Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,557
Mtoa mada ametaja kabisa Nchi anazozingumzia Qatar, Kuwait, Oman, Bahrain, Saudi Arabia na UAE wewe umeenda kuongeza Yemen na Afrika Kaskazini. Haya weka na Somalia basi ufurahi maana Wagalatia huoni raha bila kuchomeka maneno ya keroSiyo Uarabuni kote, Yemeni, Lebanon, hata Afrika ya Kaskazini kuna Waarabu pia na masikini sana tu.
Mtoa mada ametaja kabisa Nchi anazozingumzia Qatar, Oman, Bahrain, Saudi Arabia na UAE wewe umeenda kuongeza Yemen an Afrika Kaskazini. Haya weka na Somalia basi ufurahi maana Wagalatia huoni raha bila kuchomeka maneno ya kero
Nchi ulizotaja nimezitembelea na zingine nimeishi kabisa. Saudi Arabia unajua mtiti na purukushani za upinzani katika maeneo kama Qatif? Bahrain bila kuenda mbali. Manama mpaka leo upinzani ni moto wa kuotea mbali, Qatar na UAE wanafanya mambo katika mtindo wa people centered na haki sawa kwa wote ndio maana husikii chochote.Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Kwa hiyo Hashim Rungwe analipwa posho za kibunge? Haturudi kwenye uchaguzi.Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Nenda kaishi huko.Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Kichwa chako box tupo, inaonyesha ulikuwa huko unashinda bila nguo mudawote..Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Hatuna vyote na bado tunakenuaHuku hakuna decrasia na umasikini unazidi kutamaraki
Impact yake ipo wapi?Kwa hiyo hashimu rungwe analipwa posho za kibunge?haturudi kwenye uchaguzi
Nimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Walafi wachoyo na waroho wa madaraka ipo siku mtasema Wachina hawana dini siyo wakristu wala waislaam wanaabudu mizimu lakini wana maendeleo na siye tupige marufuku dini! Hao washindani wenu wa kisiasa mnawaita wapinzani wanalipwa kodi siyo za wanachama wenu pekee ni za watz wote! Acheni wananchi wachague viongozi wanaowataka msilete ukiritimba/monopoly ktk siasaNimetembea na kuishi nchi kadhaa za Qatar, UAE, Oman, Saudi Arabia na Bahrain sikuwahi kuona wazawa maskini pia hakuna NGO's kama Afrika pia hakuna kinachoitwa "Demokrasia". Afrika 24/7 kiongozi wa chama cha upinzani ni kupinga tu. Ila huyo kiongozi analipwa posho za ubunge kwa kodi za wananchi. Inasikitisha sana
Eswatini (Swaziland) vipi?Hapo nchi ulizotaja hapo zinaongozwa kifalme kwani Tanzania inaongizwa kifalme
Vipi uliona na NGOs/CSOs kule? Je Chaggema kuna demokrasia?Nchi ulizotaja nimezitembelea na zingine nimeishi kabisa. Saudi Arabia unajua mtiti na purukushani za upinzani katika maeneo kama Qatif? Bahrain bila kuenda mbali. Manama mpaka leo upinzani ni moto wa kuotea mbali, Qatar na UAE wanafanya mambo katika mtindo wa people centered na haki sawa kwa wote ndio maana husikii chochote.