Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Juzi nilipokuwa namsikiliza mh. rais ktk hotuba yake alikuwa akisikitika na kulalamika sana kuhusu kupotea kwa silaha nyingi ktk kambi ya Gongo la mboto, na akasema pia kambi hiyo ndiyo sehemu kuu ya kuhifadhia silaha za nchi, sasa wana jf swali langu ni kuwa hivi mkuu wetu si anahatarisha amani ya nchi yetu kwa kutoa siri?!!, Hivi kama kuna nchi ina nia mbaya na nchi yetu si inaweza kutumia huu mwanya na kuvamiwa???