Uandikishaji wa wapiga kura 2015

Uandikishaji wa wapiga kura 2015

jamani vp wadau kuhusu kuandka upya wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu, ishu inaanza lini na je kuna tetesi zozote? Tujuzane atayepata taarifa.
Tulituma maombi mwezi wa 9 mwaka jana, tunasubiri kuitwa tu. Kama hukuomba mwaka jana nafikiri hii ya mwaka huu itakua imekupita labda usubiri hadi uchaguzi ujao.
 
Hahaha dah kuna mtu alikuwa amasubiria mwalimu wa primary anajua kutakuwa na kuandikisha watu..daah
.
kila kituo/kijiji kuna kituo ambapo msajili mkuu ni Veo, then kuna assistant(s) wake ......assistant ni mwananchi wa kawaida......I'm sorry for that teacher.
 
.
kila kituo/kijiji kuna kituo ambapo msajili mkuu ni Veo, then kuna assistant(s) wake ......assistant ni mwananchi wa kawaida......I'm sorry for that teacher.


Heeh am not the teacher concerned nilikuwa tu naulizia
 
Back
Top Bottom