twendeni tukampokee Rage

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
mwenyekiti wa simba anatarajiwa kuwasili leo kutokea nje ya nchi, wanasimba wote wenye mapenzi mapema na timu yetu mnaombwa kuhudhuria ujio huu wa mwenyekiti, msafara wa kuelekea airport utaanzia klabuni pale msimbazi , na kuna sare maalumu mtakazopata pale klabuni, au vaa jezi yako nyekundu!! punde baada ya kuwasili Rage ataongea na waandishi wa habari na kujibu maswali ya waandishi then ataelekea klabuni kutoa tamko zito!!

ikumbukwe bodi ya wadhamini imekataa na kupinga mapinduzi hayo, na kaimu katibu wa TFF ndugu Wambura naye amesema kina Itangire wamekosea sana kumpindua bwana Rage.
 
Hakusema hivyo,alichosema wambura ni kwamba anataarifa ya maamuzi ya kamati ya utendaji ya simba kumsimamisha rage mpaka mkutano mkuu wa mabadiliko ya katiba,hatumtaki na wala hakutakuwa na mabadilhko yoyote katika hili,wadhamini hawana mamlaka yoyote waganga njaa tu,kwanza wewe ni yanga na umenunuliwa,sepa hatukutak.i
 

Mkampokee Rage anarudi na kombe gani au anamleta mchezaji gani hadi aende kupokelewa?
 

kampokee wewe usie na la kufanya.
 
Huku hapanifae.
Ngoja niwaachie akina Masuke na wenzie,
Habari ya mujini leo ni Zitto kabwe.
 
Last edited by a moderator:
Huku hapanifae.
Ngoja niwaachie akina Masuke na wenzie,
Habari ya mujini leo ni Zitto kabwe.
Timu yangu naona sa hivi inabebwa na ukongwe tu ingekuwa sio kongwe safari hii ilikuwa inapotea jumla.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…