Haya ndiyo madhara ya kuingia na matokeo mfukoni,Hajji Manara uzalendo umemshinda ameamua kumwaga mboga

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Jan 12, 2018
23,404
36,536
Kuelekea mechi ya jana Hajji alikuwa anawaaminisha mashabiki wa Simba kuwa watashinda kwa magoli mengi sana,na kwasababu mashabiki wengi ni mbumbumbu (nikimnukuu mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage),wakawa wamekuja uwanjani kwa kujiamini sana na matokeo mfukoni.

Mpira hauchezwi kwenye media wala magazetini,kilichotokea jana kuongoza mbili na zote kurudi ndani ya muda mfupi kimeanza kuleta fukuto huko Msimbazi.

Hajji kupitia ukurasa wake wa Instagram amewananga wachezaji wao kwa matokeo yale na kuonyesha hasira kuwa kuna baadhi ya wachezaji walicheza chini ya kiwango na hawakuitendea haki jezi yao

Kuna jambo zuri linakuja soon,kuna wachezaji siku zimeanza kuhesabika pale klabuni baada ya mechi ya jana.

Screenshot_20200105-154930.png
 
Kuelekea mechi ya jana Hajji alikuwa anawaaminisha mashabiki wa Simba kuwa watashinda kwa magoli mengi sana,na kwasababu mashabiki wengi ni mbumbumbu (nikimnukuu mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage),wakawa wamekuja uwanjani kwa kujiamini sana na matokeo mfukoni.

Mpira hauchezwi kwenye media wala magazetini,kilichotokea jana kuongoza mbili na zote kurudi ndani ya muda mfupi kimeanza kuleta fukuto huko Msimbazi.

Hajji kupitia ukurasa wake wa Instagram amewananga wachezaji wao kwa matokeo yale na kuonyesha hasira kuwa kuna baadhi ya wachezaji walicheza chini ya kiwango na hawakuitendea haki jezi yao

Kuna jambo zuri linakuja soon,kuna wachezaji siku zimeanza kuhesabika pale klabuni baada ya mechi ya jana.

View attachment 1313083
Salaam hizi zimfikie Aishi popote alipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuelekea mechi ya jana Hajji alikuwa anawaaminisha mashabiki wa Simba kuwa watashinda kwa magoli mengi sana,na kwasababu mashabiki wengi ni mbumbumbu (nikimnukuu mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage),wakawa wamekuja uwanjani kwa kujiamini sana na matokeo mfukoni.

Mpira hauchezwi kwenye media wala magazetini,kilichotokea jana kuongoza mbili na zote kurudi ndani ya muda mfupi kimeanza kuleta fukuto huko Msimbazi.

Hajji kupitia ukurasa wake wa Instagram amewananga wachezaji wao kwa matokeo yale na kuonyesha hasira kuwa kuna baadhi ya wachezaji walicheza chini ya kiwango na hawakuitendea haki jezi yao

Kuna jambo zuri linakuja soon,kuna wachezaji siku zimeanza kuhesabika pale klabuni baada ya mechi ya jana.

View attachment 1313083
Lazima ateseke tu sio kawaida iyo comeback

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo jezi kama zinathamani kuliko hao wachezaji, apewe yeye Haji akacheze tuone... Anataka kutuaminisha kuwa Yangu ni timu mbovu kiasi cha kushindwa kuwafunga Simba!!!

Simba itakuwa pazuri sana ikiwa kelele za manara zitaisha, hatuwezi kuamini katika mpira wa propaganda wakati soka ni sayansi kamili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno ya Patrick,kocha aliyepita naanza kuyaelewa
 
Huyo Manara ni mpiga zomari tu hana maana yoyote.

Ile penalty haikuwepo na ilionekana Simba walikuwa tegemezi sana kwa fursa kama hizo kuliko kupigana kutafuta magoli through teamwork and coordination. Poor Simba.
 
