Mh, humu ilikuja thread ya miliyo ya gari, mi nilifikiri tupo gereji siku hiyo. Ila sawa, siku nyengine nitaweka vikorombwezo kidogo.
Na unasema shamba lako unaliuza kwa bei ya hermer, kama utakosa mteja nikopeshe mm ila nitakulipa kwa installment. Si unajuwa kuwa na mm natafuta?