Uamuzi wa NEC pigo kwa UKAWA

Uamuzi wa NEC pigo kwa UKAWA

ikungi

JK ni professor wa siasa, lowasa na ufisadi wake hamuwezi, Dr Magufuli ndiyo rais
Ni bora ukichaa Wa kuvaa chupi kichwani kuliko wa kwako ndugu yangu.. Hivi unajua sasa wanaotetea ccm mmekua kama wehu kuongelea visivyowezekana, Mara jk ni profesa wa siasa, wasira anaweza kupiga msamba Wa van damme, magufuli anaweza kukwepa risasi, sijui mmekuwaje asee. Mmoja juzi ananiambia eti kati ya sera zitakatumika name Dr John Pombe Magufuli kubadili upepo wa kampeni ni kuhakikisha mipango ya bajaeti inatimia toka 30% mpaka 50% kwa kumtumia wema sepetu kama kitega uchumi cha serikali ijayo ya ccm kwa kuwaombea mikopo kwa kina pedejee ndama,mbuzi,n.k!
 
Last edited by a moderator:
Kwani mleta mada kakosea nini? Nyinyi si ndio mlikuwa mnadai kwamba kura zenu zitahibiwa na kuwakosesha ushindi!! Jaji Lubuva kawatolea uvivu kwa kutangazia Dunia kwamba kila kitu kitaweka wazi kituoni - baada ya Jaji ku-pre empty njama zenu za kuchochea/hamasisha wafuasi wenu wafanye fujo vituoni siku ya upigaji kura sasa mnakuja madai mapya, akili zenu
 
hapo chama dola kimekomeshwa sasa tutaona hizo kula za kwenye ma hotpot zitaingiaje kwenye masanduku. maana pale kwa mkurugeziniii huwa wanazima umeme kisha wanaingiza hizo kura za kwenye hotpot.
 
Kwani mleta mada kakosea nini? Nyinyi si ndio mlikuwa mnadai kwamba kura zenu zitahibiwa na kuwakosesha ushindi!! Jaji Lubuva kawatolea uvivu kwa kutangazia Dunia kwamba kila kitu kitaweka wazi kituoni - baada ya Jaji ku-pre empty njama zenu za kuchochea/hamasisha wafuasi wenu wafanye fujo vituoni siku ya upigaji kura sasa mnakuja madai mapya, akili zenu

Kama umewahi kuendesha kesi za uchaguzi usinge sema haya. Matokeo huwa yanabadilishwa wilayani na hata wakala apinge vipi lakini mtu wa IT pale wilayani huwa anapata agizo la mkurugenzi kuwa kura za kituo fulani kipo sawa scan tume NEC. Vile vile elewa kuwa matokeo ya urais hayapingwi mahakamani, yakishatangazwa hata kama kuna uongo wa wazi wazi ndio inakuwa imetoka hiyo. Dawa pekee ya kupinga matokeo ya urais ni riot tu. Zile carbonated copy wanazopewa mawakala vituoni huwa zinafutika baada ya muda si mrefu hivyo ukizileta mahakamani kama ushahidi huwa hazionekani vizuri hivyo Jaji kushindwa kuzitumia, inambidi atumie ile original ambayo hubadilishiwa wilayani. Watalamu wa kufoji saini wanakuwepo, ya msimamizi wa kituo inakuwa halali kwani huitwa usiku kuja kusaini mpya, wengi ni watumishi wa halmashauri na wapo chini ya mkurugenzi wa hiyo halmashauri
 
Magufuli kisha ukwaa Urais, anangoja kuapishwa tu.
 
ikungi

Mkuu Ikungi ulichoongea ni vice versa.

Hakuna pigo kubwa walilopata CCM kwenye uchaguzi wa mwaka huu kama hilo tamko la NEC kuwa matokeo yote ya udiwani, ubunge na Urais yatabandikwa kwenye vituo vya kupigia kura mara tu ya kukamilika zoezi la kuhesabu kura hzo.

Nikukumbushe tu kidogo ya kuwa tokea mfumo wa uchaguzi wa vyama vingi urejeshwe nchini mwaka 1995, chaguzi zote zilizopita matokeo yaliyokuwa yakibandikwa kwenye vituo vya kupigia kura yalikuwa ya udiwani na ubunge pekee.

