya wakamatwe na kutajwa hadharani, ilipofika wakati wanatajwa hadharani wakageuka na kuanza kulaumiwa kuwa si vyema kuwataja Watu hadharani kwani tunaaribu CV zao mitaani ni baada ya Bosi wao kutajwa pia. Kumbe mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu.
4. Ni Chadema hawa hawa walikuwa wakitaka Serikali ikusanye kodi kwenye maini, leo hii Rais Dk. Magufuli ameanzisha vita ya kiuchumi ya kuhakikisha kodi stahiki inalipwa kwenye madini kitendo kilichopelekea baadhi ya migodi kufungwa kutokana na wawekezaji kukimbia ulipwaji wa kodi. Migodei imefungwa, ajira zimepungua Chadema wanajitokeza kulaani kitendo cha Watu kupoteza ajira zao na kuilaumu Serikali. Ni Serikali iliyofunga migodi au waliokuwa wakichimba madini wamesitisha uchimbaji kutokana na kushindwa kuchimba madini? Serikali ina lawama kweli hapo? Ila Chadema wanasema ni Serikali ilaumiwe kufungwa migodi.
5. Hao hao Chadema wanasema kodi ikusanywe lakini wakati huo huo wanalaani Wafanyabiashara wakubwa kukamuliwa mno kwa kodi zinazokusanywa. Au walitaka hizo kodi walipe au watozwe kina nani kama si Wafanyabiashara wakubwa?
6. Ni hawa hawa CHADEMA walimuita KIKWETE Vasco Da Gama kisa anaenda sana nje ya nchi wakati ana balozi wa Mambo ya Nje na Uhusiano kimaifa kaja Magufuri kazuia safari za nje ziisiizo na tija wameanza kusema haendi nje sababu hajui kingereza unafik hauta waacha salama
7. Ni hawa hawa walisema Mhe Lowassa ni FISADI na over their dead body hawawezi kumruhusu kujiunga na Chama Chao lakini walimpokea na kumpa UFALME
8. Ni hawa hawa walimfukuza uanachama ZITTO KABWE kwa kutishia kwenda mahakamani kudai haki ya kichama kugombea UENYEKITI....ni yule yule Mwanaharakati anayejifanya MKUU WA SHERIA NCHINI aliyemtshia Zitto akihusisha Mahakama is OUT OF THE CHAMA....leo hii wanajifanya wanapigania MHIMILI wa MAHAKAMA
9. Ni Hawa hawa waliolalamika kuwa wameibiwa kura na kuilaani serikali iliyopo Madarakani kuwa imetumia wizi kuingia madarakani...lakini tena ni wao wao walikuwa wa kwanza KUMPONGEZA Kenyatta aliyetangazwa mshindi kwa kura za wizi kudeki LAMI hakutawaacha salama
10. Ni hawa hawa walimwita Dr. Slaa chaguo la Mungu, mkombozi wa watanzania na wanyonge, leo ni anaitwa msaliti namba moja
11. Ni hawa hawa waliwaita CUF na kutuaminisha kuwa ni CCM B chama cha mashoga, waliberali leo ndio wamekua watetezi wao na kuungana katika UKAWA yani CHADEMA wameungana na chama walichosema ni chama cha utetezi wa MASHOGA.
12. Ndio hawa hawa walimtukana Naibu spika Tulia wakidai anaharibu bunge, hana busara wakavaa mpaka matambara mdomoni na wakimsifu Ndungai kuwa ni spika safi , kipindi yu mgonjwa leo Ndugai tena Hafai.