Kuuwawa kwa Padri Evarist Mushi kumetokea huku vyombo vya dola vikiwa vinaangalia upande mwingine, pamoja na majigambo ya kundi la UAMSHO.
Hii ni dalili tosha kuwa hizi moves ni coordinated na si ajabu kupitia wafadhili wao kutoka Uarabuni.
Katika matukio yote imebidi watoke askari polisi toka makao makuu DSM waliongozwa na Kamanda Sirro, kutuliza munkari wa Uamsho Zanzibar.
Hapa tunajiuliza inakuwaje fujo zile za kwanza(kuchoma makanisa) zingetokea bila polisi Zanzibar kupata habari za intellejensia?
UAMSHO sasa wameenda mbali zaidi na kutoa barua ya yale yatakayo jiri, ikiwa ni pamoja na kuua makafiri na kuchoma makanisa zaidi. Hili tumeliona, Padre Mkenda kapigwa risasi na Padre E Mushi kauwawa.
Polisi Zanzibar kimya.
Tetesi zina sema matayarisho ya fujo hizi ni ya muda mrefu. Hata Kamanda wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa, anavyoonekana katika luninga akibabaika siyo bure, ni Uamsho sympathiser.
Na kwa vyovyote vile tatizo hili ni la kidini/kisiasa na ushiriki wa CUF katika serikali ya umoja umehakikisha kuparalyse sytem za serikali ya Zanzibar into inaction.
mkuu me naona tulete makomandoo wa israel ili waje kufanya upelelezi huko z'bar maana naona wamezd kutuchezea