U.S. warns Iran on Strait of Hormuz

U.S. warns Iran on Strait of Hormuz

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]
MehmanParast012.jpg
Iran: Vitisho, vikwazo na mashinikizo ni mbinu zilizofeli zamani
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran vilivyopitishwa na Umoja wa Ulaya haviendani na mgogoro wa kiuchumi na kijamii unaozikabili nchi za Ulaya na kwa hakika vikwazo hivyo; vina sura zaidi ya mashinikizo ya kipropaganda na vita vya kisaikolojia dhidi ya Tehran.

Matamshi hayo ya Bwana Mehmanparast yamekuja huku Shirika la Mafuta la BP la Uingereza likikataa kujumuishwa katika orodha ya mashirika yatakayotekeleza vikwazo dhidi ya Iran.
Weledi wa mambo wanasema kuwa nchi za Magharibi zinayataka mashirika ya nchi nyinginezo yasishirikiane na Iran lakini nchi hizo za Ulaya zinafanya juhudi zao zote kuhakikisha kuwa mashirika ya Ulaya kama vile BP hayavunji mikataba yao ya mafuta na Iran.

Msemaji wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran haviingiliki akilini kwani mafuta hayana uhusiano wowote na miradi ya amani ya nyuklia ya Iran.
Huku akiashiria kuwa vikwazo dhidi ya Iran si jambo jipya amesema, inaonekana kwamba Wamarekani wanatumia hila ya kuyapiku kiuchumi mataifa yanayotishia uchumi wa Marekani na inataka nchi hizo ziache kushirikiana kiuchumi na taifa kubwa kama la Iran ili kuzipunguzia kasi ya kuipiku kiuchumi Marekan
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

SOURCE: Iran: Vitisho, vikwazo na mashinikizo ni mbinu zilizofeli zamani
 
Hi Mzalendo,
Natumai unajua kusoma kiswahili na kiingereza vizuri.
russia na china hawaonekani kama wataunga mkono iran

Nimekupa hadi link inayosomeka
“China will not hesitate to protect Iran even with a third world war,”

ingawa russia msimamo wao haueleweki.

Msimamo wa Russia ni kuwa vita dhidi ya iran haikubaliki na iko tayari kuitetea.

Labda umechoka kusoma.
Naomba ufate hii link [TABLE="class: ts"]
[TR]
[TD="colspan: 2"][h=3]russians say war with iran is completely unacceptable[/h][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

AU COPY THE BELOW UWEKE KWENYE BROWSER:
http://www.google.co.tz/url?url=htt...an+war&usg=AFQjCNE1YiKwlRGH3aUnyruy6-bHxT90jg
 
Vikwazo zaidi kutoka nchi za jumuiya ya Ulaya (EU) dhidi ya Iran ni uimarishaji wa uswahiba kati ya Marekani na EU? Je Iran itadhoofu na nini madhara kwa dunia? Kama haitadhoofu nini kitakuwa jawabu la vikwazo hivyo? Asilimia 20 ya mauzo ya mafuta kutonunulika tena Ulaya je Libya ndiyo iliyotumika kujaza pengo hilo na kuzipa nchi za EU kiburi cha kuzila mafuta ya Iran? Vipi hatma ya siasa za dunia kwa kuzingatia mwenendo wa siasa za sasa za Magharibi dhidi ya nchi zingine hasa zenye kuibukia? Wadau wenzangu wanaJamii forum tuchangiane mawazo hapa.
 
Lazima utawala wa Iran baada ya muda uta-collapse tu sidhani kama wataweza kuvumilia na ku-survive vikwazo hivi kwa muda mrefu. China na India ambao naye ni wanunuzi wakuu wa mafuta ya Iran lazima watatafuta alternative na hapo ndipo utawala wa Ma-Ayatollah utafika kikomo kwa vurugu za wananchi wao wenyewe watakaokuwa wamechoshwa na hali mbaya ya uchumi utakaokuwa ukiparaganyika.

Hata jeshi la Iran halitakuwa salama maana halitakuwa na hela za kuspend kwenye kuunda silaha wala kukarabati zilizopo hivyo nao watakuwa na hali mbaya sana ama wapindue utawala uliopo au waanzishe vita na west ili kujinasua kwenye lindi la matatizo. Haya yote sitarajiiyatokee chiniya miezi mitatu toka sasa wakati ambapo vikwazo vitakapokuwa vinang'ata haswa
 
Kuna wanao dream kuwa Russsia itaingilia kati na kupigana upande wa Iran.