Mabox ya kura za Urais yalikuwa yakipelekwa Wilayani kwenda kuhesabiwa upya na hapo ndipo maccm walipokuwa wakifunga magoli yao ya mikono.

Bahati nzuri sana safari hii Jaji Lubuva 'chale' zimemcheza na kuamua kuvaa ujasiri kwa kufanya uamuzi huo mgumu na mchungu sana kwa Sisiem.

Hii inaonyesha jinsi gani mnavofanya mambo kwa kuhisi, mara nyingi usipende hisia kutawala akili, kila siku mnasema tume si huru na hata mkutano wa kawe Mbowe alirudia hivo na kusema JK anaweka watu wa usalama, kwa hali hiyo ni lini huyo jaji Lubuva atatenda haki kwa upinzani? ww kuwa na msimamo dhabiti kuwa hatuwezi kushinda kwa kuwa tume si huru.

Hiki unachosema kimsingi ni upuuzi tu na ujinga tu, unapokuta mtu hana msimamo ni hatari sana, wakati JK alipoteua tume ya kukusanya maoni na kumteua Jaji Warioba kuwa mwenyekiti wake, na sura nyingi zilikuwa za viongozi wakubwa wastaafu wa serikali ya ccm, walisikika akina Mbowe, Tundu Lissu na wenzie pia walipiga kelele sana kuhusu hiyo tume, ilifikia mahala hata walitaka kumwengua Balegu ndani ya chadema, kilichofanywa na tume, Leo ndo nguzo ya na ajenda ya UKAWA, huo ndo ujinga ninaosema, punguzeni hisia, kama mnataka urais kwa hisia ni wazi kwamba ni ngumu sana kuupata, hisia hizo ndo zimefanya amechukuliwa Lowasa, kwamba kwa sababu alikuwa waziri mkuu kwa serikali ya ccm ni wazi kwamba watashinda, walihitaji kumchukua pia Mzee Warioba kwa hisia zilezile kwamba ushindi utapatikana, kimsingi upinzani bado hawajajiandaa kushika dola wao kama wao, na walichofanya inawezekana kikaja kuwa mwiba mkali sana kwenye upinzani kwa maana watu wengi kuja kuwapuuza baada ya uchaguzi, na Makifuri atakapochaguliwa naamini watafuta makosa yote na watu watakuwa na imani tena na ccm, huo ndo ukweli, kura yangu kwa mbunge wa ukawa na Dr.Makufuri
 
Last edited by a moderator:
Tutashinda asubuh kwa hari hiyo eeeh mwenyezi mungu tusaidie
 
ikungi

JK ni professor wa siasa, lowasa na ufisadi wake hamuwezi, Dr Magufuli ndiyo rais
Hapo ndio mwisho wako wa kufikiri? Au mmeishiwa matusi na mipasho? Subiri muda ufike.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo habari kweli ni ya Deera wala sio Dira!!
 
mwaka huu ccm watajinyea!!,naona hii thread inawatia moyo maccm wasije kufa kwa presha,lowasa ndio rais
 
Kama umewahi kuendesha kesi za uchaguzi usinge sema haya. Matokeo huwa yanabadilishwa wilayani na hata wakala apinge vipi lakini mtu wa IT pale wilayani huwa anapata agizo la mkurugenzi kuwa kura za kituo fulani kipo sawa scan tume NEC. Vile vile elewa kuwa matokeo ya urais hayapingwi mahakamani, yakishatangazwa hata kama kuna uongo wa wazi wazi ndio inakuwa imetoka hiyo. Dawa pekee ya kupinga matokeo ya urais ni riot tu. Zile carbonated copy wanazopewa mawakala vituoni huwa zinafutika baada ya muda si mrefu hivyo ukizileta mahakamani kama ushahidi huwa hazionekani vizuri hivyo Jaji kushindwa kuzitumia, inambidi atumie ile original ambayo hubadilishiwa wilayani. Watalamu wa kufoji saini wanakuwepo, ya msimamizi wa kituo inakuwa halali kwani huitwa usiku kuja kusaini mpya, wengi ni watumishi wa halmashauri na wapo chini ya mkurugenzi wa hiyo halmashauri
Mkuu natumia simu kuandika hoja,nilikuwa sijakamilisha ikaji upload,hoja yangu ntaikamilisha nikiwa kwenye keyboard.
 