Nilikaribia kumpa hongera kwa kudhani amejifunza jambo muhimu sana kwenye shindano lolote lile, nalo ni kwamba dhamira ni zaidi ya uwezo. Lakini ghafla anageuka kuwa hjajifunza kwa kudhani kwamba pesa ndiyo hununua dhamira. Pesa hununua kitanda, si usingizi, hununua chakula, hainunui uhondo wa chakula, hununua mchezaji bora lakini hainunui uchezaji bora, hununua vichocheo vya dhamira ya ushindi - hainunui ari ya ushindi. Kama si kwa kurubuniwa kusaliti, hakuna mshindani anayeingia ulingoni bila ya dhamira ya ushindi. Lakini mazingira ya kabla, baada na ndani ya mchezo ndiyo yanayoifanya timu moja iizidi nyenzake kwenye ari ya ushindi. Kwa mechi ya jana, washabiki, vyombo vya habari (baadhi), wachambuzi (baadhi) na hata viongozi wenyewe wa Simba (baadhi) - akiwemo Manara mwenyewe - vimewanyima Simba ari ya ushindi na kuipeleka kwa Yanga. Kwa nini? 1. Fikiria tajiri mmoja anapita kijijini na kukuta msichana mzuri ambaye ameshachumbiwa na mwanakijiji waliyeafikiana wenyewe. Tajiri anavutiwa na uzuri wa msichana huyo na hapohapo ‘anapindua meza’. Unadhani huko mjini aendako msichana huyo atakuwa na nguvu ya kupigania ndoa yake iwapo kutatokea hitilafu japo ndogo tu? Sehemu kubwa ya usajili wa Simba, hata kama ni kwa mapendekezo ya benchi la ufundI, ni kwa wachezaji waliokuwa wametakiwa na Yanga. Wengine walikwishafikia hatua nzuri ya maafikiano, lakini Simba ikawatangazia maslahi bora zaidi. Wachezaji wa aina hii hata kama kwa asili wana mapenzi na Simba, watajikuta wamekwenda kufuata fedha zaidi na si kwa kuipigania Simba kwa sababu tayari walikwishaanza kujenga imani na Yanga wakati wa maafikiano ya usajili. 2. Wachambuzi wengi washabiki wa Simba waliibeza sana Yanga na kuwafanya ama watishike au waongeze dhamira mchezoni ili kuwaumbua wachambuzi hao. Kule kitanguliwa kwa mabao mawili kukawatia hofu zaidi Yanga, na wakalazimika kujituma (pengine kupita uwezo wao wa kawaida) ili kuondokana na aibu zaidi. Tambo za kupitiliza za Manara na wafuasi wake, akiwamo shabiki aliyeahidi nyumba yake iuzwe iwapo wasingeshinda mechi ile na fedha hizo wapewe Yanga, nazo zimewajengea zaidi Yanga dhamira ya ushindani kuliko fedha walizoahidiwa Simba. Kuna nadharia ya ‘diminishing ultimate utility’ kwamba hamu ya jambo lililo tunu hupungua kadri tunu hiyo inavyozoeleka. Fedha za bonasi wanazoahidiwa Simba zinapungua ari ya uhamasishaji kadri wanavyoendelea kuzipata, wakati nguvu za kejeli pitilizi za Simba zinaongeza ari kwa wachezaji wa Yanga kadri zinavyozidi kuwafikia. 