Kama Iran na wao wanawaamini warusi sijui na wachina, watashangazwa wakati wakinyukwa hao watakuwa kimya na kuja kuibuka nchi ikiwa all the way destroyed, ni wanafiki tu.

There is no way Iran will survive this, huwa siamini tena confidence za hawa watu ie Ahmedinejad, mikwala tu kama Saddam lakini hakuna kitu.

Sijui huwa ni makusudi ama ni kwamba hawana right intelligence on military capabilities za US na allies wake?

Ama wao wanapigana hii vita kama ni ya kiimani?

Huwezi ukasema utai wipe Israel off the map na huna kitu cha back up statement yako!

Ni sawa na Saddam baada ya kuvamiwa eti akaanza kulia lia kuwa hakuwa na silaha za maangamizi wala uwezo mkubwa wa kijeshi na silaha, bali ilikuwa propaganda ya kuudanganya ulimwengu ili Iran wasiwavamie!

Je Iran na wao watakuja na excuse kuwa walikuwa wanadanganya ili kujilinda na lets say Israel na mataifa ya kiarabu (Sunni)?
 
Shukrani nyingi sana zikufikie JMushi1 kwa uyakinishaji wa mambo katika kuchangia mada postiwa. Nionavyo mimi kuna utofauti mkubwa sana kati ya Iran na iliyokuwa Iraq ya Saddam. Iran ina watu waliosoma sana tena elimu yenye muktadha sio elimu ya vyeti. Pili kwa upande wa teknolojia ya silaha za kivita na mambo ya komputa kwa upande wa Mashariki ya kati inashika nafasi ya pili baada ya Israel. Tatu intelejensia yao (Vevak) iko viwango vya juu sana (kwa mfano mara nyingi inanyendo za CIA ), nadhani ni kutokana na kufanya kazi kwa kupachisha na teknolojia. Nne kutokana na kuwa na raia waliosheheni elimu tunuku/tija, imekuwa ikijitegemea kwa kiasi kikubwa kwa upande wa wana sayansi na wataalamu wa mambo ya kisayansi ya ulimwengu wa leo. (Mfano Google wanaheshimu sana kiwango cha wanaIran kwa masuala ya utaalam wa IT, waliwahi kufanyiziwa)

Nadhani Marekani na washirika wake wanatambua mazingira haya yote kwa Iran ndiyo maana itawachukua mbinu zaidi kuudondosha utawala wake(Iran). Somo moja kubwa linaloweza kutoa fundisho kwa ulimwengu ni umahili mkubwa ulio oneshwa na hawa Wapersia kwa kuweza kuifanya "drone" ya Marekani (RQ 170) kutua kama drone yao ndani ya Iraq. Walibadilisha tu mfumo wa mawasiliano-GPS kwa kui "replace" na GPS yao hivyo drone hiyo kushindwa kutimiza yale iliyopaswa kutimiza inapokuwa mikononi mwa adui (kurudi nyumbani ama kulipuka). Mazingira kama haya yanawatanua vichwa zaidi wapinzani wa Iran, wakati huo huo yakiendelea kuwatanua tena na wa Iran wenyewe.

Mambo yaliyoleta vita vya kwanza na vya pili vya dunia yapo yanaendelea tena katika hatua iliyokomaa kabisa kushinda nyakati zilizotangulia. Yetu masikio na macho sie nyasi wa uwanja, sijui hao washirika wa Iran walio wakubwa wenye kusita kujitokeza siku wakiamua kuwa wawazi mambo yatakwenda vipi.
Asante tena na tena mwanaJamiiforum mwenzangu kwa mawazo
 
Lazima utawala wa Iran baada ya muda uta-collapse tu sidhani kama wataweza kuvumilia na ku-survive vikwazo hivi kwa muda mrefu. China na India ambao naye ni wanunuzi wakuu wa mafuta ya Iran lazima watatafuta alternative na hapo ndipo utawala wa Ma-Ayatollah utafika kikomo kwa vurugu za wananchi wao wenyewe watakaokuwa wamechoshwa na hali mbaya ya uchumi utakaokuwa ukiparaganyika.

India has reportedly agreed to pay Tehran in gold for the oil it buys, in a move aimed at protecting Delhi from US-sanctions targeting countries who trade with Iran. China, another buyer of Iranian oil, may follow Delhi’s lead.


The report, by the Israeli-based news website DEBKAfile, states that Iran and India are negotiating backup alternatives with China and Russia, should the US and EU find a way to block the gold payment mechanism.


Delhi’s move is seen as surprising, as earlier India and Iran said they would switch to yen and rupees. China, another major importer of Iranian oil, may follow Delhi’s lead, the report adds.


