Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Wana JF kwa wale ambao wanafuatilia habari za kiabiashara watakubaliana na mie kuwa fedha ya kijapan (Yen) Imekuwa na nguvu hasa ukilinganisha na US dollar kwa muda mrefu sasa. Pia ukiangalia Tsh nayo pia imepoteza nguvu (depreciate) kwa muda sasa kwa upande wa dollar. Maaana yake ni nini? Kwa kifupi ni kuwa bidhaa kutoka Japan hasa magari ambapo wengi wetu huagiza kutoka nje nayo pia yamekuwa ghali. Swali, ukiondoa Japan amabpo kwa sasa hivi ambapo exchange rates imekuwa mbaya zaidi (for fifteen years ukilinganisha na US dollar), soko gani jingine linaweza kuwa favourable kuagiza magari?