3. Kejeli na dharau za wadau wa Simba dhidi ya Yanga zililishwa hadi kwa wachezaji wao,(angalia Kagere alivyoshangilia goli la kwanza, na wote walivyoshangilia goli la pili) ambao waliamini walishamaliza kazi waliyotumwa. Kejeli za wadau wa Simba zikawafikia na kiwahamasisha wachezaji wa Yanga (angalia ambavyo Balama hakushangilia goli la kwanza) ambao baada ya kulifunga wakaharakisha kwenda kuanza mpira ili watafute la pil. Na walipolipata angalia walivyoshangilia kwa ‘kuwapatia viuno Wanasimba’ badala ya kuhamasisha furaha kwa mashabiki wao. 4. Tambo za Simba kuwa na pesa zinawapelekea Yanga kuamini kwamba pesa hizo zinatumika hata kwa njia zisizo adilifu, ikiwamo kuhonga waamuzi. Sisemi kuwa hili linafanyika, lakini timu inapojisifia mno kuwa ina pesa haiwezi kuepuka kudhaniwa hivyo. Kwa hivyo matukio ya uamuzi wa jana hata kama ni sahihi yaliwaaminisha wachezaji wa Yanga kwamba mwamuzi alikuwa upande wa Simba na kwa hivyo wakaingia ari ya kumwonesha kwamba hataweza kuwatoa mchezoni. Nadhani ndio maana hata timu tajiri kama Man U, Real Madrid, Barca, PSG n.k. hazisikiki zikijivunia utajiri wao bali ubora wa timu, uongozi na huduma zao kwa vigezo vya mafanikio, si matumizi. 5. Wadau wa soka wa Tanzania hudhani kwamba kikosi kipana ni kukusanya wachezaji wenye uwezo mkubwa ulio sawa kwa kila nafasi, eti kupeana changamoto! Ingekuwa hivyo, wakati kufanya hivyo ni ama kutokuwa na timu moja ya kwanza inayozidi kuzoweana au kuua uwezo wa wataokosa nafasi kwenye timu moja ya kudumu. Kwa hivyo, mathalan, kuwa na Tshabalala na Gadiel ndani ya timu ni kupunguza uwezo wa atayekosa nafasi nyingi za kuanza. Na siku atayoanza kucheza atakuwa ni kivuli tu cha yule aliyesajiliwa awali, si yuleyule tena. Wachezaji wa aina hii ni wengi zaidi Simba kwa sababu ya matumizi ya siyo busara ya nguvu ya fedha kuliko walioko Yanga kwa sababu tu hawana uwezo wa kufanya hivyo. Isitoshe, wachezaji wa aina hii wanapokosa fursa ya kucheza mara kwa mara huwa ni fursa si ya kuvunjika moyo tu, bali ya kuanzisha chuki, fitina, majungu na utovu wa nidhamu ndani ya timu.
Tujue kwamba hiyo dhamira anayoisema Manara ilipungua kwa wachezaji wake kujengwa kwake ni sehemu ya mafunzo ya mwalimu. Angalia Diego Simeon,e mathalan, alivyo mahiri kwenye hilo. Kwa kauli yake hiyo, Manara anakiri bila ya kujijua kwamba mwalimu wao ni dhaifu na huenda anazidiwa na Mkwasa, angalau kwenye kuhamasisha timu ifanye vizuri.
 