India and China need to switch from the dollar in bilateral trade, since the US and EU have issued unilateral sanctions against the Iranian oil industry and financial institutions. The sanctions would ban any bank involved in oil trade with Iran from dealing with American and European counterparts.

zaidi hapa
 
Blasting Iran with new sanctions won't stop the west from working with Iranian energy companies if the stakes are high enough, it seems. UK lobbyists have ensured that BP and others can continue a multibillion dollar gas project vying with Russia.
*A political balancing act was needed to protect investment into Azerbaijan's Shah Deniz natural gas field, where BP works with Iran. The second stage of this project operated by British Petroleum worth $20 billion is meant to decrease Europeans' dependence on Russian fuel, reports the Wall Street Journal.


"There is broad-based consensus in the House and Senate that our sanctions policy should impose maximum economic pain on the Iranians without allowing Russia to hold Eastern Europe hostage for energy supplies," the newspaper cites a congressional aide familiar with the European lobbying effort as saying.


The Shah Deniz II in the Caspian Sea is an international project operated by British Petroleum, which holds a 25.5 percent stake. Among other participants is the Iranian state-owned oil company Naftiran Intertrade, with a 10 percent stake. Washington's sanction effort against the Iranian oil and gas industry could have blocked the project, but a lobby effort seems to have ensured an exception.


A bill currently with the US Senate's committee on foreign affairs would ban any company dealing with the Iranian energy sector from doing business in the US. The current wording however says it will not affect efforts "to bring gas from Azerbaijan to Europe and Turkey," or to achieve "energy security and independence from Russia."

zaidi hapa
 
kwa hawa warabu wameikosea nini dunia hizi nimbinu chafu za watu wa magharibi wakiwamaliza warabu watakuja afrika walianza asia wanaita nchi za kiarabu wanakuja kumaliza afrika waafrika tuwemacho na haya yanayotokea kwa wezetu
 
kuna shida sana Iran hata baada ya Japan na Korea ya kusini kuweka vikwazo vya kununua mafuta Iran,sasa sijui itakuwa vipi,Iran imebaki kusimama sababu ya Russia na China.ila wanakoelekea hari itakuwa ngumu zaidi.

Sera za nchi za Magharibi za ovyo sana atakakachosema US,wote wanafuata,akisema UK wote wanafuata,akisema EU wote wanafuata..ovyo sana..
 
Shukrani nyingi sana zikufikie JMushi1 kwa uyakinishaji wa mambo katika kuchangia mada postiwa. Nionavyo mimi kuna utofauti mkubwa sana kati ya Iran na iliyokuwa Iraq ya Saddam. Iran ina watu waliosoma sana tena elimu yenye muktadha sio elimu ya vyeti. Pili kwa upande wa teknolojia ya silaha za kivita na mambo ya komputa kwa upande wa Mashariki ya kati inashika nafasi ya pili baada ya Israel. Tatu intelejensia yao (Vevak) iko viwango vya juu sana (kwa mfano mara nyingi inanyendo za CIA ), nadhani ni kutokana na kufanya kazi kwa kupachisha na teknolojia. Nne kutokana na kuwa na raia waliosheheni elimu tunuku/tija, imekuwa ikijitegemea kwa kiasi kikubwa kwa upande wa wana sayansi na wataalamu wa mambo ya kisayansi ya ulimwengu wa leo. (Mfano Google wanaheshimu sana kiwango cha wanaIran kwa masuala ya utaalam wa IT, waliwahi kufanyiziwa)

Nadhani Marekani na washirika wake wanatambua mazingira haya yote kwa Iran ndiyo maana itawachukua mbinu zaidi kuudondosha utawala wake(Iran). Somo moja kubwa linaloweza kutoa fundisho kwa ulimwengu ni umahili mkubwa ulio oneshwa na hawa Wapersia kwa kuweza kuifanya "drone" ya Marekani (RQ 170) kutua kama drone yao ndani ya Iraq. Walibadilisha tu mfumo wa mawasiliano-GPS kwa kui "replace" na GPS yao hivyo drone hiyo kushindwa kutimiza yale iliyopaswa kutimiza inapokuwa mikononi mwa adui (kurudi nyumbani ama kulipuka). Mazingira kama haya yanawatanua vichwa zaidi wapinzani wa Iran, wakati huo huo yakiendelea kuwatanua tena na wa Iran wenyewe.