Ninyi vijana wa mtandao mnaopewa vibuku na CCM ni wazushi sana.Binafsi sijaona ushahidi wowote kwamba CDM walikuwa wanapanga kufanya fujo kama kura zisingehesabiwa kwenye vituo vya kupigia kura.Mna nia mbaya ya kuwachonganisha UKAWA na wananchi lakini hamtafanikiwa.Mwajiri wenu CMM alishalikoroga sasa hana budi kulinywa.You can't reverse the tide,ni vema mkasoma alama za nyakati.It's too little too late.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imepigilia msumari wa mwisho katika kambi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) bada ya kutangaza kuwa kura za urais, ubunge na madiwani zitahesabiwa kwenye vituo vya kupigia kur kwa uwazi.

Uamuzi huo ni pigo kwa Ukawa ambao tayari wameanza kuchungulia mgombea wao wa urais Edward Lowassa kushindwa na mgombea wa Ccm Dk. John Magufuli kuanza kutumia ujanja wa kulalamika kwmba wataibiwa kura wakati wa kusafiriisha masanduku ya kura wakati wa uchaguzi ili wafanye fujo.

Jumanne wiki hii Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Damiani Lubuva, alisema kura zote za urais, wabunge na madiwani zitahesabiwa katika vituo vya kupiga kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo na marufuku kusafirisha masanduku ya kupigia kura kama ilivyokuwa zamani.

Alisema ktika uchaguzi w mwka huu marufuku kuhamisha masanduku ya kura kwa sababu vituo vya kupigia kura vitbdilika na kuwa vituo vy kuhesabia kura baada ya upigaji kura kumalizika.

“ kura zote za urais, ubunge na udiwani zitahesabiwa katika kila kituo na matokeo yatabandikwa vituoni hapo hivyo sijui wanaosema kura zitaibiwa zitaibiwaje”, alisema Jaji Lubuva na kuongeza “ baada ya matokeo kubandikwa katika kila kituo yatapoelekwa katika kata husika kujumlishwa na hapo pia yatabandikwa,

“Mshindi wa udiwani atatangazwa hapo na Yule wa ubunge na urais yatapelekwa jimboni ambako yatajumlishwa na mshindi wa ubunge kutangazwa na kukabidhiwa cheti huku uris yakipelekwa makao makuu ya tume.

Alisema njia hiyo itasaidia matokeo kufika haraka kama inavyotakiwa na baada ya tume ya uchaguzi kupokea matokeo hayo yatatangazwa moja kwa moja kupitia luninga na redioni.

Kutokana na hali hiyo alivishauri vyama vya siasa viache kauli za kuwataka wafuasi waowasiondoke kwenye vituo vya kupiga kura kwa vile hakuna kura zitakazoibiwa.

Kauli ya Lubuva ni mwiba kwa Chadema na Ukawa kwa sababu tayari walishawamoinisha wafuasi wao wataibiwa kura hivyo wafanye fujo, wakati wakijua wazi kuwa mgombea wao atashindwa kihalali ktika uchaguzi huo.

Habari za zilizopatiakana kutoka ndani ya chadema zinaeleza kuwa mwenendo wa mgombea wao, Lowassa katika kampeni zmeanza kuwatia wasiwasi na kwamba sasa wameanza kushawishi wafuasi wao wafanye fujo ili kuvuruga uchaguzi.

Habari hizo zinaeleza kuwa tayari chama hicho kimetoa mafunzo mafunzo ya kwa vijana 3,000 nchini ambao watasambazwa katika vituo vya kupig kura ili wanzishe fujo baada ya matokeo kusambazwa.

Mtoa habari wetu aliye karibu na chama hicho anasema kuwa lengo kuwa la kufanya hizo ni kutaka kuiweka serikali ya rais Kikwete katika matatizo ya mahakama kimataifa ya uhalifu.

Wanasema urais wanajua hawatapata, lakini mgombea wao Lowassa na wafuasi wake hususani waliotoka ccm hivi karibuni wanataka kuona rais Kikwete naye anaishi katika matatizo mazito ya kupelekwa ICC.



Chanzo: Dira
 
Kama huu ndo utaratibu lowasa acha kampeni jisogeze karibu na ikulu kwa ajiri ya kuapishwa
 
Back
Top Bottom