Matumizi ya R na L hivi mwalimu wako wa lugha alikua nani.?
Nilikaribia kumpa hongera kwa kudhani amejifunza jambo muhimu sana kwenye shindano lolote lile, nalo ni kwamba dhamira ni zaidi ya uwezo. Lakini ghafla anageuka kuwa hjajifunza kwa kudhani kwamba pesa ndiyo hununua dhamira. Pesa hununua kitanda, si usingizi, hununua chakula, hainunui uhondo wa chakula, hununua mchezaji bora lakini hainunui uchezaji bora, hununua vichocheo vya dhamira ya ushindi - hainunui ari ya ushindi. Kama si kwa kurubuniwa kusaliti, hakuna mshindani anayeingia ulingoni bila ya dhamira ya ushindi. Lakini mazingira ya kabla, baada na ndani ya mchezo ndiyo yanayoifanya timu moja iizidi nyenzake kwenye ari ya ushindi. Kwa mechi ya jana, washabiki, vyombo vya habari (baadhi), wachambuzi (baadhi) na hata viongozi wenyewe wa Simba (baadhi) - akiwemo Manara mwenyewe - vimewanyima Simba ari ya ushindi na kuipeleka kwa Yanga. Kwa nini? 1. Fikiria tajiri mmoja anapita kijijini na kukuta msichana mzuri ambaye ameshachumbiwa na mwanakijiji waliyeafikiana wenyewe. Tajiri anavutiwa na uzuri wa msichana huyo na hapohapo ‘anapindua meza’. Unadhani huko mjini aendako msichana huyo atakuwa na nguvu ya kupigania ndoa yake iwapo kutatokea hitilafu japo ndogo tu? Sehemu kubwa ya usajili wa Simba, hata kama ni kwa mapendekezo ya benchi la ufundI, ni kwa wachezaji waliokuwa wametakiwa na Yanga. Wengine walikwishafikia hatua nzuri ya maafikiano, lakini Simba ikawatangazia maslahi bora zaidi. Wachezaji wa aina hii hata kama kwa asili wana mapenzi na Simba, watajikuta wamekwenda kufuata fedha zaidi na si kwa kuipigania Simba kwa sababu tayari walikwishaanza kujenga imani na Yanga wakati wa maafikiano ya usajili. 2. Wachambuzi wengi washabiki wa Simba waliibeza sana Yanga na kuwafanya ama watishike au waongeze dhamira mchezoni ili kuwaumbua wachambuzi hao. Kule kitanguliwa kwa mabao mawili kukawatia hofu zaidi Yanga, na wakalazimika kujituma (pengine kupita uwezo wao wa kawaida) ili kuondokana na aibu zaidi. Tambo za kupitiliza za Manara na wafuasi wake, akiwamo shabiki aliyeahidi nyumba yake iuzwe iwapo wasingeshinda mechi ile na fedha hizo wapewe Yanga, nazo zimewajengea zaidi Yanga dhamira ya ushindani kuliko fedha walizoahidiwa Simba. Kuna nadharia ya ‘diminishing ultimate utility’ kwamba hamu ya jambo lililo tunu hupungua kadri tunu hiyo inavyozoeleka. Fedha za bonasi wanazoahidiwa Simba zinapungua ari ya uhamasishaji kadri wanavyoendelea kuzipata, wakati nguvu za kejeli pitilizi za Simba zinaongeza ari kwa wachezaji wa Yanga kadri zinavyozidi kuwafikia. 3. Kejeli na dharau za wadau wa Simba dhidi ya Yanga zililishwa hadi kwa wachezaji wao,(angalia Kagere alivyoshangilia goli la kwanza, na wote walivyoshangilia goli la pili) ambao waliamini walishamaliza kazi waliyotumwa. Kejeli za wadau wa Simba zikawafikia na kiwahamasisha wachezaji wa Yanga (angalia ambavyo Balama hakushangilia goli la kwanza) ambao baada ya kulifunga wakaharakisha kwenda kuanza mpira ili watafute la pil. Na walipolipata angalia walivyoshangilia kwa ‘kuwapatia viuno Wanasimba’ badala ya kuhamasisha furaha kwa mashabiki wao. 4. Tambo za Simba kuwa na pesa zinawapelekea Yanga kuamini kwamba pesa hizo zinatumika hata kwa njia zisizo adilifu, ikiwamo kuhonga waamuzi. Sisemi kuwa hili linafanyika, lakini timu inapojisifia mno kuwa ina pesa haiwezi kuepuka kudhaniwa hivyo. Kwa hivyo matukio ya uamuzi wa jana hata kama ni sahihi yaliwaaminisha wachezaji wa Yanga kwamba mwamuzi alikuwa upande wa Simba na kwa hivyo wakaingia ari ya kumwonesha kwamba hataweza kuwatoa mchezoni. Nadhani ndio maana hata timu tajiri kama Man U, Real Madrid, Barca, PSG n.k. hazisikiki zikijivunia utajiri wao bali ubora wa timu, uongozi na huduma zao kwa vigezo vya mafanikio, si matumizi. 