Ngoke
JF-Expert Member
- Jun 14, 2020
- 275
- 494
DuuuuuhMkuu Mystery ,juzi nilitembelewa na rafiki zangu wawili kutoka "Ulitsa Miklukho-Maklaya", mmoja ni Mcongoman na mwingine ni Msudani.
Wamesikitika kwa yanayoendelea huko Tanzania mpaka hatua ya kuuliza ni nini kimeipata Tanzania ya Mwalimu!?
Sent using Jamii Forums mobile app