Msaada kwa app nzuri ya ujumbe mfupi wa simu message ( SMS )ambayo haisumbui.

utilitarian

Member
Mar 2, 2017
63
122
Habari yako ndugu msomaji wa huu uzi !

Nimepata tatizo kidogo kwenye simu/rununu yangu nilibadili app iliyokuwepo kwenye simu baada ya kuvutiwa na app nyingine ambayo niliona kwenye sanduku la programu ( Play store ), niliondoa iliyokuwepo hiyo app na kuweka nyingine, hapo ndio tatizo lilianzia. siwezi kutuma arafa ( sms ) wala kupokea arafa ( sms ) wakati tiyari nimeshaweka app nyingine ya message kila nikituma inaandika failed.

Naomba kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia cha kufanya juu ya app nzuri ambayo naweza kuiweka kwenye simu yangu niweze kuendelea kupokea na kutuma jumbe fupi za simu ( sms ) atakuwa amenisaidia sana

Ni hilo tatizo moja tu simu yenyewe ni TECNO POP1.

Ahsante sana.
 
Habari yako ndugu msomaji wa huu uzi !

Nimepata tatizo kidogo kwenye simu/rununu yangu nilibadili app iliyokuwepo kwenye simu baada ya kuvutiwa na app nyingine ambayo niliona kwenye sanduku la programu ( Play store ), niliondoa iliyokuwepo hiyo app na kuweka nyingine, hapo ndio tatizo lilianzia. siwezi kutuma arafa ( sms ) wala kupokea arafa ( sms ) wakati tiyari nimeshaweka app nyingine ya message kila nikituma inaandika failed.

Naomba kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia cha kufanya juu ya app nzuri ambayo naweza kuiweka kwenye simu yangu niweze kuendelea kupokea na kutuma jumbe fupi za simu ( sms ) atakuwa amenisaidia sana

Ni hilo tatizo moja tu simu yenyewe ni TECNO POP1.

Ahsante sana.
Jaribu hangout kama itafanya kazi au restore simu yako ili kurejesha iliyokuwepo
Good luck
 
Jaribu hangout kama itafanya kazi au restore simu yako ili kurejesha iliyokuwepo
Good luck[/QUOTE]

Mrejesho, nimefanikiwa ku-restore rununu, hiyo programu imerudi,

ahsante sana kwa kutumia muda wako wa kuniongezea maarifa namna ya kutatua tatizo tajwa kwenye mada.
 
Habari yako ndugu msomaji wa huu uzi !

Nimepata tatizo kidogo kwenye simu/rununu yangu nilibadili app iliyokuwepo kwenye simu baada ya kuvutiwa na app nyingine ambayo niliona kwenye sanduku la programu ( Play store ), niliondoa iliyokuwepo hiyo app na kuweka nyingine, hapo ndio tatizo lilianzia. siwezi kutuma arafa ( sms ) wala kupokea arafa ( sms ) wakati tiyari nimeshaweka app nyingine ya message kila nikituma inaandika failed.

Naomba kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia cha kufanya juu ya app nzuri ambayo naweza kuiweka kwenye simu yangu niweze kuendelea kupokea na kutuma jumbe fupi za simu ( sms ) atakuwa amenisaidia sana

Ni hilo tatizo moja tu simu yenyewe ni TECNO POP1.

Ahsante sana.
Ulibadili vipi inamana default app umeitoa bila ku root.unstall hiyo uliyo download reboot simu default app itaendelea kufanya kazi.Sijui kwa nini watu wa tecno wanapenda app mbadala hata mimi niliwai fanya hivyo but starting using samsung sioni sababu ya kufanya hivyo coz application zipo poa sana.Jaribu kurizika na hiyo default iliyopo atakama huipendi
 
Ulibadili vipi inamana default app umeitoa bila ku root.unstall hiyo uliyo download reboot simu default app itaendelea kufanya kazi.Sijui kwa nini watu wa tecno wanapenda app mbadala hata mimi niliwai fanya hivyo but starting using samsung sioni sababu ya kufanya hivyo coz application zipo poa sana.Jaribu kurizika na hiyo default iliyopo atakama huipendi
Sio wote tuna uelewa na masuala ya software namna zinavyofanya kazi na namna ya kuziweka na kuziondoa pasina kuasili mfumo mzima wa simu..

Kama sijakunukuu vibaya angalia maandishi yako nimeyakoleza, kumbe si kosa langu hata wewe ulishafanya hivyo kwa kutokuelewa baada ya kugundua ndio ukapata suluhisho la kudumu.
 
Sio wote tuna uelewa na masuala ya software namna zinavyofanya kazi na namna ya kuziweka na kuziondoa pasina kuasili mfumo mzima wa simu..

Kama sijakunukuu vibaya angalia maandishi yako nimeyakoleza, kumbe si kosa langu hata wewe ulishafanya hivyo kwa kutokuelewa baada ya kugundua ndio ukapata suluhisho la kudumu.
Na maanisha nili download sms app ambazo niliona nibora kuliko hiyo ya simu. But kwa Samsung kila app iko vizuri kiasi kwamba huitaji kufanya hivyo.Ila ushauri wangu usipende ku change default app zilizopo kwenye simu maana hufanya simu zingine kuwa nzito au kutofanya kazi vizuri.Hata launcher rizika na hiyo default.
 
Hii hutumika kumtambua mtu aliyekupigia ukiwa hauna namba yake yake. Sharti data iwe ON (Unakifurushi cha mb)

Mbona hata True Caller ina hiyo feature mkuu...?.

Nikajua labda kuna kipya ambacho kwenye True Caller hakipatikani.
 
Ulibadili vipi inamana default app umeitoa bila ku root.unstall hiyo uliyo download reboot simu default app itaendelea kufanya kazi.Sijui kwa nini watu wa tecno wanapenda app mbadala hata mimi niliwai fanya hivyo but starting using samsung sioni sababu ya kufanya hivyo coz application zipo poa sana.Jaribu kurizika na hiyo default iliyopo atakama huipendi
Sasa ndo umeandika nini hapa! Unawashangaa wanaobadili application kwenye simu zao kumbe na wewe uliewahi kufanya hivyo?!! Kilichokufanya ubadili application kwenye simu yako enzi hizo ndo hicho hicho kilichotokea kwa wenzio. Au ni kiki na kujitangaza kuwa sasa unamiliki SAMSUNG? Wabongo bwana....!!
 
Sasa ndo umeandika nini hapa! Unawashangaa wanaobadili application kwenye simu zao kumbe na wewe uliewahi kufanya hivyo?!! Kilichokufanya ubadili application kwenye simu yako enzi hizo ndo hicho hicho kilichotokea kwa wenzio. Au ni kiki na kujitangaza kuwa sasa unamiliki SAMSUNG? Wabongo bwana....!!
Sikuwa na maana hiyo ndo mana nimempa ushauri aridhike nakile simu yake inacho pengine umenielewa vibaya
 
Back
Top Bottom