5. Wadau wa soka wa Tanzania hudhani kwamba kikosi kipana ni kukusanya wachezaji wenye uwezo mkubwa ulio sawa kwa kila nafasi, eti kupeana changamoto! Ingekuwa hivyo, wakati kufanya hivyo ni ama kutokuwa na timu moja ya kwanza inayozidi kuzoweana au kuua uwezo wa wataokosa nafasi kwenye timu moja ya kudumu. Kwa hivyo, mathalan, kuwa na Tshabalala na Gadiel ndani ya timu ni kupunguza uwezo wa atayekosa nafasi nyingi za kuanza. Na siku atayoanza kucheza atakuwa ni kivuli tu cha yule aliyesajiliwa awali, si yuleyule tena. Wachezaji wa aina hii ni wengi zaidi Simba kwa sababu ya matumizi ya siyo busara ya nguvu ya fedha kuliko walioko Yanga kwa sababu tu hawana uwezo wa kufanya hivyo. Isitoshe, wachezaji wa aina hii wanapokosa fursa ya kucheza mara kwa mara huwa ni fursa si ya kuvunjika moyo tu, bali ya kuanzisha chuki, fitina, majungu na utovu wa nidhamu ndani ya timu.
Tujue kwamba hiyo dhamira anayoisema Manara ilipungua kwa wachezaji wake kujengwa kwake ni sehemu ya mafunzo ya mwalimu. Angalia Diego Simeon,e mathalan, alivyo mahiri kwenye hilo. Kwa kauli yake hiyo, Manara anakiri bila ya kujijua kwamba mwalimu wao ni dhaifu na huenda anazidiwa na Mkwasa, angalau kwenye kuhamasisha timu ifanye vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikaribia kumpa hongera kwa kudhani amejifunza jambo muhimu sana kwenye shindano lolote lile, nalo ni kwamba dhamira ni zaidi ya uwezo. Lakini ghafla anageuka kuwa hjajifunza kwa kudhani kwamba pesa ndiyo hununua dhamira. Pesa hununua kitanda, si usingizi, hununua chakula, hainunui uhondo wa chakula, hununua mchezaji bora lakini hainunui uchezaji bora, hununua vichocheo vya dhamira ya ushindi - hainunui ari ya ushindi. Kama si kwa kurubuniwa kusaliti, hakuna mshindani anayeingia ulingoni bila ya dhamira ya ushindi. Lakini mazingira ya kabla, baada na ndani ya mchezo ndiyo yanayoifanya timu moja iizidi nyenzake kwenye ari ya ushindi. Kwa mechi ya jana, washabiki, vyombo vya habari (baadhi), wachambuzi (baadhi) na hata viongozi wenyewe wa Simba (baadhi) - akiwemo Manara mwenyewe - vimewanyima Simba ari ya ushindi na kuipeleka kwa Yanga. Kwa nini? 1. Fikiria tajiri mmoja anapita kijijini na kukuta msichana mzuri ambaye ameshachumbiwa na mwanakijiji waliyeafikiana wenyewe. Tajiri anavutiwa na uzuri wa msichana huyo na hapohapo ‘anapindua meza’. Unadhani huko mjini aendako msichana huyo atakuwa na nguvu ya kupigania ndoa yake iwapo kutatokea hitilafu japo ndogo tu? Sehemu kubwa ya usajili wa Simba, hata kama ni kwa mapendekezo ya benchi la ufundI, ni kwa wachezaji waliokuwa wametakiwa na Yanga. Wengine walikwishafikia hatua nzuri ya maafikiano, lakini Simba ikawatangazia maslahi bora zaidi. Wachezaji wa aina hii hata kama kwa asili wana mapenzi na Simba, watajikuta wamekwenda kufuata fedha zaidi na si kwa kuipigania Simba kwa sababu tayari walikwishaanza kujenga imani na Yanga wakati wa maafikiano ya usajili. 