Jf raha sana!Tatizo umekurupuka. Naona hujui nimekuelekeza kipi. Hiyo ni link ya AI ambayo inakutengenezea Proposal au hata kukuandikia paper kwa kutumia deepresearch.
Jf raha sana!Tatizo umekurupuka. Naona hujui nimekuelekeza kipi. Hiyo ni link ya AI ambayo inakutengenezea Proposal au hata kukuandikia paper kwa kutumia deepresearch.
Ujana raha sana! Hana muda wa kufikiri na kila wakati anategemea criticisms! Ndiyo wajukuu wetu walivyoJf raha sana!
Achana nae,fuatilia maelekezo ya Mwalimu mkuu,utapoteza malengo!Wewe ni mjiaji afu umejaa ujinga tu
🤣 Tajiri wa JF ujaombwa msaada kenge wwHujui unachokitaka sisi tutakusaidiaje kapuku wewe?
Umetagiwa au kimbelembele huna msaada maana hakuna unachojua najuaHujui unachokitaka sisi tutakusaidiaje kapuku wewe?
Proposal inahusu niniNimepewa kazi na mwamba mmoja kumuamdalia proposal, wakuu wenye uzoefu naomba mwongozo juu ya uandaaji wa proposal ya mashirika? Kuomba fund, na projects.
Mkuu nadhani ungejikita kwenye experience zaidi kuliko ku AI ingemsaidia vizuri.. hata mimi pia nasoma comment huenda naweza kujifunza kitu kutoka kwako nakwa wengine- Kipengele muhimu sana hiki
Unatakiwa ujue proposal inahusu nini kwakifupi proposal ni operation planNimepewa kazi na mwamba mmoja kumuamdalia proposal, wakuu wenye uzoefu naomba mwongozo juu ya uandaaji wa proposal ya mashirika? Kuomba fund, na projects.