Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Wakuu,
Mara kwa mara nimekuwa nikisikia kwenye vyombo vya habari kuwa mtu fulani amesimikwa kuwa Kamanda wa CCM. Na siku za hivi karibuni kuna amesimikwa Kamanda wa UVCCM Kibaha.
Ningependa kufahamishwa hiki cheo cha U-Kamanda, ni nini hasa nafasi/madhumuni/malengo yake katika Chama Cha Mapinduzi?
BE
Mara kwa mara nimekuwa nikisikia kwenye vyombo vya habari kuwa mtu fulani amesimikwa kuwa Kamanda wa CCM. Na siku za hivi karibuni kuna amesimikwa Kamanda wa UVCCM Kibaha.
Ningependa kufahamishwa hiki cheo cha U-Kamanda, ni nini hasa nafasi/madhumuni/malengo yake katika Chama Cha Mapinduzi?
BE