2. Wachambuzi wengi washabiki wa Simba waliibeza sana Yanga na kuwafanya ama watishike au waongeze dhamira mchezoni ili kuwaumbua wachambuzi hao. Kule kitanguliwa kwa mabao mawili kukawatia hofu zaidi Yanga, na wakalazimika kujituma (pengine kupita uwezo wao wa kawaida) ili kuondokana na aibu zaidi. Tambo za kupitiliza za Manara na wafuasi wake, akiwamo shabiki aliyeahidi nyumba yake iuzwe iwapo wasingeshinda mechi ile na fedha hizo wapewe Yanga, nazo zimewajengea zaidi Yanga dhamira ya ushindani kuliko fedha walizoahidiwa Simba. Kuna nadharia ya ‘diminishing ultimate utility’ kwamba hamu ya jambo lililo tunu hupungua kadri tunu hiyo inavyozoeleka. Fedha za bonasi wanazoahidiwa Simba zinapungua ari ya uhamasishaji kadri wanavyoendelea kuzipata, wakati nguvu za kejeli pitilizi za Simba zinaongeza ari kwa wachezaji wa Yanga kadri zinavyozidi kuwafikia. 3. Kejeli na dharau za wadau wa Simba dhidi ya Yanga zililishwa hadi kwa wachezaji wao,(angalia Kagere alivyoshangilia goli la kwanza, na wote walivyoshangilia goli la pili) ambao waliamini walishamaliza kazi waliyotumwa. Kejeli za wadau wa Simba zikawafikia na kiwahamasisha wachezaji wa Yanga (angalia ambavyo Balama hakushangilia goli la kwanza) ambao baada ya kulifunga wakaharakisha kwenda kuanza mpira ili watafute la pil. Na walipolipata angalia walivyoshangilia kwa ‘kuwapatia viuno Wanasimba’ badala ya kuhamasisha furaha kwa mashabiki wao. 4. Tambo za Simba kuwa na pesa zinawapelekea Yanga kuamini kwamba pesa hizo zinatumika hata kwa njia zisizo adilifu, ikiwamo kuhonga waamuzi. Sisemi kuwa hili linafanyika, lakini timu inapojisifia mno kuwa ina pesa haiwezi kuepuka kudhaniwa hivyo. Kwa hivyo matukio ya uamuzi wa jana hata kama ni sahihi yaliwaaminisha wachezaji wa Yanga kwamba mwamuzi alikuwa upande wa Simba na kwa hivyo wakaingia ari ya kumwonesha kwamba hataweza kuwatoa mchezoni. Nadhani ndio maana hata timu tajiri kama Man U, Real Madrid, Barca, PSG n.k. hazisikiki zikijivunia utajiri wao bali ubora wa timu, uongozi na huduma zao kwa vigezo vya mafanikio, si matumizi. 5. Wadau wa soka wa Tanzania hudhani kwamba kikosi kipana ni kukusanya wachezaji wenye uwezo mkubwa ulio sawa kwa kila nafasi, eti kupeana changamoto! Ingekuwa hivyo, wakati kufanya hivyo ni ama kutokuwa na timu moja ya kwanza inayozidi kuzoweana au kuua uwezo wa wataokosa nafasi kwenye timu moja ya kudumu. Kwa hivyo, mathalan, kuwa na Tshabalala na Gadiel ndani ya timu ni kupunguza uwezo wa atayekosa nafasi nyingi za kuanza. Na siku atayoanza kucheza atakuwa ni kivuli tu cha yule aliyesajiliwa awali, si yuleyule tena. Wachezaji wa aina hii ni wengi zaidi Simba kwa sababu ya matumizi ya siyo busara ya nguvu ya fedha kuliko walioko Yanga kwa sababu tu hawana uwezo wa kufanya hivyo. Isitoshe, wachezaji wa aina hii wanapokosa fursa ya kucheza mara kwa mara huwa ni fursa si ya kuvunjika moyo tu, bali ya kuanzisha chuki, fitina, majungu na utovu wa nidhamu ndani ya timu.
Tujue kwamba hiyo dhamira anayoisema Manara ilipungua kwa wachezaji wake kujengwa kwake ni sehemu ya mafunzo ya mwalimu. Angalia Diego Simeon,e mathalan, alivyo mahiri kwenye hilo. Kwa kauli yake hiyo, Manara anakiri bila ya kujijua kwamba mwalimu wao ni dhaifu na huenda anazidiwa na Mkwasa, angalau kwenye kuhamasisha timu ifanye vizuri.
Umeandika ujinga ujinga mbona?
Inamaana ni dhambi kuhamsisha timu yako na mashabiki kwa ajili ya mechi husika?