Mambo yaliyoleta vita vya kwanza na vya pili vya dunia yapo yanaendelea tena katika hatua iliyokomaa kabisa kushinda nyakati zilizotangulia. Yetu masikio na macho sie nyasi wa uwanja, sijui hao washirika wa Iran walio wakubwa wenye kusita kujitokeza siku wakiamua kuwa wawazi mambo yatakwenda vipi.
Asante tena na tena mwanaJamiiforum mwenzangu kwa mawazo
Mkuu, nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa sana.

Mainly ni kwasababu mimi sijawahi kufika Iran, hata hivyo unayosema na mimi pia nimeyasikia.

Hata hivyo kutokana na uzoefu wangu, haya mataifa ya magharibi wakitaka kuivamia nchi usidhani eti watasema hiyo nchi wanayoivamia wako very weak, instead, watawaongezea na sifa ambazo hawana ili tu wa justify vita na ili iweze kuonekana kuwa ni mpambano fair.

Whatever you have just said, ni kweli Iran wana karata kutokana na kwamba wameshajijenga sana hapo middle east especially through Hizbolah as a proxy, na ni kweli waliwapelekesha IDF, plus the Strait of Hormuz fact.

All in all, vita vitakuwa vikubwa na maybe it can spark a world war, inategemea na karata za Iran kwasababu ni ukweli kwamba Israel akiingia kwenye vita kwanza, then mmarekani lazima afuatie, ni tofauti kama akianza mmarekani. Na akianza mmarekani, muiran lazima amtumie Nasralah kumchokonoa myahudi, so either way both US and Israel will enter the war at some point.

Na kwa jinsi ambavyo Iran wameminywa, sidhani kama wana option zaidi ya either ku surrender ama kuingia vitani.

Kama umefuatilia hotuba ya Obama ya State of Union jana, alisema all options are on the table, na ukiona vikwazo kama hivi, ujuwe ni vya kuwalainisha tu, na baadae wanaingiza timu kama kawa.

Hapo Syria, Al assad ni kutoka kabila dogo la Alawi, ambao ni originate from the Shiite kutoka Iran ambao pia ndiyo majority Iraq, on the other hand, asilimia 74% ya wasyria ni Sunni ambao huko Iraq wao ni minority kabila la Saddam.Assad anatumia chama kama (BAATH) cha Saddam kuiongoza Syria licha ya kwamba makabila yao ni tofauti, hilo lilikuwa likiwaunganisha kipindi kabla Iraq haijavamiwa.

Ukitizama hapo with the fact kwamba Iraq nako bado kunawaka moto, Iran nao wakiingia vitani basi the whole region will be on fire, na since mataifa makubwa yana interest huko ie Oil ambayo ni kama damu yao, basi the possibility of a world war is definetly there.
 
Vikwazo gani sasa wakati BP ya Uingereza na Statoil ya Norway zimeachiwa kuendelea kudeal na Iran. Halafu kumbukeni kuwa EU wamesema itachukua hadi miezi sita (6) kwa nchi zao kuanza hivyo vikwazo ili kumalizia mikataba waliyokwishaingia na Iran...

Je ni nani atakeumia if Iran decides not to wait until hiyo miezi 6 na kuamua kukata hayo mafuta leo hii kwa nchi za EU??:A S-coffee:
 
Vita vya Irani havina maslahi kwa merakani na wamerakani pia ni unjust

Vita hivyo vinasukumwa sana na israel kwa faida zake, lakini yenyewe inataka amerika ipigane via hivyo kama proxy ya israel

All in all watu wengi watakufa, wamekani wengi watakufa, wairan wengi watakufa kwasababu ya taifa ovu kupita zote duniani israel
 
Vita vya Irani havina maslahi kwa merakani na wamerakani pia ni unjust

Vita hivyo vinasukumwa sana na israel kwa faida zake, lakini yenyewe inataka amerika ipigane via hivyo kama proxy ya israel

All in all watu wengi watakufa, wamekani wengi watakufa, wairan wengi watakufa kwasababu ya taifa ovu kupita zote duniani israel

Wamarekani watakaokufa ni hao wanajeshi.
Ama unadhani Iran ana uwezo wa kumfikia mmarekani nyumbani na kuuwa raia?
Na kama akiweza, mmarekani atamfutulia mbali, trust me on this.
 
Wamarekani watakaokufa ni hao wanajeshi.
Ama unadhani Iran ana uwezo wa kumfikia mmarekani nyumbani na kuuwa raia?
Na kama akiweza, mmarekani atamfutulia mbali, trust me on this.

Wanajeshi siyo watu au wanastahili kufa?

Watakufa raia pia through internal terror attack...

Kuwa futilia hawezi hata kidogo (so i cannot trust you)..

Hiyo ngoma si rahisi kushinda bila pain kubwa on both sides; economic, casualities etc..
 
