The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Utawala wa Trump demokrasia na Katiba imewekwa pembeni kwanza. Tutaona mengi utawala wa huyu jamaa.
Mengi ya hayo tutakayoona, pia ni pamoja na kushindwa kwa fikra zake binafsi sana tu na kuwavunja na kuwakatisha tamaa wanaomshadadia....
Trump hawezi kupenyeza baadhi ya matamanio yake binafsi kama anavyofanya huyu wa hapa kwetu Tanzania.
Ni kwa sbb huko kuna very strong CHECK and BALANCE institutions ambazo haziwezi kuruhusu ujinga wa mtu mmoja uathiri taifa zima!!
Amini usiamini, baadhi ya Presidential executive orders zake zingine alizosaini zimeshapigwa stop tayari, haziwezi kutekelezwa mpaka kwanza wapime na kuona cons na pros!!