Simba ingeshinda inamaana bado ungekuja hapa na kusema ilikuwa haramu kwa haji kuhamasisha watu waende uwanjani kwa wingi kushangilia timu yao?

Inamaana katika SOKA la kisasa ambapo pesa inahusika ulitaka mchezaji aache kwenda pesa ilipo alafu iweje?

Na ulivyo juha.unasema eti yanga walitaka mchezaji Simba wakaingilia kati kumsajili,kwani hili ni jambo jipya duniani?

Eti kuwa na kikosi kipana nako kubaya? Umasikini wa yanga usitumike kuzifanya timu zingine zikashindwa kusajili,hukuwaona Madrid wa miaka ile ya Rinaldo? Ama timu kubwa duniani zinavyofanya?

Tafakari ulichoandika kisha sabinisha na uhalisia ndio utagundua kuwa umednaika ujinga
 
Nilikaribia kumpa hongera kwa kudhani amejifunza jambo muhimu sana kwenye shindano lolote lile, nalo ni kwamba dhamira ni zaidi ya uwezo. Lakini ghafla anageuka kuwa hjajifunza kwa kudhani kwamba pesa ndiyo hununua dhamira. Pesa hununua kitanda, si usingizi, hununua chakula, hainunui uhondo wa chakula, hununua mchezaji bora lakini hainunui uchezaji bora, hununua vichocheo vya dhamira ya ushindi - hainunui ari ya ushindi. Kama si kwa kurubuniwa kusaliti, hakuna mshindani anayeingia ulingoni bila ya dhamira ya ushindi. Lakini mazingira ya kabla, baada na ndani ya mchezo ndiyo yanayoifanya timu moja iizidi nyenzake kwenye ari ya ushindi. Kwa mechi ya jana, washabiki, vyombo vya habari (baadhi), wachambuzi (baadhi) na hata viongozi wenyewe wa Simba (baadhi) - akiwemo Manara mwenyewe - vimewanyima Simba ari ya ushindi na kuipeleka kwa Yanga. Kwa nini? 1. Fikiria tajiri mmoja anapita kijijini na kukuta msichana mzuri ambaye ameshachumbiwa na mwanakijiji waliyeafikiana wenyewe. Tajiri anavutiwa na uzuri wa msichana huyo na hapohapo ‘anapindua meza’. Unadhani huko mjini aendako msichana huyo atakuwa na nguvu ya kupigania ndoa yake iwapo kutatokea hitilafu japo ndogo tu? Sehemu kubwa ya usajili wa Simba, hata kama ni kwa mapendekezo ya benchi la ufundI, ni kwa wachezaji waliokuwa wametakiwa na Yanga. Wengine walikwishafikia hatua nzuri ya maafikiano, lakini Simba ikawatangazia maslahi bora zaidi. Wachezaji wa aina hii hata kama kwa asili wana mapenzi na Simba, watajikuta wamekwenda kufuata fedha zaidi na si kwa kuipigania Simba kwa sababu tayari walikwishaanza kujenga imani na Yanga wakati wa maafikiano ya usajili. 2. Wachambuzi wengi washabiki wa Simba waliibeza sana Yanga na kuwafanya ama watishike au waongeze dhamira mchezoni ili kuwaumbua wachambuzi hao. Kule kitanguliwa kwa mabao mawili kukawatia hofu zaidi Yanga, na wakalazimika kujituma (pengine kupita uwezo wao wa kawaida) ili kuondokana na aibu zaidi. Tambo za kupitiliza za Manara na wafuasi wake, akiwamo shabiki aliyeahidi nyumba yake iuzwe iwapo wasingeshinda mechi ile na fedha hizo wapewe Yanga, nazo zimewajengea zaidi Yanga dhamira ya ushindani kuliko fedha walizoahidiwa Simba. Kuna nadharia ya ‘diminishing ultimate utility’ kwamba hamu ya jambo lililo tunu hupungua kadri tunu hiyo inavyozoeleka. Fedha za bonasi wanazoahidiwa Simba zinapungua ari ya uhamasishaji kadri wanavyoendelea kuzipata, wakati nguvu za kejeli pitilizi za Simba zinaongeza ari kwa wachezaji wa Yanga kadri zinavyozidi kuwafikia. 