nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Hao ni watetezi wa wanyongeMabeberu wamekomalia ya watu ya kwao yamewashinda
Hao ni watetezi wa wanyongeMabeberu wamekomalia ya watu ya kwao yamewashinda
Unawaza kipumbavu sanaMnajuaga kujazana upepo
Kwani yule mama wa ubarozi wa marekani si ameondoka!!!!kwa matamkoz yake nilidhani siku anaondoka hapa nchi inaingia shimoni.
Mpumbavu ana focus anachoamini,ambacho si msimamo kwa wengine,bila kujali ni sahihi au si sahihi.Unawaza kipumbavu sana
Na hatua zinachukuliwa siyo tz hii, polisi wanafuata mawazo ya mgogo ndugai kuwa mbowe alilewa na sasa wanataka wamburuze mahakamani shame on polisi tzUnajua wangapi ambao wameuawa bila kesi?
Hii ni kwa ajili ya video kwenda viral tu....
Na hata kushtakiwa kwao kulitokana na shinikizo la maandamano...
Ama unajilazimisha upofu ama huelewi...
Wako kati ya wale wa4 wanatembea mitaani furiiiii
Wajue wazungu....
Baada ya Floyd wangapi wameendelea kufa?
Waafrika zaidi ya wa4 wamenyongwa baada ya Floyd.
Waliomuua Floyd wamechukuliwa hatua za kisheria, vipi waliommiminia Lissu risasi, bado hawajulikani?Kabisa... inanuka kuliko waliomuua Floyd..
Imasikitisha sana
Tanzania rungu lazima litushukie hakuna namna, inasikitisha sana.Uroho wa madaraka na kutokujiamini kwa magufuli kunaenda kuigharimu nchi nzima, wazalendo ndani ya CCM wame freez, amebaki membe tu anatishia nyau.
Kosa lao ni kufanya kikao cha chama cha ndani, hii hairuhusiwi kwenye jamhuri ya walafi wa madaraka.Kabla ya kuleta propagamda za uongo kama huu. Muwe mnasubiri taarifa za polisi kwanza kujua waliokamatwa wana kosa gani.
Wameshtakiwa baada ya shinikizo, huku kwetu ukishinikiza ndio unaharibu kabisa.Unajua wangapi ambao wameuawa bila kesi?
Hii ni kwa ajili ya video kwenda viral tu....
Na hata kushtakiwa kwao kulitokana na shinikizo la maandamano...
Ama unajilazimisha upofu ama huelewi...
Wako kati ya wale wa4 wanatembea mitaani furiiiii
Wajue wazungu....
Baada ya Floyd wangapi wameendelea kufa?
Waafrika zaidi ya wa4 wamenyongwa baada ya Floyd.
Mkuu Mystery ,juzi nilitembelewa na rafiki zangu wawili kutoka "Ulitsa Miklukho-Maklaya", mmoja ni Mcongoman na mwingine ni Msudani.Hakika nchi yetu "inanuka" huko kwenye jumuia ya kimataifa
We ulikuwepo eneo la tukio? Kama ni kikao cha ndani mbona mlianza kuimba nyimbo za kuikashifu Ccm. Mngejifungia ndani ili mjadili mambo yenu.Kosa lao ni kufanya kikao cha chama cha ndani, hii hairuhusiwi kwenye jamhuri ya walafi wa madaraka.
Wameshtakiwa baada ya shinikizo, huku kwetu ukishinikiza ndio unaharibu kabisa.
Na hatua zinachukuliwa siyo tz hii, polisi wanafuata mawazo ya mgogo ndugai kuwa mbowe alilewa na sasa wanataka wamburuze mahakamani shame on polisi tz
Waliomuua Floyd wamechukuliwa hatua za kisheria, vipi waliommiminia Lissu risasi, bado hawajulikani?
Hawa jamaa utawawezs ndugu yangu.
Wanaipenda US kwenye mifano yao,ila ukiiweka USA katika meza wanakula kona.
Floyd alitoa ushirikiano gani kwa polisi, mbona wahalifu wamekamatwa.Ushirikiano na polisi hakuna...
Lissu ana personal conclusion na drive amefichwa...
Tofautisha kati ya makosa yanayofanywa na mtu binafsi na makosa yanayofanywa kwa maelekezo ya serikali au kubarikiwa na serikali.Unajua wangapi ambao wameuawa bila kesi?
Hii ni kwa ajili ya video kwenda viral tu....
Na hata kushtakiwa kwao kulitokana na shinikizo la maandamano...
Ama unajilazimisha upofu ama huelewi...
Wako kati ya wale wa4 wanatembea mitaani furiiiii
Wajue wazungu....
Baada ya Floyd wangapi wameendelea kufa?
Waafrika zaidi ya wa4 wamenyongwa baada ya Floyd.
Decisions for Tanzania by international community has been made. Implementations waits unequivocal justifications.
Msije mkasema hatukuwaambia. Tanzania haipo anga za juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini DJ mlevi wa konyagi ataendelea kupeta tu.Kila nikimwangalia jiwe naishia kumuona akimalizia maisha gerezani na hawa wapambe mbuzi wake wakiendelea na maisha yao kwa kubadili mwelekeo kama sio wao vile.
Ni kweli wanachukua muda ila wanamvutia kasi hivyo ni swala la muda tu.Nao wabadilishe namna ya utendaji kazi wao. Maneno matupu wajue na wanajua kuwa dictators never heed to words without actions!