Wanajeshi siyo watu au wanastahili kufa?

Watakufa raia pia through internal terror attack...

Kuwa futilia hawezi hata kidogo (so i cannot trust you)..

Hiyo ngoma si rahisi kushinda bila pain kubwa on both sides; economic, casualities etc..
Kwani mwanajeshi alijiunga na jeshi ili iweje?

Huwezi kulinganisha vifo vya wanajeshi na vile vya raia, ndiyo maana wana wa praise wanajeshi wao na kusema kuwa wamejitolea maisha yao ili wao waendelee kuishi kwa uhuru na pia kuhakikisha kuwa vita haiingii ndani ya US, kwa taarifa yako, US ni kama wameizunguka dunia, everywhere wako, baharini na nchi kavu.

Niambie ni lini marekani haijawahi kuwa vitani halafu ndo useme kuwa wanajali kihivyo, uchumi wao umekuwa na ups and downs all the times bila kujali kama vita viko ama haviko.

Mkuu marekani ni taifa kubwa sana.
 
Kwani mwanajeshi alijiunga na jeshi ili iweje?

Huwezi kulinganisha vifo vya wanajeshi na vile vya raia, ndiyo maana wana wa praise wanajeshi wao na kusema kuwa wamejitolea maisha yao ili wao waendelee kuishi kwa uhuru na pia kuhakikisha kuwa vita haiingii ndani ya US, kwa taarifa yako, US ni kama wameizunguka dunia, everywhere wako, baharini na nchi kavu.

Niambie ni lini marekani haijawahi kuwa vitani halafu ndo useme kuwa wanajali kihivyo, uchumi wao umekuwa na ups and downs all the times bila kujali kama vita viko ama haviko.

Mkuu marekani ni taifa kubwa sana.

Mkubwa ni moja tu ni Mwenyezi Mungu, mataifa makubwa huangushwa na mataifa madogo, farao aliangushwa na musa asiye na jeshi bali haki..

Wamerakani hawawezi kundesha dhulma wakabaki, na kwa hili la Irani hasara ya kijeshi na kiuchumi na kubwa mno kwa taifa lao, wapinzani wa ndani wameongezeka yote hiyo ni dalili mbaya kwao..

Hawawezi kitu, mbona wanashinikiza vikwazo wasiende vitani? kama kweli ni taifa kubwa? oops
 
Ban Ki-moon: Maneno makali hayatakuwa na tija mbele ya Iran
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kuwa mazungumzo ndio njia pekee inayoweza kutatua kadhia ya nyuklia ya Iran.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameziusia pande zinazokabiliana na miradi ya kuzalisha nishati ya nyuklia nchini Iran ziache kutumia lugha kali mbele ya Tehran akisisitiza kuwa suala hilo halina faida.

Amesema hakuna njia mbadala ya kuweza kutatua hitilafu zilizopo kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran na kwamba kutumia lugha kali na mivutano hakuna faida yoyote.

Vilevile ameitaka Iran isifunge Lango Bahari la Homroz akisisitiza kuwa njia hiyo ya baharini ina umuhumu mkubwa katika mabadilishano ya kibiashara duniani.

Ban Ki-moon ametoa ombi hilo kwa Iran huku akinyamazia kimya hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Marekani na nchi za Magharibi ya kuweka vikwazo dhidi ya sekta ya mafuta ya Iran
BanKi-moon0000231.jpg


SOURCE: Ban Ki-moon: Maneno makali hayatakuwa na tija mbele ya Iran
 
7a467509657072222935b4cb30611120_L.jpg
Russian news network says Iran can react to the European Union's new sanctions on its oil sector by stopping oil exports to EU member states.
The Russia Today reported on Thursday that Iran's move will be a good response to EU sanctions which have been already slammed by Iran's close allies like China.
The report quoted Nasser Soudani, a member of Iran Majlis (parliament) Energy Committee, as saying that in reaction to EU measure, Iranian lawmakers are drafting a new law, which would stop oil supply to European countries as soon as possible.
The lawmaker added: “A number of representatives of the Majlis and I are seeking to approve a bill according to which all European countries that made Iran the target of their sanctions will not be able to buy even one drop of oil from Iran, and oil taps will be turned off to them so that they will not play with fire again.”
The report stated that the legislation may be ratified in Iran's Majlis as early as this Sunday, adding that such a ban would result in a fuel shortage in Europe as the countries which joined the sanctions, while receiving a considerable amount of crude from Iran, would not have enough time to secure a substitute.

SOURCE: 'Iran can turn off oil tap to EU'

 
Back
Top Bottom