UANAUME ni nini?!

UANAUME ni nini?!

we tuachie ujinga
umeanza mwenyewe kuandika ujinga ukijua JF hakuna watu wenye ujinga zaidi

Hahahahahahahhahahahaahah 17% IQ tia maji tia maji kweli hujaona angalizo ? matahiri hayakupaswa kuandika hum griiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Uanaume ni kuogopa kusema hakuna njaa maana utatumbuliwa
 
Uanaume ni kuogopa kusema hakuna njaa maana utatumbuliwa


tusi la karibu.jpg
 
Mimi ni chizi lakini sijafikia uchizi wa kuwa na ID mbili,moja ya kike na nyingine ya kiume. Huu ni utahira.

Hahahahahahhahahahahahaahah hata sijui hum watafta nini wendawazim jaman hujaona hawatakiwi humu ?
tusi la karibu.jpg
 
Uanaume ni kumfata demu unaemtaka PM halafu ukatuma screen shot kwa jukwa
 
Uanaume ni pale unaposhindwa kusoma kisa Ada..!!
 
Uanaume ni pale unapoweza kutatua matatizo yako binafsi huku unafanya mambo ya maendeleo kwa bidii
 
Back
Top Bottom