bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
Sio wahindi hao vietnam
Mimi nilivoona watu wenyewe wanaonipigia simu kwa ajili ya interview hawajitambui na bahati mbaya nikawauliza wakaniambia kuwa eti ni Benson on Line ambao wanataka kufungua mobile company nikaona isiwe taabu wacha watu wengine waende nisiwazibie riziki