3. Kejeli na dharau za wadau wa Simba dhidi ya Yanga zililishwa hadi kwa wachezaji wao,(angalia Kagere alivyoshangilia goli la kwanza, na wote walivyoshangilia goli la pili) ambao waliamini walishamaliza kazi waliyotumwa. Kejeli za wadau wa Simba zikawafikia na kiwahamasisha wachezaji wa Yanga (angalia ambavyo Balama hakushangilia goli la kwanza) ambao baada ya kulifunga wakaharakisha kwenda kuanza mpira ili watafute la pil. Na walipolipata angalia walivyoshangilia kwa ‘kuwapatia viuno Wanasimba’ badala ya kuhamasisha furaha kwa mashabiki wao. 4. Tambo za Simba kuwa na pesa zinawapelekea Yanga kuamini kwamba pesa hizo zinatumika hata kwa njia zisizo adilifu, ikiwamo kuhonga waamuzi. Sisemi kuwa hili linafanyika, lakini timu inapojisifia mno kuwa ina pesa haiwezi kuepuka kudhaniwa hivyo. Kwa hivyo matukio ya uamuzi wa jana hata kama ni sahihi yaliwaaminisha wachezaji wa Yanga kwamba mwamuzi alikuwa upande wa Simba na kwa hivyo wakaingia ari ya kumwonesha kwamba hataweza kuwatoa mchezoni. Nadhani ndio maana hata timu tajiri kama Man U, Real Madrid, Barca, PSG n.k. hazisikiki zikijivunia utajiri wao bali ubora wa timu, uongozi na huduma zao kwa vigezo vya mafanikio, si matumizi. 5. Wadau wa soka wa Tanzania hudhani kwamba kikosi kipana ni kukusanya wachezaji wenye uwezo mkubwa ulio sawa kwa kila nafasi, eti kupeana changamoto! Ingekuwa hivyo, wakati kufanya hivyo ni ama kutokuwa na timu moja ya kwanza inayozidi kuzoweana au kuua uwezo wa wataokosa nafasi kwenye timu moja ya kudumu. Kwa hivyo, mathalan, kuwa na Tshabalala na Gadiel ndani ya timu ni kupunguza uwezo wa atayekosa nafasi nyingi za kuanza. Na siku atayoanza kucheza atakuwa ni kivuli tu cha yule aliyesajiliwa awali, si yuleyule tena. Wachezaji wa aina hii ni wengi zaidi Simba kwa sababu ya matumizi ya siyo busara ya nguvu ya fedha kuliko walioko Yanga kwa sababu tu hawana uwezo wa kufanya hivyo. Isitoshe, wachezaji wa aina hii wanapokosa fursa ya kucheza mara kwa mara huwa ni fursa si ya kuvunjika moyo tu, bali ya kuanzisha chuki, fitina, majungu na utovu wa nidhamu ndani ya timu.
Tujue kwamba hiyo dhamira anayoisema Manara ilipungua kwa wachezaji wake kujengwa kwake ni sehemu ya mafunzo ya mwalimu. Angalia Diego Simeon,e mathalan, alivyo mahiri kwenye hilo. Kwa kauli yake hiyo, Manara anakiri bila ya kujijua kwamba mwalimu wao ni dhaifu na huenda anazidiwa na Mkwasa, angalau kwenye kuhamasisha timu ifanye vizuri.
Eti mkwasa anamzidi nani? Hebu aende hata Burundi tu kama atapata timu ya kufundisha!
 
Back
Top Bottom