Dah lyf challenge sana...nnahc watu weng wa asia wana asili ya ubahiri..chek wahnd,wachina etc had wa vietnam??!!..but shati bovu si mgongo waz wadau..
350 inamuweka mtu mjini msiipuuze kbs..wala tusikatishe wengne tamaa...hata mbuyu ulianza km mchicha!mnaoona wote wamefanikiwa wamepita pagum sana wengne walikua ht hawalipwi mwanzon but badae walitoka vzr tu so ikitokea umepata pga kaz kjn mwenzangu.
Kama sijaelewa hiv sentenc ya mwanzo mkuu
Mi nilituma maombi lakini naona kimya wakati mlisisitiza tuendelee kutuma na kuwajulisha wengine,swali langu ni kwamba mtaendelea kuita watu waje kwenye interview au ndio mshafunga zoezi?
Jamaa wanatak wapate watu bora kwa mshahara mdgo
Ila nakwambia kama graduate wote wange kataa dau lao . Lazima wange reconsider na kuongeza amount